Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nakuzingua mwachi🤣Sichukulie kwa ukubwa uho
Nikaribishe nije nile sambusa, nitakuja na dipresheni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuzingua mwachi🤣Sichukulie kwa ukubwa uho
Karibu sana sana
Napenda mwanaume anaejua kupika ila huwa sielewi kwa nini kikwetu kwetu mwanaume akijua kupika anachukuliwa vibaya 🤷Nipike sambusa kwani natolewa mahari mimi😂
Sijamtaja mtu tafadhali
wapi huko anachukuliwa vizuri? Mimi kupika naweza sana ila sio kila chakulaNapenda mwanaume anaejua kupika ila huwa sielewi kwa nini kikwetu kwetu mwanaume akijua kupika anachukuliwa vibaya 🤷
Atanikaanga huyo
Ndio vizuri🤣Atanikaanga huyo
Ushaanza majunguwapi huko anachukuliwa vizuri? Mimi kupika naweza sana ila sio kila chakula
Thank you
Aisee nilikuwa zamani alinitengenezea bibiyangu Yani Ilikuwa mwendo wa maji tu ya baridi 😃Au sio ngoja siku nipike chikandanga
Nirahis sana hata wew unaweza hata dakika 20 hazifiki km sio vingikuna vile vidude wanaita ufuta... vitamu vitamu, sijui ndo jina sahihi...
navielewa sana, unajua kuvitengeneza?
tufundisheNirahis sana hata wew unaweza hata dakika 20 hazifiki km sio vingi
Mmmmh napata taabu kuamini,Thank you
Happy valentine sumbai
Ngoja nipitie nipate ujuzi sijawah pika sambusa
😃Sijawah pika ila hazinishindiMmmmh napata taabu kuamini,
Jifunze utupikieeee
Ahajah kumbe na wee wa kusini 😂Aisee nilikuwa zamani alinitengenezea bibiyangu Yani Ilikuwa mwendo wa maji tu ya baridi 😃
Acha uzitoHadi yesu anarudi Atakukuta bado hujaoa 😅Mimi nachoweza hapo ni kutengeneza juice ya passion Miksa embe Mwachiluwi
😂😂Tulia wewAhajah kumbe na wee wa kusini 😂
😃😃Acha uvivuHadi yesu anarudi Atakukuta bado hujaoa 😅Mimi nachoweza hapo ni kutengeneza juice ya passion Miksa embe Mwachiluwi