Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu bado sijakuelewe..fafanua kidogoPole kwa wapendwa wao...lakini vijana tukae kitaalamu sana...na tumuombe Mungu sana
Mnaouliza kuhusu checkpoints,
Uhamiaji ni Jeshi, lipo mambo ya ndani kama polisi.
Mnategemea polisi watahoji kitu baada ya kuona ni mwem
Uzembe? Simple conclusion kama Kawaida, hivi Kuna mtu anaweza tu kuhama site yake with no reason? Huenda gari ilipata pancha sterling ikamvutia upande mwingine, huu nao ni uzembe?Chanzo cha ajali ni uzembe wa Dereva wa gari T.618 AWP Toyota Corola lililokuwa likiendeshwa na Ofisa Uhamiaji wa KIA kuhama upande wake wa kushoto wa Barabara na kuelekea upande wa kulia wa Barabara na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV Voxywagen"
Kwamba Dola zote za watalii anapeleka wapi?Afisa Uhamiaji na Corrola namba A au mi ndio sielewi?
Sasa mzee si unajua uhamiaji wao ni polisi njiani wanatanua vibaya mno...
Its spiritual attack, kamwe usithubutu kupanda gari/basi moja mkiwa watu wa familia moja ni hatari sana kwenye ulimwengu wa roho tumia "Divide and Spread Rule" huu ni mfumo wanaotumia Marais wengi wakisafiri na gari/basi barabarani. RIPWatu saba wa Familia moja akiwemo Ofisa Uhamiaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), Sylvester Chambo na wanae wanne wamefariki dunia papohapo huku wengine wanane wakijeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na gari jingine Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro.
RPC wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema imetokea eneo la Saweni Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro.
Amesema gari lililoua Familia ya Watu 7 lenye usajili namba T.618 AWP aina ya Toyota Corola lilikuwa likitokea Mkoani Tanga kuelekea Moshi na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV aina ya Volkswagen lililokuwa likitokea Moshi kwenda Dar es salaam na kusababisha majeruhi wanane.
"Chanzo cha ajali ni uzembe wa Dereva wa gari T.618 AWP Toyota Corola lililokuwa likiendeshwa na Ofisa Uhamiaji wa KIA kuhama upande wake wa kushoto wa Barabara na kuelekea upande wa kulia wa Barabara na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV Voxywagen"
Chanzo: Millard Ayo
r.i.pWatu saba wa Familia moja akiwemo Ofisa Uhamiaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), Sylvester Chambo na wanae wanne wamefariki dunia papohapo huku wengine wanane wakijeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na gari jingine Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro.
RPC wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema imetokea eneo la Saweni Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro.
Amesema gari lililoua Familia ya Watu 7 lenye usajili namba T.618 AWP aina ya Toyota Corola lilikuwa likitokea Mkoani Tanga kuelekea Moshi na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV aina ya Volkswagen lililokuwa likitokea Moshi kwenda Dar es salaam na kusababisha majeruhi wanane.
"Chanzo cha ajali ni uzembe wa Dereva wa gari T.618 AWP Toyota Corola lililokuwa likiendeshwa na Ofisa Uhamiaji wa KIA kuhama upande wake wa kushoto wa Barabara na kuelekea upande wa kulia wa Barabara na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV Voxywagen"
Chanzo: Millard Ayo
Watu saba mmepanda gari moja halafu Corolla.Watu saba wa Familia moja akiwemo Ofisa Uhamiaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), Sylvester Chambo na wanae wanne wamefariki dunia papohapo huku wengine wanane wakijeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na gari jingine Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro.
RPC wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema imetokea eneo la Saweni Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro.
Amesema gari lililoua Familia ya Watu 7 lenye usajili namba T.618 AWP aina ya Toyota Corola lilikuwa likitokea Mkoani Tanga kuelekea Moshi na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV aina ya Volkswagen lililokuwa likitokea Moshi kwenda Dar es salaam na kusababisha majeruhi wanane.
"Chanzo cha ajali ni uzembe wa Dereva wa gari T.618 AWP Toyota Corola lililokuwa likiendeshwa na Ofisa Uhamiaji wa KIA kuhama upande wake wa kushoto wa Barabara na kuelekea upande wa kulia wa Barabara na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV Voxywagen"
Chanzo: Millard Ayo
Corola Yenye No A jamana dah utumishi wa umma huuAfisa Uhamiaji na Corrola namba A au mi ndio sielewi?
Afisa Uhamiaji na Corrola namba A au mi ndio sielewi?
Tukiwaambia gari za mzungu ni gari ngumu na kidogo zina usalama kwenye ajali muwe mnaelewa na muache kukaza shingo.Watu saba wa Familia moja akiwemo Ofisa Uhamiaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), Sylvester Chambo na wanae wanne wamefariki dunia papohapo huku wengine wanane wakijeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na gari jingine Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro.
RPC wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema imetokea eneo la Saweni Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro.
Amesema gari lililoua Familia ya Watu 7 lenye usajili namba T.618 AWP aina ya Toyota Corola lilikuwa likitokea Mkoani Tanga kuelekea Moshi na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV aina ya Volkswagen lililokuwa likitokea Moshi kwenda Dar es salaam na kusababisha majeruhi wanane.
"Chanzo cha ajali ni uzembe wa Dereva wa gari T.618 AWP Toyota Corola lililokuwa likiendeshwa na Ofisa Uhamiaji wa KIA kuhama upande wake wa kushoto wa Barabara na kuelekea upande wa kulia wa Barabara na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV Voxywagen"
Chanzo: Millard Ayo
Kupakata watoto mbele ni risk mno, sijuagi kwanini watu wengi hawalielewi hili.Watakuwa watoto? Mtoto mmoja alipakatwa na maza mbele, wengine nyuma
Corolla na Corrola Spacio ni magari mawili Tofauti. Gari ilikuwa imejaza kupita kiasi. Acha kuhamisha magoli.nafikiri hiyo sio hoja ya kujadili hapa; KWANI hizo corolla zipo aina nyingi
Corola Spacio (new model) inabeba watu 7 (wakiwemo watoto wawili ) tena wote wamekaa Vizuri
TOYOTA WISH ina row mbili nyuma za kubeba watu watatu x 2; bado kule mbele kwa dereva.
Ni msiba mkubwa sana jamani; Mungu awape nguvu na uvumilivu!
Mwambie hata Rumion ni Corolla.Nafahamu kuwa model zote hizo umetaja ni familia moja ya Corolla...
Lakini unashindwa kuelewa kwamba kwa ilivyozoeleka ukitaja Corolla, je ni gari ipi inayokuwa inatambulishwa?
Je na hizo gari umetaja, huwa watu wanazitambua kwa majina ya Spacio na Wish au Corolla?
[emoji23] Ficha ujinga wako basi mkuu.Corolla zipo nyingi hata Wish ni corolla pia, babu unazeeka vibaya.
Alikuwa ana-overtake au kuna sababu nyingine? Ingawaje jibu sahihi la swali linaweza lisipatikane!"Chanzo cha ajali ni uzembe wa Dereva wa gari T.618 AWP Toyota Corola lililokuwa likiendeshwa na Ofisa Uhamiaji wa KIA kuhama upande wake wa kushoto wa Barabara na kuelekea upande wa kulia wa Barabara na kugongana uso kwa uso na gari T.515 DMV Voxywagen"
Ukiwa na hela tafuta VAN kubwa biashara za kupakatana ni miyeyusho.Watoto sio Watu??