Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania!

Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania!

Kwani kuna ubaya gani kumshukuru Mungu kwa kumchukua mja wake JPM?
Hakuna ubaya wowote, tena tumefunzwa kushukuru kwa yote
JPM ni Marehemu tu kama Mkapa na Nyerere, tutayaeleza yake mazuri na yale mabaya bila kupepesa
Kiafrika marehemu hasemwi vibaya, ila kama ni kuyasema makosa as lessons yasirudiwe sawa lakini sio kwa masimango
Hizi habari za marehemu hasemwi ni kwa kutambua kuwa katika hazina zake kuna tatizo , tunataka afichiwe

No! watu waeleze kila kitu ili tujifunze tusijefanya makosa mengine yatakayotugharimu miongo mingi ijayo

Nashukuru ujio wa JPM. Urais wake umetuonyesha kile wenzetu wa mataifa hasa Afrika walichokilalamikia
Miaka ya 70,80 nchi za Afrika zilitumbukia katika machafuko na Mapinduzi kila uchao, Tanzania hatukujua ni kwanini

JPM alituonyesha kwa uwazi hisani za watangulizi wake na kutufunulia matundu ya katiba ya nchi
Alituonyesha jinsi mtu mmoja na kundi la vijana akina Sabaya na Bashite wanavyoweza kutesa nchi
JPM alitufunulia mengi sana tuliyokuwa hatuyajui hasa ubovu wa mifumo ya nchi ikiangukia mikono mibaya
JPM ametuachia nyufa za mbegu za udini na ukabili vitu tulivvyodhani Tanzania haikuumbwa navyo
JPM akatuonyesha kiongozi anavyoweza ku 'hypnotize ' Taifa

Bila yeye tungeyajuaje hayo? Bila yeye tungejifunzaje ?
Amen.
P.
 
Mama Samia Amefika Hapo kwa uweza wa Mwenyezi Mungu, Amefika Hapo kwa mipango ya Mwenyezi Mungu, Amefika Hapo kwa kuwa ndivyo ambavyo Mwenyezi Mungu alimwandikia hivyo, Kwa kuwa ndivyo Mwenyezi Mungu alipanga iwe Hivyo, Ndivyo Ambavyo alitaka agano litimie katika ulimwengu wa kiroho wa uumbaji wa Mama Samia Tangia Akiwa Tumboni mwa mama yake

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Naunga mkono hoja, Samia Mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa Hili, Atabarikiwa!, Taifa Litabarikiwa!. Asante Mungu kwa Samia, Mungu Mbariki Samia, Mungu Ibariki Tanzania
P
 
Kwa vile leo ni birthday ya Rais Samia, nawaomba wana jf wote ambao ni well wishers, tuungane kumu wish Happy Birthday this lovely lady Rais wetu mpendwa, Rais wetu mpenzi, Rais wetu kipenzi, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, Chifu wa kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, ambayo Kanda ya kabila hilo ndio Kanda determinant ya kura za urais wa JMT, Chifu Hangaya.
Happy Birthday.

P
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Makala ya leo ni jinsi Rais Samia alivyo ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Rais Samia, Akifanikiwa kwenye hili, atabarikiwa sana na !, Taifa la Tanzania, litabarikiwa!. Natoa wito kwa wote wenye mapenzi mema na nia njema kwa taifa letu la Tanzania, sote katika umoja wetu, tupaze sauti zetu juu na kumshukuru Mungu kwa kutuletea Samia, "Asante Mungu kwa Samia, Mungu Mbariki Samia, Mungu Ibariki Tanzania"!.
View attachment 2285981View attachment 2285982
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo hili

Sasa twende kwenye mada ya leo.

