Same: Ajali yaua watu saba wa familia moja

Same: Ajali yaua watu saba wa familia moja

Tukiwaambia gari za mzungu ni gari ngumu na kidogo zina usalama kwenye ajali muwe mnaelewa na muache kukaza shingo.

Ukiangalia Chassis namba ya hiyo gari TIRA inaonesha ni VW Touran.

Wajapan nawasubiri hapa.
Sedan ya 1990s au early 2000 umeipambanisha na SUV ya 2008+

Huu mlinganisho sio fair. Angalau wangekuwa same model year au same class wote SUV au wote Sedan ndio inge make sense
 
Corola kupakia watu saba hili nalo ni tatizo na huyu askari aliyekuwa akiendesha hiyo gari ni tatizo kubwa.
 
Nashindwa kuelewa hilo eneo ajali ilipotokea, pako vizuri mno hadi ushangae ajali inatokeaje. Ukiwa eneo la ajali(Saweni) unaweza kuiona Makanya kwa jinsi barabara ilivyo smooth, flat na ilivyonyooka.

Kweli za mtu zikifika....
 
Sedan ya 1990s au early 2000 umeipambanisha na SUV ya 2008+

Huu mlinganisho sio fair. Angalau wangekuwa same model year au same class wote SUV au wote Sedan ndio inge make sense
Touran zimeanza 2003,

Fine hata ingekuwa sedan ya mwaka sawa na hiyo Corolla.

Mfano iwe hata bmw E46 hivi. ingekuwa ni different story.

Gari za Mjapani ni makaratasi mzee.
 
Watu saba wa Familia moja akiwemo Ofisa Uhamiaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), Sylvester Chambo na wanae wanne wamefariki dunia papohapo huku wengine wanane wakijeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na gari jingine Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro.

RPC wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema imetokea eneo la Saweni Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro.

Amesema gari lililoua Familia ya Watu 7 lenye usajili namba T.618 AWP aina ya Toyota Corola lilikuwa likitokea Mkoani Tanga kuelekea Moshi na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV aina ya Volkswagen lililokuwa likitokea Moshi kwenda Dar es salaam na kusababisha majeruhi wanane.

"Chanzo cha ajali ni uzembe wa Dereva wa gari T.618 AWP Toyota Corola lililokuwa likiendeshwa na Ofisa Uhamiaji wa KIA kuhama upande wake wa kushoto wa Barabara na kuelekea upande wa kulia wa Barabara na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV Voxywagen"

Chanzo: Millard Ayo
Sio sahihi kusema uzembe, maana kama mtu katoka kote hukoooo Korogwe, Lushoto then uzembe ukatokea Same, binafsi nafikiri kulikuwa nq itilafu ya kiutendaji wa gari iyo huenda ikawa ma ball joint, rack end, tie rod end yalikatika kisha dereva akapoteza uwezo wa kuli control chuma.ikahama.njia ...

Ni.muhimu sana kununua vibuli vyenye ubora na kufanya service gari zetu kabla ya kuanza safari
 
Touran zimeanza 2003,

Fine hata ingekuwa sedan ya mwaka sawa na hiyo Corolla.

Mfano iwe hata bmw E46 hivi. ingekuwa ni different story.

Gari za Mjapani ni makaratasi mzee.
Nenda uzi wa road trip utakutana na wajerumani waliofinyangwa. Anyway endesha mjerumani hovyo matokeo utYapata
 
[emoji23] Ficha ujinga wako basi mkuu.
Sasa ujinga wangu nini hapo, kwamba wish sio corolla.

Wewe unadhani corolla ni hiyo iliyopata ajali tu.

Nakupa somo sasa wewe bwege, hiyo corolla iliyopata ajali inaitwa COROLLA XE SALOON ambayo ni aina mojawapo ya corolla ambazo zipo nyingi kama Wish, Spacio, Runx, Fielder, Apex n.k. kwa hiyo usikariri kuwa corolla ni moja tu uliyozoea wewe na vilaza wenzako.
 
Corolla na Corrola Spacio ni magari mawili Tofauti. Gari ilikuwa imejaza kupita kiasi. Acha kuhamisha magoli.
Duh aisee we jamaa ni muongo jukwaa zima hakuna kama wewe, kwamba kuna Corolla na kuna Corrola. Acha uongo wako we kilaza. Spacio ni Corolla sio CORROLA kama ulivyoandiska.
 
Poleni ndugu ,jamaa na marafiki.

Kwa mujibu wa ripoti ya polisi ni kwamba 95% ya ajali ni uzembe na iliyobaki 5% ni ubovu wa chombo na miundombinu(barabara).

kwa maelezo ya mada inawezekana ikawa vitu hivi kimoja wapo kilitokea.

1. Usingizi - Kama sio mzoefu na una usingizi unaweze ukahama ukaenda upande wa mwenzako(kwa hapa alienda upande wa kulia).

2.Overtaking - Kwa mujibu wa maelezo ni kwamba hiyo sehemu ipo flat sio kwamba ni kona au mlima wakati wa kuovertake usione mbele ,kwahiyo hii ni asilimia chache.

3.Ubovu wa chombo - Kuna mdau anasema inawezekana gari ilileta hitilafu kwenye mfumo wa tyre hivyo kusababisha gari kuhama upande wa kulia kwa kuvutwa
 
The Toyota Wish debuted at the 2002 Tokyo Motor Show and was introduced to the public as part of the 2003 model year line-up. The first generation AE10 was built from 2003 to 2009 with few changes to the basic design that was developed by Takeshi Yoshida and his team.

The Wish quickly became a popular compact MPV within the Japanese market and was frequently seen listed in the Top 5 car models on 30 best-seller lists each month..

Hizi gari toleo la kwanza ni mwaka 2003, kwa no AW ni za mwaka 2007-2008 ambapo kwa tz zilikua hazijafika.

Kwa vyovyote hiyo gari itakua ni toyota corola kama corola
Yes uko sahihi sana mkuu, umefanya reasoning kuliko wale walioandika kuwa corolla ni corolla tu tena mwingine akaandika kuwa kuna Corolla na corrola na Wish ni Corrola kitu ambacho sio sahihi. Corolla ni jina kama la familia ndani yake zipo nyingi kama RUMION, WISH, SPACIO, XE,XE LIMITED N.K.
 
Touran zimeanza 2003,

Fine hata ingekuwa sedan ya mwaka sawa na hiyo Corolla.

Mfano iwe hata bmw E46 hivi. ingekuwa ni different story.

Gari za Mjapani ni makaratasi mzee.
Hii ni bmw unayoisifia kuwa ni ngumu, ajali haingalii aina ya gari inategemea speed uliyopo na sehemu uliyogonga, eti mjapan ni karatasi, wabongo kwa dharau!
images%20(4).jpg
 
Hii ni bmw unayoisifia kuwa ni ngumu, ajali haingalii aina ya gari inategemea speed uliyopo na sehemu uliyogonga, eti mjapan ni karatasi, wabongo kwa dharau!View attachment 2391694
Mzinga wa 50kph wa Crown haufanani na mzinga wa 50ph wa BMW 3 series.

Kama huamini endelea kubisha ila Mjapani ni makaratasi.

Umeona kwenye hiyo ajali kuna mtu mtu wa Tiguan amekufa?
 
Back
Top Bottom