KIPALI
Member
- Apr 4, 2017
- 18
- 24
SAWA kabisa kamanda ✌️Mambo ya ccm waliyofanya kwenye mkutano wao tumeyaweka pending kwanza tujadili ya chadema wamalize shughuli yao ndio tuwarudie ccm tuone wamempataje mgombea wao wa urais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAWA kabisa kamanda ✌️Mambo ya ccm waliyofanya kwenye mkutano wao tumeyaweka pending kwanza tujadili ya chadema wamalize shughuli yao ndio tuwarudie ccm tuone wamempataje mgombea wao wa urais
Jana nimeandika CCM wamevunja ibara ya 100 (5) c ya katiba ya CCM ya 1977 toleo la Disemba 2022.Kwanza tuelezwe na Nchimbi na timu yake zile shilingi millioni Samia alikua anachangiwa kuchukua fomu ya chama kugombea kuteuliwa kugombea urais zimeenda wapi.
Hilo ni jambo linaonyesha kuna taratibu za chama ukitaka kugombea uteuliwe kua mgombe urais. Nchimbi ameongoza uhuni kwa kukiuka utaratibu na katiba ya CCM. Ni haki kwenye katiba ya CCM mwanachama yeyote mwenye kutaka kugombea urais kupewa haki hiyo.
Hili lilotokea Dodoma kwa kuwalaghai watanzania na hasa wanaCCM eti kikao kilichoitishwa cha mkutano mkuu ni kwenda kujaza nafasi wazi ya makamu mwenyekiti na kupokea taarifa za utendaji wa serikali kisha kushtukizwa kumchagua Samia mgombea urais ni uhuni mtupu.
Nchimbi kwa hilo akazawadiwa kua mgombea mwenza. WanaCCM tusikubali chama kunajisiwa.
WanaCCM tusikubali na tudai mkutano mkuu wa kuteua mgombea urais muda utakapofika uitishwe huu uhuni usitishwe wanachama waweze kupewa haki kugombea na kupata mgombea wanayomtaka.
Umevuta bangi au umekunywa gongo?Pesa zilizochangwa zitatumika kuchukua Fomu ya Urais pindi Tume Huru ya Uchaguzi itakapowaalika wagombea kuchukua Fomu.Mchakato bado unaendelea.
Kasema Nchi itapigwa mnadaKwani yule Mzee kipara wa Kongwa anasemaje..?
Naam spana size gani zitatumika mkuu?Mambo ya ccm waliyofanya kwenye mkutano wao tumeyaweka pending kwanza tujadili ya chadema wamalize shughuli yao ndio tuwarudie ccm tuone wamempataje mgombea wao wa urais
In short katiba haikufuatwa na wewe unaojua unakubali. Hilo ndio jambo muhimu.Mbona hata katiba yenu huijui vizuri , nakusidia mgombea urais anatakiwa kuchukua fomu kuomba uteuzi, pili kutafuta wadhamini 250 mikoa kumi bars , miwili Zanzibar , kuitisha mkutano mkuu maalum , that's in short .
Vipi azimio halitoshi kufanya maamuzi kwenye kikao?Kwanza tuelezwe na Nchimbi na timu yake zile shilingi millioni Samia alikua anachangiwa kuchukua fomu ya chama kugombea kuteuliwa kugombea urais zimeenda wapi.
Hilo ni jambo linaonyesha kuna taratibu za chama ukitaka kugombea uteuliwe kua mgombe urais. Nchimbi ameongoza uhuni kwa kukiuka utaratibu na katiba ya CCM. Ni haki kwenye katiba ya CCM mwanachama yeyote mwenye kutaka kugombea urais kupewa haki hiyo.
Hili lilotokea Dodoma kwa kuwalaghai watanzania na hasa wanaCCM eti kikao kilichoitishwa cha mkutano mkuu ni kwenda kujaza nafasi wazi ya makamu mwenyekiti na kupokea taarifa za utendaji wa serikali kisha kushtukizwa kumchagua Samia mgombea urais ni uhuni mtupu.
Nchimbi kwa hilo akazawadiwa kua mgombea mwenza. WanaCCM tusikubali chama kunajisiwa.
WanaCCM tusikubali na tudai mkutano mkuu wa kuteua mgombea urais muda utakapofika uitishwe huu uhuni usitishwe wanachama waweze kupewa haki kugombea na kupata mgombea wanayomtaka.
Ccm bana, akili zaoKwanza tuelezwe na Nchimbi na timu yake zile shilingi millioni Samia alikua anachangiwa kuchukua fomu ya chama kugombea kuteuliwa kugombea urais zimeenda wapi.
Hilo ni jambo linaonyesha kuna taratibu za chama ukitaka kugombea uteuliwe kua mgombe urais. Nchimbi ameongoza uhuni kwa kukiuka utaratibu na katiba ya CCM. Ni haki kwenye katiba ya CCM mwanachama yeyote mwenye kutaka kugombea urais kupewa haki hiyo.
Hili lilotokea Dodoma kwa kuwalaghai watanzania na hasa wanaCCM eti kikao kilichoitishwa cha mkutano mkuu ni kwenda kujaza nafasi wazi ya makamu mwenyekiti na kupokea taarifa za utendaji wa serikali kisha kushtukizwa kumchagua Samia mgombea urais ni uhuni mtupu.
Nchimbi kwa hilo akazawadiwa kua mgombea mwenza. WanaCCM tusikubali chama kunajisiwa.
WanaCCM tusikubali na tudai mkutano mkuu wa kuteua mgombea urais muda utakapofika uitishwe huu uhuni usitishwe wanachama waweze kupewa haki kugombea na kupata mgombea wanayomtaka.
Mchawi kivipi? Hujaona kwamba alitupiwa mzigo ghafla tena kwa kushtukiza?Mchawi wa mchongo mzima ni yule mlima mananasi wa msoga
Chama cha walimu, bodi/umoja wa wakandarasi, na wengine wengi, wanajisikiaje na zile mbwembwe zoteTanzania Wajinga Ni Wengi
Pesa Zimechangwa Kote Ila Fomu Hakuna
Mchongo ulikua planned kitambo ule na zile ndo pigo zake bata yuleMchawi kivipi? Hujaona kwamba alitupiwa mzigo ghafla tena kwa kushtukiza?
Angesema nini mbele ya umati ule zaidi ya kuunga mkono, japo alijaribu kusisitiza utaratibu ufuatwe lakini chawa walimzidi nguvu.
Kweli mchezo ulikuwa planned lakini yeye sio mhusika wa mchezo ule, kama unajua kutizama body language na facial expressions utagundua jambo zito lililokuwa linatokea wakati ule.Mchongo ulikua planned kitambo ule na zile ndo pigo zake bata yule
R.i.p mzee wa lupaso
Hakuna cha body language wala nn mzee kauza turufu kwa binti yake kuendeleza makulaji yakeKweli mchezo ulikuwa planned lakini yeye sio mhusika wa mchezo ule, kama unajua kutizama body language na facial expressions utagundua jambo zito lililokuwa linatokea wakati ule.
Wachawi walishakufaMchawi wa mchongo mzima ni yule mlima mananasi wa msoga
Mkuda sana yule mzee wa sikindeWachawi walishakufa
Sawa muda utaongea, 2025 bado mbichi.Hakuna cha body language wala nn mzee kauza turufu kwa binti yake kuendeleza makulaji yake