Kila jambo hutokea kwa sababu, hata likiwa jambo baya, kunaweza kutokea jambo mbaya kumbe lina wema ndani yake, mfano wa Yesu kwa Wakristu, alikuja ili kuukomboa ulimwengu, Yesu aliteswa hadi kufa msalabani, hili jambo jema, ila ni kwa kupigwa kwake na kwa kuteswa kwake sisi tuliponywa, ukombozi ulipitia mateso na kifo cha msalabani ile dhambi ilikufa, ila aliyashinda mauti kwa ufufuko na kutuachia uzima wa milele kwa waaminio japo miili hii ya kidunia itakufa, lakini mwili wa kiroho haufi na tukapata uzima wa milele.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa JPM, alikuwa ni chaguo la Mungu kwa Tanzania, baada ya Tanzania ya JK, Tanzania aliyoipokea JPM, mahali ilipofikia, ilimhitaji mtu wa JPM type kuinyoosha kwanza, Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba! ndipo aje mtu kama Samia, kuipaisha, aliyoyafanya yale aliyoweza kuyafanya, ikiwemo kuchonga mabarabara mengi katika mambo mengi hadi kuitwa Tingatinga, baada ya kuukamilisha mpango wa Mungu kwa Tanzania kupitia JPM, Mungu akamuita kwake kwa namna ambayo ilituachia majonzi, lakini ndio mpango wa Mungu yeye kuondoka kwa namna hiyo, na hatuwezi kuhoji kwasababu kazi ya Mungu haiina makosa.

Kama JPM alikuwa ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, na baada ya Mungu kumuita JPM kwake na kumpangia majukumu mengine kule, ujio wa Samia pia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, mpaka hapa tulipofika, Rais Samia, ameisha onyesha kwa kauli na matendo, kuwa nay eye ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, Watanzania wote wapenda mema na ustawi wa taifa hili, sote tuseme Asante Mungu kwa Samia.

Hatusemi asante Mungu kutuondolea JPM na kutuletea Samia, tunasema asante Mungu kwa JPM na asante Mungu kwa Samia, kila zama na zama zake, kwa vile JPM alikuwa binaadamu na sio malaika, yale mambo ya kibinaadamu yasiyotupendeza enzi za JPM, tuyaache, tusiendee kuyasema sema ni kama kumsimanga marehemu, tumuache JPM apumzike kwa amani, na kwa mazuri ambayo Samia sasa anayafanya, tumpongeze Samia kwa mazuri yake bila kumlinganisha na mtangulizi wake.
Samia alipoingia tulishauri Mwaka 2021 ulikuwa ni Mwaka wa Majanga kwa Tanzania. Mwaka 2022 uwe Mwaka wa Mabadiliko, Watanzania tubadilike! Happy New Year!

Enzi za JPM, kuna baadhi yetu tulikuwa hatukohoi, na JPM alisema wazi “mimi sipangiwi” na hatukumpangia, Samia mara tuu baada ya kuingia, ameruhusu watu sasa tunakoa, kwa vile JPM hatukumpangia, nashauri hata kwa Samia, kama ni kukohoa tukoe lakini nay eye tusimpangie.

Pamajo na hoja hii kuwa tusimpangie rais wetu Samia, kufanya jambo lolote, lakini kukiwa na jambo lolote ambalo sio jema sio zuri sio la kupendeza, tulisema kwa nia ya kulionyeshea, na tutoe ushauri wa nini cha kufanya, huo ushauri wa kupendekeza nini cha kufanya, sio kumpangia ni kumshauri tuu.

Kwa muda mrefu baadhi yetu tumekuwa tukilalamikia baadhi ya sheria ambazo zinawakosesha haki Watanzania na baadhi ya sheria hizo zinahusiana na uendeshaji wa siasa za vyama vingi nchini Tanzania. Ukilalamikia jambo fulani, ukaliangazia, wenye mamlaka wakalisikia, wakatua kauli kuwa jambo hilo litashughulikiwa. Kitu cha kwanza ni kwa wewe uliolalamika kusema asante, kilio chako kimesikika, na kitu cha pili ni kumshukuru huyo aliyesikia kilio chako na kuahidi kushughulikia hilo jambo lako.
Baadhi ya hoja zangu kulalamikia sheria na kutaka watu tutendewe haki ni hizi
kwa wanaopenda Rejea. Kwa wasiopenda rejea you can just jump

Wiki hii Tanzania imeadhimisha miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi nchini, vyama vingi vilipoanza tena nchini Tanzania ile 1992, umenikuta mimi tayari nina mwaka mmoja kazini, nimeanza kazi Januari 2, mwaka 1990, hivyo mfumo wa vyama vingi umenikuta kazini, mpaka leo tunatimiza miaka 30 ya vyama vingi nchini, mimi niko Newsroom, na kati ya marais 6 wa Tanzania, nimapata bahati ya kufanya mahojiano ya ana kwa ana na marais 4, maombi ya kufanya mahojiano na Samia yako njiani.

