Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ungejibu ulichoulizwa ingependeza mtoto wakike ,jifunze kujibu unachoulizwa
 
Sijawahi ona popoge cdm au Lisu wakimtukana Samia kama mama au kama rais anapewa heshima zote lakini makosa na uvurundaji serikalini ukikosolewa sio matusi kwa rais
 
Hamna laana wala lisu sio mhuni na hajawahi mtukana rais nyie chawa na kunguni mnaoshadadia uongo mtakufa na vijiba vya roho
 
Sam
Samia inafaa ampe Lisu gari jipya kwani majangili ya mwendazake ndio yalitaka chukua roho ya lisu lakin Mungu akaingiliq kati akamtwaa mwendakuzimu akamsokomezea motoni huku lisu akiishi na kutarajia kuleta ukombozi wa kifikra nchini
 
Sam

Samia inafaa ampe Lisu gari jipya kwani majangili ya mwendazake ndio yalitaka chukua roho ya lisu lakin Mungu akaingiliq kati akamtwaa mwendakuzimu akamsokomezea motoni huku lisu akiishi na kutarajia kuleta ukombozi wa kifikra nchini
Machadema si wanasemaga kununua magari mapya mazuri ni anasa,anunue Vitz Sasa 😁😁
 
Onyesha kadi ya mwaliko " MAVI" yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…