Sambusa za nyama na juice ya matunda

Sambusa za nyama na juice ya matunda

😃😃Acha uvivu
Sasa Aaliyyah mwenzako nimekulia kwenye familia ya watoto watatu ambao wote ni wa kike isipokuwa mi unadhani ningeingia jikoni sisi mtoto wa kiume kuingia jikoni ilikua ni Marufuku nafukuzwa unaambiwa nifanye kazi za kutumia nguvu

Same applies kwetu msichana alikuwa haruhusiwi kufanya kazi za nguvu
 
Sasa Aaliyyah mwenzako nimekulia kwenye familia ya watoto watatu ambao wote ni wa kike isipokuwa mi unadhani ningeingia jikoni sisi mtoto wa kiume kuingia jikoni ilikua ni Marufuku nafukuzwa unaambiwa nifanye kazi za kutumia nguvu

Same applies kwetu msichana alikuwa haruhusiwi kufanya kazi za nguvu
Kma ndo ilikuwa hivo ni sawa mm ni firstborn so kilakazi uñahusika Yani ni mwendo wa mateka na babaang alikuwa anajua kupika mama nae ukikaa na baba utafanya kilakitu ukikaa na mama utafanya pia kazi chache ambazo nilikuwa sifanyi ni kufua ya. Hapo nilidekezwa had Leo sipendi kufua😂
 
Kma ndo ilikuwa hivo ni sawa mm ni firstborn so kilakazi uñahusika Yani ni mwendo wa mateka na babaang alikuwa anajua kupika mama nae ukikaa na baba utafanya kilakitu ukikaa na mama utafanya pia kazi chache ambazo nilikuwa sifanyi ni kufua ya. Hapo nilidekezwa had Leo sipendi kufua😂
😮‍💨Mtoto wa kike hupendi kufua na pants zako anafua nani Ata kama washing mashine ipo umeme ukikata vipi?
 
😮‍💨Mtoto wa kike hupendi kufua na pants zako anafua nani Ata kama washing mashine ipo umeme ukikata vipi?
Nafua na nikiwa na nguo chafu ndani nachukia alafu kibaya Zaid siwez rudia nguo nikivaa nguo siku 4 ni mzigo wa kutosha

Ni vile nilizoea kufuliwa Yan kazi yangu Ilikuwa kusuuza na kuanika had nakua Kua ilibidi nijizoeshe kufua now nafua sana tu lkn sio hobby km ilivo kupika naweza pika 24 hours ila kufua aah 😄
 
Nafua na nikiwa na nguo chafu ndani nachukia alafu kibaya Zaid siwez rudia nguo nikivaa nguo siku 4 ni mzigo wa kutosha

Ni vile nilizoea kufuliwa Yan kazi yangu Ilikuwa kusuuza na kuanika had nakua Kua ilibidi nijizoeshe kufua now nafua sana tu lkn sio hobby km ilivo kupika naweza pika 24 hours ila kufua aah 😄
Sasa watoto wako anawafulia nani mama
 
Sasa watoto wako anawafulia nani mama
Sio kwamba sifui hapana nafua lkn sio kitu nachopenda sana au kazi nayopenda Kuna mwingine hapendi kuosha vyombo,mwingine hapendi kupika mwingine hapendi kupiga but sio km hafanyi hapana anafanya
Watoto Bado Sina ila nitafua hakunashida
 
Hizo unazokanda na kukata haziitwi chapati zinaitwa Manda Manda inatakiwa iwe nyembamba ndio unapata sambusa zenye ladha nzuri.Manda ikiwa nzito sambusa haziwi nzuri.
All in all umejitahidi.
 
