Hadi leo bado anachechemea. Harudii Tena kulewa chakari kapata fundisho.View attachment 1537879
Mbowe akiwasili Same magharibi mapema leo.
Tundu Lissu akiwa jimboni Same magharibi amepata wadhamini 6893. Safari inaendelea.
Ninachukua helicopter chap kuwahi uwanja wa UHURU kuleta updates maana maccm ya humu ni kama yamesusa kutuonyesha zile nyimbo za Samia mama lao!
Ndio hivyo. ili dhahabu iwe dhahabu ni lazima ipitie kwenye tanuru la moto mkaliHii Ni habari mbaya kwa CCM... Shida watazidi kuongeza mashambulizi yao ya hatari..
Sheria za udhamini zikoje.Isije wakatakiwa wadhamini kati ya 200 na 250 kila mkoa halafu nyie mkajaza watu zaidi ya wanaotakiwa kimkoa.Hatupo tayari kusikia kosa lolote linafanyika kwenye eneo lolote kuelekea kuteuliwa na NEC.View attachment 1537879
Mbowe akiwasili Same magharibi mapema leo.
Tundu Lissu akiwa jimboni Same magharibi amepata wadhamini 6893. Safari inaendelea.
Ninachukua helicopter chap kuwahi uwanja wa UHURU kuleta updates maana maccm ya humu ni kama yamesusa kutuonyesha zile nyimbo za Samia mama lao!
Mkuu una moyo mgumu kama chuma kwenda kutazama hiyo kitu hapo chang'ombeView attachment 1537879
Mbowe akiwasili Same magharibi mapema leo.
Tundu Lissu akiwa jimboni Same magharibi amepata wadhamini 6893. Safari inaendelea.
Ninachukua helicopter chap kuwahi uwanja wa UHURU kuleta updates maana maccm ya humu ni kama yamesusa kutuonyesha zile nyimbo za Samia mama lao!
Pia mkuu ukiona kiongozi yeyote anapata nafasi ya kuongoza kiurahisi rahisi huyo hawezi kuwa kiongozi makini.Ndio hivyo. ili dhahabu iwe dhahabu ni lazima ipitie kwenye tanuru la moto mkali
Akili zako na sheitwani hazina tofautiHadi leo bado anachechemea. Harudii Tena kulewa chakari kapata fundisho.
Sheria za udhamini zikoje.Isije wakatakiwa wadhamini kati ya 200 na 250 kila mkoa halafu nyie mkajaa watu zaidi ya wanaotakiwa kimkoa.Hatupo tayari kusikia kosa lolote linafanyika kwenye eneo lolote kuelekea kuteuliwa na NEC.
Hivi hata Mbowe anatembelea fimbo??View attachment 1537879
Mbowe akiwasili Same magharibi mapema leo.
Tundu Lissu akiwa jimboni Same magharibi amepata wadhamini 6893. Safari inaendelea.
Ninachukua helicopter chap kuwahi uwanja wa UHURU kuleta updates maana maccm ya humu ni kama yamesusa kutuonyesha zile nyimbo za Samia mama lao!
Hahaha!! hapana anatembelea miradi ya maendeleoHivi hata Mbowe anatembelea fimbo??
Umemjibu vizuriHahaha!! hapana anatembelea miradi ya maendeleo
Aseeh!! Lakini sijasikia akiugulia maumivu.Hahaha!! hapana anatembelea miradi ya maendeleo
Kambea wewe!!View attachment 1537879
Mbowe akiwasili Same magharibi mapema leo.
Tundu Lissu akiwa jimboni Same magharibi amepata wadhamini 6893. Safari inaendelea.
Ninachukua helicopter chap kuwahi uwanja wa UHURU kuleta updates maana maccm ya humu ni kama yamesusa kutuonyesha zile nyimbo za Samia mama lao!
Generalky anatakiwa kuwa na wadhamini wangapi? Na je wadhamini wanatakiwa kutoka katika kila mkoa wa Tanzania?View attachment 1537879
Mbowe akiwasili Same magharibi mapema leo.
Tundu Lissu akiwa jimboni Same magharibi amepata wadhamini 6893. Safari inaendelea.
Ninachukua helicopter chap kuwahi uwanja wa UHURU kuleta updates maana maccm ya humu ni kama yamesusa kutuonyesha zile nyimbo za Samia mama lao!