Katika hii miaka yangu 30 ya mfumo wa vyama vingi, nimefanya vipindi vingi, nimehoji watu wengi, akiwemo Mama Samia nimefanya nae mahojiano ya saa moja mara mbili, mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na Mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti Bunge Maalum la Katiba, kuna siku nitarushia vipindi vya mahojiano hayo, hivyo kuna wengi ndio watamjua kumbe Samia na demokrasia, hakuanza leo.

Miongoni mwa makubwa ambayo nimekuwa nikilalamia ni sheria yetu ya uchaguzi, na makala zangu mbili zilizotangulia kabla ya leo, nikaeleza jinsi sheria hizo batili na kinyume cha katiba, zilivyokuja kuhalalishwa kwa kuchomekewa ndani ya katiba yetu.

Juzi katika waraka wake wa Miaka 30 ya Vyama Vingi nchini Tanzania, huku kwenye mtandao wa jamii unaoongoza nchini Tanzania, Jamii Forums, kuna makala inayosaamba inayodaiwa kuandikwa na mwandishi kwa jina la “Ameandika Rais Samia Suluhu Hassan: Miaka 30 ya Vyama Vingi - Changamoto na Mustakabali Kusonga Mbele”

Sina uhakika kama ni kweli ameandika Samia, kwasababu nimetembelea Mtandao wa :Mawasiliano Ikulu, sikuiona makala hii, ila ingekuwa ni fake, taarifa ingeishatoka kuwa hii ni fake, ila hata bila ya udhibitosho mwandishi ni Samia, maadam imesema jambo jema naomba kuinukuu.

“Nimedhamiria, kwamba kwenye kuenzi miaka yetu ya demokrasia ya vyama vingi. Serikali yangu itajitahidi kufanya mabadiliko katika mifumo ya kisiasa, kiuchumi na katika sheria zetu za uchaguzi.

Lengo, ni kwamba Tanzania yetu iende na wakati na kama ilivyokuwa wakati mwingine, tujue mapema ni wakati gani wa kufanya jambo, hata kama si watu wanaliunga au hawaliungi mkono kwa wakati husika.


Mabadiliko katika sheria zetu za uchaguzi, yataleta ushindani wa haki na kuwapa watu fursa ya kuwachagua wawatakao kuwaongoza” Mwisho wa kunukuu.

Japo hii ni ahadi tuu, lakini hili ni jambo jema kwasababu tumelipigia sana kelele.

Haki huinua taifa, kwa ahadi kama hizi, Rais Samia anazidi kuthibitisha yeye ni Chagua la Mungu kwa Tanzania, na akitekeleza haya, Rais Samia, atabarikiwa na Taifa Litabarikiwa. Asante Mungu kwa Rais Samia,

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
NI makara ndefu, lakini nikuulize wewe kama mwandishi wa long. Uonavyo unastahili kuchambua mafanikio na mapungufu kwa kutumia Mungu? Yaani sisi wa-TZ tuamini tuko hapo kwa sababu ya Mungu? Tukiendelea na mtindo wa kushindwa kutofautisha kazi za viongozi wa dini, wanasiasa, waandishi habari, n.k tumekwisha!

Wewe ni mwandishi, chambua kiandishi. Hizo salamu za Mungu wapo wahusika. Tukisikia mwanasiasa naye anatanguliza Mungu na kunukuu misahafu, ni dalili za kufilisika kisiasa.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Makala ya leo ni jinsi Rais Samia alivyo ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Rais Samia, Akifanikiwa kwenye hili, atabarikiwa sana na !, Taifa la Tanzania, litabarikiwa!. Natoa wito kwa wote wenye mapenzi mema na nia njema kwa taifa letu la Tanzania, sote katika umoja wetu, tupaze sauti zetu juu na kumshukuru Mungu kwa kutuletea Samia, "Asante Mungu kwa Samia, Mungu Mbariki Samia, Mungu Ibariki Tanzania"!.

Haki huinua taifa, kwa ahadi kama hizi, Rais Samia anazidi kuthibitisha yeye ni Chagua la Mungu kwa Tanzania, na akitekeleza haya, Rais Samia, atabarikiwa na Taifa Litabarikiwa. Asante Mungu kwa Rais Samia,


Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Angalia live Sunday service Arise and shine, Rais amepeleka sadaka ya shukrani kwa Mwamposa kupitia Chalamila.

