ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #101
Ni lazima na lazima tena ndio maana Russia anajuta na anapambana kuhakikiaha Ukraine inarudi mikono salama.Kwahiyo sio lazima kuungana na uliye karibu naye, maana kama ni nguvu unaweza kuipata popote.
Nitajie Mkristo kwenye baraza la wawakilishi au baraza la mapinduzi kama yupo hata wa dawaWapo na inategemea kama wamegombea.By the way Zanzibar na Bara chama ni CCM.
Bara Waislamu vs Wakristo ni nusu Kwa nusu.
Uongozi Chadema 99.9% Wakristo 🤣🤣🤣🤣 chama Cha kidini.
Kwani ni kazi ya serikali kuweka hiyo balance ya dini? Chama kazi yake ni kuhakikisha watu wa dini tofauti wanapata uwakilishi.Kwanini huko Zanzibar kusiwe na balance ya hizo dini Ili iwe ni nchi sahihi? Upuuzi mtupu.
Bora tungeungana na Kenya au Ugada na siyo hii balaa ya ZanzibarKwahiyo sio lazima kuungana na uliye karibu naye, maana kama ni nguvu unaweza kuipata popote.
Zanzibar 99.9% ni Waislamu,hiyo possibility ya Wakristo Inatoka wapi?Nitajie Mkristo kwenye baraza la wawakilishi au baraza la mapinduzi kama yupo hata wa dawa
Chadomo mtakuja kuungana Tanzania ikipata bahati mbaya ya kuwapa DolaBora tungeungana na Kenya au Ugada na siyo hii balaa ya Zanzibar
Ni muungwana ,Sukuma gang hawakutaka ,Sasa walioteswa na Sukima gang wameunga na watesi eti kumtukana aliyewapa mkono wa heri 😁😁Huyo Samia kwani alishikiwa mtutu kwenda kumuona Lisu?ni kiherehere chake ndicho kilichomfanya akajipendekeze
Mjinga sn wewe, kwahiyo Zanzibar ni nchi ya kiislamu? mbona kuna makanisa kibao na wakristo wazanzibar wapo kibao?Zanzibar 99.9% ni Waislamu,hiyo possibility ya Wakristo Inatoka wapi?
Chadema ni chama Cha kidini
Tokeni huku bara rudini kwenuChadomo mtakuja kuungana Tanzania ikipata bahati mbaya ya kuwapa Dola
Kwenye Katiba sio ila kiuhalisia Yes Kwa sababu 99.9% ni Waislamu.Mjinga sn wewe, kwahiyo Zanzibar ni nchi ya kiislamu? mbona kuna makanisa kibao na wakristo wazanzibar wapo kibao?
Turudi kwetu wapi? Mimi kwetu ni NjombeTokeni huku bara rudini kwenu
Nyie ni wadini na wabaguziKwenye Katiba sio ila kiuhalisia Yes Kwa sababu 99.9% ni Waislamu.
Chadema ni chama Cha kidini
Hakuna mtu kutoka bara hana akili kama wewe, kwenu ni mji mkongweTurudi kwetu wapi? Mimi kwetu ni Njombe
Kama chama ni ccm hata huko Zanzibar kwenye waisilamu wengi, kwanini msipeleke Hawa wakristo wa Bara ili mkabalance hizo dini kwenye uongozi?Wapo na inategemea kama wamegombea.By the way Zanzibar na Bara chama ni CCM.
Bara Waislamu vs Wakristo ni nusu Kwa nusu.
Uongozi Chadema 99.9% Wakristo 🤣🤣🤣🤣 chama Cha kidini.
Wabaguzi ni Machadema kama mnavyowakikishwa vyema na Kiongozi wenu mbagusi Lisu.Nyie ni wadini na wabaguzi
Ndio nipo Mimi Sasa,unajiuliza akili mlizonazo ndio hizo za kuhubiri chuki Ili mje kuuana kama huko kwingine au? Akili za hivyo sizitakiHakuna mtu kutoka bara hana akili kama wewe, kwenu ni mji mkongwe
Narudia tena, mbona Israel Hana Cha kupoteza kwa kutoungana na aliye karibu naye? Mbona Korea Kusini hajaungana na Korea Kaskazini na ana uchumi bab kubwa?Ni lazima na lazima tena ndio maana Russia anajuta na anapambana kuhakikiaha Ukraine inarudi mikono salama.
Nyie nyumbu haya mambo hamuelewi kitu
Wakristo wa Bara waende Zanzibar kufanya nini kwenye Serikali ya Zanzibar? Wako Zanzibar kufanya kaiz kwenye maeneo ya Muungano wako wengi sana huko.Kama chama ni ccm hata huko Zanzibar kwenye waisilamu wengi, kwanini msipeleke Hawa wakristo wa Bara ili mkabalance hizo dini kwenye uongozi?