Samia kapitishwa kimakosa kugombea urais. Katiba ya CCM haikufuatwa

Samia kapitishwa kimakosa kugombea urais. Katiba ya CCM haikufuatwa

Mambo ya ccm waliyofanya kwenye mkutano wao tumeyaweka pending kwanza tujadili ya chadema wamalize shughuli yao ndio tuwarudie ccm tuone wamempataje mgombea wao wa urais
SAWA kabisa kamanda ✌️
 
Kwanza tuelezwe na Nchimbi na timu yake zile shilingi millioni Samia alikua anachangiwa kuchukua fomu ya chama kugombea kuteuliwa kugombea urais zimeenda wapi.

Hilo ni jambo linaonyesha kuna taratibu za chama ukitaka kugombea uteuliwe kua mgombe urais. Nchimbi ameongoza uhuni kwa kukiuka utaratibu na katiba ya CCM. Ni haki kwenye katiba ya CCM mwanachama yeyote mwenye kutaka kugombea urais kupewa haki hiyo.

Hili lilotokea Dodoma kwa kuwalaghai watanzania na hasa wanaCCM eti kikao kilichoitishwa cha mkutano mkuu ni kwenda kujaza nafasi wazi ya makamu mwenyekiti na kupokea taarifa za utendaji wa serikali kisha kushtukizwa kumchagua Samia mgombea urais ni uhuni mtupu.

Nchimbi kwa hilo akazawadiwa kua mgombea mwenza. WanaCCM tusikubali chama kunajisiwa.
WanaCCM tusikubali na tudai mkutano mkuu wa kuteua mgombea urais muda utakapofika uitishwe huu uhuni usitishwe wanachama waweze kupewa haki kugombea na kupata mgombea wanayomtaka.
Jana nimeandika CCM wamevunja ibara ya 100 (5) c ya katiba ya CCM ya 1977 toleo la Disemba 2022.
 
Pesa zilizochangwa zitatumika kuchukua Fomu ya Urais pindi Tume Huru ya Uchaguzi itakapowaalika wagombea kuchukua Fomu.Mchakato bado unaendelea.
Umevuta bangi au umekunywa gongo?
 
Posho zimeisha mmeanza kutoa milio sasa..!!
 
Ulilala kwenye mkutano wewe, hukusikia wenzako wakipiga kelele za ndiyo?
 
Mambo ya ccm waliyofanya kwenye mkutano wao tumeyaweka pending kwanza tujadili ya chadema wamalize shughuli yao ndio tuwarudie ccm tuone wamempataje mgombea wao wa urais
Naam spana size gani zitatumika mkuu?
 
Mbona hata katiba yenu huijui vizuri , nakusidia mgombea urais anatakiwa kuchukua fomu kuomba uteuzi, pili kutafuta wadhamini 250 mikoa kumi bars , miwili Zanzibar , kuitisha mkutano mkuu maalum , that's in short .
In short katiba haikufuatwa na wewe unaojua unakubali. Hilo ndio jambo muhimu.
 
Kwanza tuelezwe na Nchimbi na timu yake zile shilingi millioni Samia alikua anachangiwa kuchukua fomu ya chama kugombea kuteuliwa kugombea urais zimeenda wapi.

Hilo ni jambo linaonyesha kuna taratibu za chama ukitaka kugombea uteuliwe kua mgombe urais. Nchimbi ameongoza uhuni kwa kukiuka utaratibu na katiba ya CCM. Ni haki kwenye katiba ya CCM mwanachama yeyote mwenye kutaka kugombea urais kupewa haki hiyo.

Hili lilotokea Dodoma kwa kuwalaghai watanzania na hasa wanaCCM eti kikao kilichoitishwa cha mkutano mkuu ni kwenda kujaza nafasi wazi ya makamu mwenyekiti na kupokea taarifa za utendaji wa serikali kisha kushtukizwa kumchagua Samia mgombea urais ni uhuni mtupu.

Nchimbi kwa hilo akazawadiwa kua mgombea mwenza. WanaCCM tusikubali chama kunajisiwa.
WanaCCM tusikubali na tudai mkutano mkuu wa kuteua mgombea urais muda utakapofika uitishwe huu uhuni usitishwe wanachama waweze kupewa haki kugombea na kupata mgombea wanayomtaka.
Vipi azimio halitoshi kufanya maamuzi kwenye kikao?

Hili ndio azimio la kwanza?
 
Kwanza tuelezwe na Nchimbi na timu yake zile shilingi millioni Samia alikua anachangiwa kuchukua fomu ya chama kugombea kuteuliwa kugombea urais zimeenda wapi.

Hilo ni jambo linaonyesha kuna taratibu za chama ukitaka kugombea uteuliwe kua mgombe urais. Nchimbi ameongoza uhuni kwa kukiuka utaratibu na katiba ya CCM. Ni haki kwenye katiba ya CCM mwanachama yeyote mwenye kutaka kugombea urais kupewa haki hiyo.

Hili lilotokea Dodoma kwa kuwalaghai watanzania na hasa wanaCCM eti kikao kilichoitishwa cha mkutano mkuu ni kwenda kujaza nafasi wazi ya makamu mwenyekiti na kupokea taarifa za utendaji wa serikali kisha kushtukizwa kumchagua Samia mgombea urais ni uhuni mtupu.

Nchimbi kwa hilo akazawadiwa kua mgombea mwenza. WanaCCM tusikubali chama kunajisiwa.
WanaCCM tusikubali na tudai mkutano mkuu wa kuteua mgombea urais muda utakapofika uitishwe huu uhuni usitishwe wanachama waweze kupewa haki kugombea na kupata mgombea wanayomtaka.
Ccm bana, akili zao
Waliona. membe na lowasa wasiwepo ili kusiwe na upinzani
 
Mchawi wa mchongo mzima ni yule mlima mananasi wa msoga
Mchawi kivipi? Hujaona kwamba alitupiwa mzigo ghafla tena kwa kushtukiza?

Angesema nini mbele ya umati ule zaidi ya kuunga mkono, japo alijaribu kusisitiza utaratibu ufuatwe lakini chawa walimzidi nguvu.
 
Tanzania Wajinga Ni Wengi
Pesa Zimechangwa Kote Ila Fomu Hakuna
Chama cha walimu, bodi/umoja wa wakandarasi, na wengine wengi, wanajisikiaje na zile mbwembwe zote
 
Mchawi kivipi? Hujaona kwamba alitupiwa mzigo ghafla tena kwa kushtukiza?

Angesema nini mbele ya umati ule zaidi ya kuunga mkono, japo alijaribu kusisitiza utaratibu ufuatwe lakini chawa walimzidi nguvu.
Mchongo ulikua planned kitambo ule na zile ndo pigo zake bata yule
R.i.p mzee wa lupaso
 
Mchongo ulikua planned kitambo ule na zile ndo pigo zake bata yule
R.i.p mzee wa lupaso
Kweli mchezo ulikuwa planned lakini yeye sio mhusika wa mchezo ule, kama unajua kutizama body language na facial expressions utagundua jambo zito lililokuwa linatokea wakati ule.
 
Kweli mchezo ulikuwa planned lakini yeye sio mhusika wa mchezo ule, kama unajua kutizama body language na facial expressions utagundua jambo zito lililokuwa linatokea wakati ule.
Hakuna cha body language wala nn mzee kauza turufu kwa binti yake kuendeleza makulaji yake
 
Back
Top Bottom