Mama ni lazima abarikiwe.
Samia ni Baraka kwa Tanzania, ila lazima asaidiwe ili aweze zaidi na zaidi!.
P
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Makala ya leo ni jinsi Rais Samia alivyo ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Rais Samia, Akifanikiwa kwenye hili, atabarikiwa sana na !, Taifa la Tanzania, litabarikiwa!. Natoa wito kwa wote wenye mapenzi mema na nia njema kwa taifa letu la Tanzania, sote katika umoja wetu, tupaze sauti zetu juu na kumshukuru Mungu kwa kutuletea Samia, "Asante Mungu kwa Samia, Mungu Mbariki Samia, Mungu Ibariki Tanzania"!.
View attachment 2285981View attachment 2285982
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo hili

Sasa twende kwenye mada ya leo.

Kila jambo hutokea kwa sababu, hata likiwa jambo baya, kunaweza kutokea jambo mbaya kumbe lina wema ndani yake, mfano wa Yesu kwa Wakristu, alikuja ili kuukomboa ulimwengu, Yesu aliteswa hadi kufa msalabani, hili jambo jema, ila ni kwa kupigwa kwake na kwa kuteswa kwake sisi tuliponywa, ukombozi ulipitia mateso na kifo cha msalabani ile dhambi ilikufa, ila aliyashinda mauti kwa ufufuko na kutuachia uzima wa milele kwa waaminio japo miili hii ya kidunia itakufa, lakini mwili wa kiroho haufi na tukapata uzima wa milele.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa JPM, alikuwa ni chaguo la Mungu kwa Tanzania, baada ya Tanzania ya JK, Tanzania aliyoipokea JPM, mahali ilipofikia, ilimhitaji mtu wa JPM type kuinyoosha kwanza, Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba! ndipo aje mtu kama Samia, kuipaisha, aliyoyafanya yale aliyoweza kuyafanya, ikiwemo kuchonga mabarabara mengi katika mambo mengi hadi kuitwa Tingatinga, baada ya kuukamilisha mpango wa Mungu kwa Tanzania kupitia JPM, Mungu akamuita kwake kwa namna ambayo ilituachia majonzi, lakini ndio mpango wa Mungu yeye kuondoka kwa namna hiyo, na hatuwezi kuhoji kwasababu kazi ya Mungu haiina makosa.

Kama JPM alikuwa ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, na baada ya Mungu kumuita JPM kwake na kumpangia majukumu mengine kule, ujio wa Samia pia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, mpaka hapa tulipofika, Rais Samia, ameisha onyesha kwa kauli na matendo, kuwa nay eye ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, Watanzania wote wapenda mema na ustawi wa taifa hili, sote tuseme Asante Mungu kwa Samia.

Hatusemi asante Mungu kutuondolea JPM na kutuletea Samia, tunasema asante Mungu kwa JPM na asante Mungu kwa Samia, kila zama na zama zake, kwa vile JPM alikuwa binaadamu na sio malaika, yale mambo ya kibinaadamu yasiyotupendeza enzi za JPM, tuyaache, tusiendee kuyasema sema ni kama kumsimanga marehemu, tumuache JPM apumzike kwa amani, na kwa mazuri ambayo Samia sasa anayafanya, tumpongeze Samia kwa mazuri yake bila kumlinganisha na mtangulizi wake.
Samia alipoingia tulishauri Mwaka 2021 ulikuwa ni Mwaka wa Majanga kwa Tanzania. Mwaka 2022 uwe Mwaka wa Mabadiliko, Watanzania tubadilike! Happy New Year!

Enzi za JPM, kuna baadhi yetu tulikuwa hatukohoi, na JPM alisema wazi “mimi sipangiwi” na hatukumpangia, Samia mara tuu baada ya kuingia, ameruhusu watu sasa tunakoa, kwa vile JPM hatukumpangia, nashauri hata kwa Samia, kama ni kukohoa tukoe lakini nay eye tusimpangie.

Pamajo na hoja hii kuwa tusimpangie rais wetu Samia, kufanya jambo lolote, lakini kukiwa na jambo lolote ambalo sio jema sio zuri sio la kupendeza, tulisema kwa nia ya kulionyeshea, na tutoe ushauri wa nini cha kufanya, huo ushauri wa kupendekeza nini cha kufanya, sio kumpangia ni kumshauri tuu.

