Mtandaooi mkubwaaa mkuu omben wakùsavituoo polisinawenzao wahamishwe wanaokuja wapeweee mkakati mwoneMji wa Same ni mdogo sana ila inashangaza ndani ya wiki tatu zilizopita zimeibiwa TV nyingi sana, je, zinakwenda wapi? Au zinauzwa wapi?
Maeneo ya Sterling na Stesheni kwa mfano zimeibiwa TV nne kwa siku moja, hii sio kawaida. Polisi hebu fuatilieni zinakopelekwa? Au kama hazijatoka Same zimefichwa wapi?
Hili ni tatizo sehemu karibu zote nchini.Mwizi ni mwizi tu.Anaweza kuiba usichokidhania.Tv zinaibiaje?? Kwamba wanazikuta nje wa wanabomoa??
Mshana Jr
Mbaga Jr
Extrovert
Ambiele Kiviele
Robert Heriel Mtibeli
Njooni huku mtoe neno mji wenu wa same unapata sifa mbaya
Wachaga ndio wana tabia za wizi, sisi wapare ni watu wastaarabu mno.Akina Mshanajr Mbagajr karibuni huku, yawezekana vijana wengi wamebanwa kwenye kilimo cha mirungi wamehamia kwenye TV
Mshana Jr
Mbaga Jr
Extrovert
Ambiele Kiviele
Robert Heriel Mtibeli
Njooni huku mtoe neno mji wenu wa same unapata sifa mbaya
Vijana hawana visamaki vya kuuza wajikimu.Mji wa Same ni mdogo sana ila inashangaza ndani ya wiki tatu zilizopita zimeibiwa TV nyingi sana, je, zinakwenda wapi? Au zinauzwa wapi?
Maeneo ya Sterling na Stesheni kwa mfano zimeibiwa TV nne kwa siku moja, hii sio kawaida. Polisi hebu fuatilieni zinakopelekwa? Au kama hazijatoka Same zimefichwa wapi?
Wanabomoa madirisha na huwasikii? Mwanaume unalalaje kama maiti? Weka umeme dirishani.W
Wanabomoa madirisha kitaalamu sana huwezi kuwasikia.
Mh flat tv zinaibiwa sana. Kama Dar ndio balaa.Wapare wanaonekana kuwa wamepitwa na wakati. TV kweli unaimba Karne hii?