Samia kapitishwa kimakosa kugombea urais. Katiba ya CCM haikufuatwa

Samia kapitishwa kimakosa kugombea urais. Katiba ya CCM haikufuatwa

kaputula

Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
97
Reaction score
128
Kwanza tuelezwe na Nchimbi na timu yake zile shilingi millioni Samia alikua anachangiwa kuchukua fomu ya chama kugombea kuteuliwa kugombea urais zimeenda wapi.

Hilo ni jambo linaonyesha kuna taratibu za chama ukitaka kugombea uteuliwe kua mgombe urais. Nchimbi ameongoza uhuni kwa kukiuka utaratibu na katiba ya CCM. Ni haki kwenye katiba ya CCM mwanachama yeyote mwenye kutaka kugombea urais kupewa haki hiyo.

Hili lilotokea Dodoma kwa kuwalaghai watanzania na hasa wanaCCM eti kikao kilichoitishwa cha mkutano mkuu ni kwenda kujaza nafasi wazi ya makamu mwenyekiti na kupokea taarifa za utendaji wa serikali kisha kushtukizwa kumchagua Samia mgombea urais ni uhuni mtupu.

Nchimbi kwa hilo akazawadiwa kua mgombea mwenza. WanaCCM tusikubali chama kunajisiwa.
WanaCCM tusikubali na tudai mkutano mkuu wa kuteua mgombea urais muda utakapofika uitishwe. Huu uhuni usitishwe wanachama waweze kupewa haki kugombea na kupata mgombea wanayemtaka.
 
Hukupata Posho??
Kapigwa bao la tobo inamuuma. Hapa najua wemgi walitoka wanaugulia maumivu moyoni. Hovi sasa aanaalikana kwenye vikao vya sifi kujadili jambo hilo
 
Kwanza tuelezwe na Nchimbi na timu yake zile shilingi millioni Samia alikua anachangiwa kuchukua fomu ya chama kugombea kuteuliwa kugombea urais zimeenda wapi.

Hilo ni jambo linaonyesha kuna taratibu za chama ukitaka kugombea uteuliwe kua mgombe urais. Nchimbi ameongoza uhuni kwa kukiuka utaratibu na katiba ya CCM. Ni haki kwenye katiba ya CCM mwanachama yeyote mwenye kutaka kugombea urais kupewa haki hiyo.

Hili lilotokea Dodoma kwa kuwalaghai watanzania na hasa wanaCCM eti kikao kilichoitishwa cha mkutano mkuu ni kwenda kujaza nafasi wazi ya makamu mwenyekiti na kupokea taarifa za utendaji wa serikali kisha kushtukizwa kumchagua Samia mgombea urais ni uhuni mtupu.

Nchimbi kwa hilo akazawadiwa kua mgombea mwenza. WanaCCM tusikubali chama kunajisiwa.
WanaCCM tusikubali na tudai mkutano mkuu wa kuteua mgombea urais muda utakapofika uitishwe huu uhuni usitishwe wanachama waweze kupewa haki kugombea na kupata mgombea wanayomtaka.
Hilo lisha pita. Tungoje yajayo.

Wakupinga sio wewe wala mie ni wajumbe wakikao
 
Kwanza tuelezwe na Nchimbi na timu yake zile shilingi millioni Samia alikua anachangiwa kuchukua fomu ya chama kugombea kuteuliwa kugombea urais zimeenda wapi.

Hilo ni jambo linaonyesha kuna taratibu za chama ukitaka kugombea uteuliwe kua mgombe urais. Nchimbi ameongoza uhuni kwa kukiuka utaratibu na katiba ya CCM. Ni haki kwenye katiba ya CCM mwanachama yeyote mwenye kutaka kugombea urais kupewa haki hiyo.

Hili lilotokea Dodoma kwa kuwalaghai watanzania na hasa wanaCCM eti kikao kilichoitishwa cha mkutano mkuu ni kwenda kujaza nafasi wazi ya makamu mwenyekiti na kupokea taarifa za utendaji wa serikali kisha kushtukizwa kumchagua Samia mgombea urais ni uhuni mtupu.

Nchimbi kwa hilo akazawadiwa kua mgombea mwenza. WanaCCM tusikubali chama kunajisiwa.
WanaCCM tusikubali na tudai mkutano mkuu wa kuteua mgombea urais muda utakapofika uitishwe huu uhuni usitishwe wanachama waweze kupewa haki kugombea na kupata mgombea wanayomtaka.
CCM siyo chama cha siasa
 
Mbona hata katiba yenu huijui vizuri , nakusidia mgombea urais anatakiwa kuchukua fomu kuomba uteuzi, pili kutafuta wadhamini 250 mikoa kumi bars , miwili Zanzibar , kuitisha mkutano mkuu maalum , that's in short .
Kwahiyo Kikwete aliyependekeza Samia apewe tu Urais akamatwe?
 
Back
Top Bottom