Pre GE2025 Same: Polisi yazuia mkutano wa hadhara wa Tundu Lissu, yasema ni kufanya kampeni uchaguzi S/Mitaa kabla ya muda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nchi ngumu sana hii,mbona Nchimbi na Makalla kila siku wapo mikutanoni mikoani huko??hii ni double standard,moja ya kazi za kipumbavu nilizowahi kufanya ni kuajiriwa na Jeshi la Polisi Tanzania,nashukuru Mungu niliacha kazi
Ww tutakibao ww
 
Kwanini sasa wanafanya Kampeni kabla ya muda wakati wanajua ni kukiuka sheria za uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…