Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

Rushwa ni adui wa haki
 
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

Aliyetoa amri apigwe risasi, ni boss wake, pia hata ye ye aliwahi kunukuliwa, akikili, kwamba "ingekuwa polisi ndio wamempiga risasi, angekua ameishakufa" Alimkamata na kmfunga More kwa kesi ya "ugaidi" Alipotoka, akamkaribisha ikulu! "Gaidi anakaribishwa ikulu"
Hv nyie CCM, hebu fikirieni, mnatoka madarakani harafu kijana mdogo kama Zito, au, Lisu anakuwa, raisi wa nchi! Angslieni Senegal,
 
Aliyetoa amri apigwe risasi, ni boss wake, pia hata ye ye aliwahi kunukuliwa, akikili, kwamba "ingekuwa polisi ndio wamempiga risasi, angekua ameishakufa" Alimkamata na kmfunga More kwa kesi ya "ugaidi" Alipotoka, akamkaribisha ikulu! "Gaidi anakaribishwa ikulu"
Hv nyie CCM, hebu fikirieni, mnatoka madarakani harafu kijana mdogo kama Zito, au, Lisu anakuwa, raisi wa nchi! Angslieni Senegal,
Mbowe alikamatwa awamu ya Mwendazake,na eti alivunjwa Mguu 😄😄

Ni huruma ya Samia ilimtoa gaidi ndani achilia mbali huyo Lisu asiyekuwa na Shukrani na hawezi kuwa rafiki wa mtu
 
Mbowe alikamatwa awamu ya Mwendazake,na eti alivunjwa Mguu 😄😄

Ni huruma ya Samia ilimtoa gaidi ndani achilia mbali huyo Lisu asiyekuwa na Shukrani na hawezi kuwa rafiki wa mtu
Ila taifa lilikuwa linaenda kuzimu yule mwendazake ni jini sio binadamu wa kawaida nimezidi kuwaogopa wahutu
 
Back
Top Bottom