Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania!

Kaka Paskali, Hata JPM mpo/wapo waliosema ni mpango wa Mungu..!!
 
Unatumia mda mwingi kuandika uharo tu
Mkuu mpwayungu village, mtu kutoa huo ulioutaja sio kwa kupenda ni kuugua, ukila kitu sicho tumbo likachafuka lazima utahar.sha hivyo ni ugonjwa. Kama ilivyo kwa tumbo, akili pia ikichafuka, utawaza hivyo, utasema hivyo na kuandika hivyo. Asante kwa hili na nimekutwangia like yako.
P
 
Uteuzi hupati
 
Hata JPM mlisema nimpango wa Mungu mnasimana kwenye nini sasa?
 
Paskal unajichanganya sana uandishi wako.Hauko specific ku focus kwenye kile ulichokusudia una hama hama sana mpaka unampoteza msomaji kunasa kile umekusudia akipate..

Inawezekana ni mtind wa uandishi lakin this is real not productive.Uandishi huu unamchosha msomaji..Hit the points direct.
 
Kaka Paskali, Hata JPM mpo/wapo waliosema ni mpango wa Mungu..!!
Mkuu Ngali, Ngalikihinja, sio tupo au wapo waliosema JPM ulikuwa ni mpango wa Mungu, it's as if tulisema tuu, no it was indeed JPM alikuwa ni mpango wa Mungu kwa Tanzania for a specific project, project ilipokamilika, mwendo akaumaliza na kuitwa kwake.
Angalia akina sisi tulisema nini na lini kuhusu JPM, Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Hivi ndivyo mipango ya Mungu inavyokuwa.
Sasa Samia ndio mpango mzima.
P
 
Kaka Paskali, if your references ni projects alizozianzisha na kuzifanikisha, kumbuka kuna zilizofail pia..!! Hiyo haiwezi kuwa reffered kwamba hakuwa mpango wa Mungu?
 
Kaka Paskali, if your references ni projects alizozianzisha na kuzifanikisha, kumbuka kuna zilizofail pia..!! Hiyo haiwezi kuwa reffered kwamba hakuwa mpango wa Mungu?
Mungu yupo ila shetani pia yupo, kuna watu kibao wa Mungu wamefanya mambo ya kishetani, Nabii Nuhu, baada ya mkewe kugeuka jiwe la chumvi wakati akitoroka Sodoma na Gomora, aliwalala mabinti wake mapacha akawabikiri na kuwatundika mimba wote wawili!. Hivyo kama kupotea Kwa Ben Saanane, Azory Gwanda na zile pyu pyu za Lissu he has a hand, then hiyo sio mipango ya Mungu ni mipango ya shetani.
P
 
Jitahidi kuonyesha busara hata kama una mahaba makubwa na watawala. Ni ujinga wa wazi kuvibebesha vyama vya upinzani uozo unaosababishwa na CCM na serikali yake.

Serikali ndiyo inayominya haki za wananchi. 2019 na 2020 ilivuka mpaka hadi kuwanyang’anya haki ya kuchagua wawakilishi wao katika serikali za mitaa na bungeni. Waliviengua vyama vya upinzani kwenye mihimili ya maamuzi na kuhakikisha ukiritimba wa CCM.

Halafu unadiriki kulia vyama vya upinzani havibebi ajenda za wananchi? Kupigania katiba na tume huru ya uchaguzi ni ajenda za viongozi? wa nchi gani? Wapinzani wakiongelea utendaji mbovu wa serikali na kutoa mapendekezo - nje ya bunge na Halmashauri wanashambuliwa na kuitwa wanaharakati. CCM yenyewe inajikanyagakanyaga tu. Leo, kinyume na msimamo wa 2015 inakubali kuwa katiba mpya ni hitaji la wananchi!
 
Hahahah
 
Then partly alikuwa mpango wa Mungu (due to projects alizopatia) and partly alikuwa mpango wa shetani maana kuna waliopotezwa na wengine kukutwa kwenye viroba as if mtu anajiuwa then akishakufa anaingia mwenyewe kwenye kiroba
 
Labda ameandika yeye ila wahuni wamei hack kabla haijafika mlango rasmi wa kutokea kwenda mtandao wa mawasiliano ikulu
 
Well said mkuu,kama hayotuzungumzwa ya huyu anaefanywa special marehemu hatuwez kujifunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…