"Samia Bridge" Ndoto inayoishi na itakayokamilishwa na awamu hii ya 6.

"Samia Bridge" Ndoto inayoishi na itakayokamilishwa na awamu hii ya 6.

Ona hapo, ulipita miaka gani maana hii ni picha ya oktoba
Napita mara ya mwisho ilikuwa August lakini hapakuwa hivi,anyway kama wamefikia hatua hii basi ni njema kwa wenyeji wa Sengerema na Mwanza
 
Napita mara ya mwisho ilikuwa August lakini hapakuwa hivi,anyway kama wamefikia hatua hii basi ni njema kwa wenyeji wa Sengerema na Mwanza
Hiyo ni picha ya mwezi oktoba. Kazi inaendelea tena kwa kasi kubwa na kumbuka hii si kazi ya kukimbiza inahtaji umakini wa zaidi ya 100% ndo maana watu wanahisi imesimama. Tuko na Nyerere bridge, mkapa bridge, magufuli bridge sasa tujiandae na Samia bridge.
 
Hiyo ni picha ya mwezi oktoba. Kazi inaendelea tena kwa kasi kubwa na kumbuka hii si kazi ya kukimbiza inahtaji umakini wa zaidi ya 100% ndo maana watu wanahisi imesimama. Tuko na Nyerere bridge, mkapa bridge, magufuli bridge sasa tujiandae na Samia bridge.
Kila la kheri kaka naona umeamua kufanya kazi ya uenezi vizuri.
 
Kila la kheri kaka naona umeamua kufanya kazi ya uenezi vizuri.
SIyo uenezi bali mi ni mdau wa maendeleo sana!! Nimetembea saaana na kuona sasa ni wakati wa mama mchapakazi kuwaunganisha watanzania waliopo ukerewe na fursa za wasiokuwa kisiwani humo kibiasha n.k kwa kutumia daraja maana barabara ipo tena ya lami.
 
Huku kumejaa wasimbe sugu yani makonki,
Hapa ndo huwa naamini rais wa nchi anaongoza watu wa aina nyingi sana. Na wanakuwa na moyo wa uvumilivu kuliko binadamu wengine wengi.
 
Ndoto iliyopitishwa!! Usiku ule nikiwa ndotoni ghafla nikaona madaraja matatu mazuri ambayo ni msaada mkubwa kwa wananchi wote; Nyerere bridge, Busisi bridge na Samia Bridge!! Daraja moja limeanzishwa na kujengwa na Mama mzaliwa wa visiwa vya Zanzibar hadi kukamilika hivyo kwa kuheshimu na kuuthamini mchango wake kwa sauti ya pamoja daraja hilo likaitwa Samia bridge ili akumbukwe kutoka kizazi hadi kizazi. Madaraja mengine yanafahamika lakini daraja la Samia ndiyo ndoto inayoishi. Daraja la Samia linaunganisha kisiwa na ni wilaya ya Ukerewe hadi wilaya ya Bunda. Mbali ya kuwa kivutio kikubwa pia linakuwa msaada mkubwa sana kwa watanzania wa kisiwani humo na watanzania wengine wote kwa kuwarahisishia shughuli za kiuchumi na kijamii ikiwemo matibabu ya watu wa kibara katika hospitali ya rufaa inayojengwa wilayani Ukerewe. Ndoto ya muda mrefu inaenda kutimizwa na Mama huyu shujaa, kwa hakika mama anaifungua nchi ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Nawasalimu kwa jina la Jamhuri, wote mnatakiwa kujibu KAZI IENDELEE. Mungu ibariki Tanzania na Mungu mbariki shujaa huyu wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan katika kutimiza ndoto hii inayoishi.
Wagambati
 
Hivi humu hakuna sehemu ya kuchat kwa voice note?? Anyway kuwa UWT siyo dhambi lakini all in all Samia bridge is the next after magufuli bridge.
Miradi imebuma karibu yote, matumizi ya hii serikali hii ni makubwa mno ambayo hayana msingi.
 
Miradi imebuma karibu yote, matumizi ya hii serikali hii ni makubwa mno ambayo hayana msingi.
Ukifuata rumors ni kweli imebuma lakini ukiingia kwenye field miradi inatembea. Niko na vijana ninaowajua wanapiga kaz sgr tangu 2021 hadi leo wapo huko hawajawahi kutoka kisa kazi zimesimama. Bwawa la nyerere nadhani mnajua liko kasi sana, busisi ndo hivyo linatembea hadi sasa ni over 80%. Mama anaitumikia familia hii siyo kama tunavyofumbwa macho.
 
Back
Top Bottom