Uchaguzi 2020 Same Magharibi: Tundu Lissu apata wadhamini 6893

Hadi leo bado anachechemea. Harudii Tena kulewa chakari kapata fundisho.
Ndugu zangu tuungane ili kuutokomeza huu utawala wa mkono wa chuma, hizo elfu saba saba mnazolipwa ili kujenga taswira ya mkulu kukubalika ni kwaajili ya njaa ya muda mfupi tu. Mwalimu Nyerere aliwaita viongozi wa namna hii washenzi na wendawazimu, hebu tumuheshimu na kumuenzi Mwalimu kwa kuachana na watawala wanaotumia mabavu badala ya hekima na busara.

Tusihadaike na utapeli na ulaghai mpya wa CCM, Saa ya ukombozi ni sasa
 
Twende na Tundu Lissu, huyu ndiye mbeba maono. hawezi kufa mpaka atimize kusudi la Mungu. Big up Chadema Same Magharibi.
 
Umeambiwa upeleke miambili unampeleka elfu 6 kichwani uko sawa kweli?
 
Hao nimamluki same magharibi chadema haiwezi kushinda hiyo ni ngome yetu ya CCM ,hata Kule mashariki mama yetu kilango hana mpinzani atapita kwa kishindo
 
Pia mkuu ukiona kiongozi yeyote anapata nafasi ya kuongoza kiurahisi rahisi huyo hawezi kuwa kiongozi makini.

Ndio maana lazima kuwepo mdahalo wa wagombea urahisi ili waweze kujibu maswali magumu
 
Tunajua mnamnyemelea Mathayo aletwe, tumewasikia sana na Mgombea wenu Mgonja.
Niwaambie CCM itamleta Mbunge chaguo la wananchi wa Same MAGHARIBI siyo wa hao wajumbe mliokula nao njama.
CCM ni chama la Ukombozi Afrika na Duniani kote imejipambanua kama chama cha kutetea wanyonge kokote walipo.
Hakutakuwepo na kura za huruma, SAME ndiyo THAME, Tutamchagua John Pombe Joseph MAGUFULI son of Afrika .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…