"Samia Bridge" Ndoto inayoishi na itakayokamilishwa na awamu hii ya 6.

"Samia Bridge" Ndoto inayoishi na itakayokamilishwa na awamu hii ya 6.

Ukifuata rumors ni kweli imebuma lakini ukiingia kwenye field miradi inatembea. Niko na vijana ninaowajua wanapiga kaz sgr tangu 2021 hadi leo wapo huko hawajawahi kutoka kisa kazi zimesimama. Bwawa la nyerere nadhani mnajua liko kasi sana, busisi ndo hivyo linatembea hadi sasa ni over 80%. Mama anaitumikia familia hii siyo kama tunavyofumbwa macho.
Wewe dada angu pokea posho yako ukae kimya
 
Wewe dada angu pokea posho yako ukae kimya
SAwa kaka yangu lakini Samia bridge si yangu tu, hata chadema itatumia wakati wa kwenda kupiga kampeni ili kupunguziwa kero za kunyimwa kivuko kwa sababu za kitaalamu.
 
Sijawahi kuwa chawa ila ni ndoto za kila mtanzania hasa walioko maeneo ya visiwani kuona usafiri unakuwa wa uhakika.
Kwa hiyo umeiweka hii kwa nia ya kuomba kuwe na daraja la kuunganisha ukerewe na Bunda, ila ukaileta kwa kumvisha kilemba cha ukoka?
 
Busisi hilo liko hatua za mwisho ili la Samia bridge lianze
Usidanganyike ndugu yangu. Daraja la Busisi halipo hatua za mwisho. Si mwaka huu wala si mwakani litakapokamilika. Linasuasua sana. Miaka sasa tangu lianze, na bado wanasuasua na nguzo tu mpaka leo.
 
Hivi Ukerewe inaiingizia pato kiasi gani Tanzania hadi ujenge daraja la mabilioni wakati ferries tu zinaweza zikatatua shida ya uvushaji?
 
Hivi Ukerewe inaiingizia pato kiasi gani Tanzania hadi ujenge daraja la mabilioni wakati ferries tu zinaweza zikatatua shida ya uvushaji?
Huduma za jamii unataka ziwe zinaingiza pesa?? Ukerewe ni mzalishaji mkubwa wa samaki, matunda n.k samaki tu zibaleta hivyo vibilioni unavyoleta nongwa
 
Kwa hiyo umeiweka hii kwa nia ya kuomba kuwe na daraja la kuunganisha ukerewe na Bunda, ila ukaileta kwa kumvisha kilemba cha ukoka?
Hii ni tafsiri yako. Lakini ni huduma kama zilivyo huduma kwa wengine.
 
Huduma za jamii unataka ziwe zinaingiza pesa?? Ukerewe ni mzalishaji mkubwa wa samaki, matunda n.k samaki tu zibaleta hivyo vibilioni unavyoleta nongwa

Kwa hiyo wewe unadhani madaraja au barabara huwa zinajengwa tu bila kufanya tathimini ya faida ya ujenzi wake?
 
Tulisikia kuna daraja linategemewa kujengwa kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar. Kama ndivyo litaitwa jina gani? Hili litakuwa ndiyo daraja refu kuliko yote barani Africa. Litafanana na yale tunayoyaona huko China. Litaitwa Samia Bridge au Mwinyi Bridge?
 
Tulisikia kuna daraja linategemewa kujengwa kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar. Kama ndivyo litaitwa jina gani? Hili litakuwa ndiyo daraja refu kuliko yote barani Africa. Litafanana na yale tunayoyaona huko China. Litaitwa Samia Bridge au Mwinyi Bridge?
Karume bridge, muasusi wa taifa la zanzibar.
 
Itahitaji makafara mengi sana kujenga daraja Hilo, wakerewe na wakara pamoja na wajita ni wachawi sana, katika jamii ya watu kumi, nane na nusu ni wachawi konki
 
Itahitaji makafara mengi sana kujenga daraja Hilo, wakerewe na wakara pamoja na wajita ni wachawi sana, katika jamii ya watu kumi, nane na nusu ni wachawi konki
Mbona umeme umepitishwa vizuri tu. Imani hz zilishapitwa na wakati
 
Maliza kwanza la Busisi homeboy sema ndoto nyingine ziko influenced na roho wachafu au misongo kwahiyo jaribu kuomba sana au upate chakula kizuri

Usisahau teuzi mwaka huu hatuna tena
Usipepese macho daraja la busisi ni daraja la JPM tumia jina Hilo Kila unapolitaja daraja hilo.hata kama hawapendi kusikia lkn ndiyo hivyo.
 
Back
Top Bottom