Sio kwamba sifui hapana nafua lkn sio kitu nachopenda sana au kazi nayopenda Kuna mwingine hapendi kuosha vyombo,mwingine hapendi kupika mwingine hapendi kupiga but sio km hafanyi hapana anafanya
Watoto Bado Sina ila nitafua hakunashida
😅Mimi kazi nisiyopenda ni kuoga Maji ya baridi mwezi 12 hadi 2 mwanzoni hapo
 
Kwahiyo ni mwendo wa maji ya moto tu 😂
Dah, hivi unaujua msimu wa baridi la huku dodoma, na mwanza kwa wanaokaa karibu na ziwa
Sema mimi kwenye ishu za home mke wangu Ata enjoy ishu za kutengeneza garden mimi ni msukuma lakini napenda maua na miti kama wachaga
 
Dah, hivi unaujua msimu wa baridi la huku dodoma, na mwanza kwa wanaokaa karibu na ziwa
Sema mimi kwenye ishu za home mke wangu Ata enjoy ishu za kutengeneza garden mimi ni msukuma lakini napenda maua na miti kama wachaga
Ingeenda Njombe ndio ungeenjoy Ile barid ni balaa km usipokuwa na rohongumu unaweza usioge hata siku 2😄
Kuhusu garden hongera watu wanaotunza garden Huwa smart sana
 
Ingeenda Njombe ndio ungeenjoy Ile barid ni balaa km usipokuwa na rohongumu unaweza usioge hata siku 2😄
Kuhusu garden hongera watu wanaotunza garden Huwa smart sana
Yes napenda garden hii tabia Nimekuja Baada ya kuishi na wachaga Yani, sio poa Yan Ata uyoga ukiota tu, kwenye majani unatolewa, nimejikuta nakua na mimi napenda vitu vyangu vikae kwenye mpangilio kuanzia layout nzuri nje, sipendi uvungu mchafu wala tandambui
 
Yes napenda garden hii tabia Nimekuja Baada ya kuishi na wachaga Yani, sio poa Yan Ata uyoga ukiota tu, kwenye majani unatolewa, nimejikuta nakua na mimi napenda vitu vyangu vikae kwenye mpangilio kuanzia layout nzuri nje, sipendi uvungu mchafu wala tandambui
Eeh hongera sana aisee mm mabustani sio vitu vyangu hodar ya kaunzisha ila kutunza sijui 😄
 
Leo tujifunze hii kitu sambusa za nyama

MAHITAJI
Unga wa ngano
Nyama
Hoho
Karoti
Chumvi
Mafuta

Kwanza chemsha nyama yako kisha isage vizuri
Then chukua ngano weka mafuta na chumvi anza kukanda mimi natengeneza za kula mwenyewe so nilitumia unga nusu
View attachment 3235406

Baada ya hapo ngano yako ulio kanda ipumue kidogo kisha kata na utengeneze madonge kama ya chapati
View attachment 3235410
Baada ya hapo anza kusukuma moja moja iwe kama chapati hakikisha isiwe nzito
View attachment 3235415
Baada ya hapo andaa sahani pembeni weka unga kwenye sahani kisha weka chapati yako kwenye sahani
View attachment 3235418
Na ukiwa unaweka unazibebanisha juu yake unapaka mafut kama ivyo ili ukija babua inakuwa ni vyepesi kuzitoa
View attachment 3235420
Ukimaliza hapo chukua kidogo mimi nilichukua kama chapati tatu zikiwa zimebebana nikazisukuma tena
View attachment 3235421
Baada ya hapo unakata kwa njia ya msalaba kama hivi
View attachment 3235422
Baada ya hapo unaenda kubabua
View attachment 3235423
Weka pole pole ukimaliza kubabua njoo uziachanishe kama hivi
Baada ya hapo nikachukua nyama nilio isaga na kuikaanga nilichanganya pilipili karot na hoho
View attachment 3235430
Baada ya hapo chukua sasa vipande vyako na ulivyo achanisha kunja kama hivi View attachment 3235432na uweke nyama kidogo tu usijaze mpaka juu
View attachment 3235433
Na kunja vizur hakikisha hakuna pembe ya sambusa inayo weza fanya mafuta yaingie ndani
View attachment 3235435
Kisha zikaange kwenye mafuta yalio chemka ili zisinyonye mafuta na ziwe za kawahawia
View attachment 3235436
Zilikuwa mzuri sana
View attachment 3235437
Juice mnajua kusaga nitawapa mahitaji tu
Embe moja
Nanasi moja
Passion matatu

View attachment 3235439
Njooo tuowane 🤣🤣🤣
 
Sambusa za nyamaa nazipenda ila kuzila imani ndo sinaaa.. na wife inabdi ajifunze kuzipikaaaa nienjoy.
 
Back
Top Bottom