Kwa muda mrefu baadhi yetu tumekuwa tukilalamikia baadhi ya sheria ambazo zinawakosesha haki Watanzania na baadhi ya sheria hizo zinahusiana na uendeshaji wa siasa za vyama vingi nchini Tanzania. Ukilalamikia jambo fulani, ukaliangazia, wenye mamlaka wakalisikia, wakatua kauli kuwa jambo hilo litashughulikiwa. Kitu cha kwanza ni kwa wewe uliolalamika kusema asante, kilio chako kimesikika, na kitu cha pili ni kumshukuru huyo aliyesikia kilio chako na kuahidi kushughulikia hilo jambo lako.
Baadhi ya hoja zangu kulalamikia sheria na kutaka watu tutendewe haki ni hizi
kwa wanaopenda Rejea. Kwa wasiopenda rejea you can just jump

Wiki hii Tanzania imeadhimisha miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi nchini, vyama vingi vilipoanza tena nchini Tanzania ile 1992, umenikuta mimi tayari nina mwaka mmoja kazini, nimeanza kazi Januari 2, mwaka 1990, hivyo mfumo wa vyama vingi umenikuta kazini, mpaka leo tunatimiza miaka 30 ya vyama vingi nchini, mimi niko Newsroom, na kati ya marais 6 wa Tanzania, nimapata bahati ya kufanya mahojiano ya ana kwa ana na marais 4, maombi ya kufanya mahojiano na Samia yako njiani.

Katika hii miaka yangu 30 ya mfumo wa vyama vingi, nimefanya vipindi vingi, nimehoji watu wengi, akiwemo Mama Samia nimefanya nae mahojiano ya saa moja mara mbili, mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na Mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti Bunge Maalum la Katiba, kuna siku nitarushia vipindi vya mahojiano hayo, hivyo kuna wengi ndio watamjua kumbe Samia na demokrasia, hakuanza leo.

Miongoni mwa makubwa ambayo nimekuwa nikilalamia ni sheria yetu ya uchaguzi, na makala zangu mbili zilizotangulia kabla ya leo, nikaeleza jinsi sheria hizo batili na kinyume cha katiba, zilivyokuja kuhalalishwa kwa kuchomekewa ndani ya katiba yetu.

Juzi katika waraka wake wa Miaka 30 ya Vyama Vingi nchini Tanzania, huku kwenye mtandao wa jamii unaoongoza nchini Tanzania, Jamii Forums, kuna makala inayosaamba inayodaiwa kuandikwa na mwandishi kwa jina la “Ameandika Rais Samia Suluhu Hassan: Miaka 30 ya Vyama Vingi - Changamoto na Mustakabali Kusonga Mbele”

Sina uhakika kama ni kweli ameandika Samia, kwasababu nimetembelea Mtandao wa :Mawasiliano Ikulu, sikuiona makala hii, ila ingekuwa ni fake, taarifa ingeishatoka kuwa hii ni fake, ila hata bila ya udhibitosho mwandishi ni Samia, maadam imesema jambo jema naomba kuinukuu.

“Nimedhamiria, kwamba kwenye kuenzi miaka yetu ya demokrasia ya vyama vingi. Serikali yangu itajitahidi kufanya mabadiliko katika mifumo ya kisiasa, kiuchumi na katika sheria zetu za uchaguzi.

Lengo, ni kwamba Tanzania yetu iende na wakati na kama ilivyokuwa wakati mwingine, tujue mapema ni wakati gani wa kufanya jambo, hata kama si watu wanaliunga au hawaliungi mkono kwa wakati husika.


Mabadiliko katika sheria zetu za uchaguzi, yataleta ushindani wa haki na kuwapa watu fursa ya kuwachagua wawatakao kuwaongoza” Mwisho wa kunukuu.

Japo hii ni ahadi tuu, lakini hili ni jambo jema kwasababu tumelipigia sana kelele.

Haki huinua taifa, kwa ahadi kama hizi, Rais Samia anazidi kuthibitisha yeye ni Chagua la Mungu kwa Tanzania, na akitekeleza haya, Rais Samia, atabarikiwa na Taifa Litabarikiwa. Asante Mungu kwa Rais Samia,

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Paskali! Paskali! acha kujidhalilisha rafiki yangu. Pumzika kidogo upate akili mpya!
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Makala ya leo ni jinsi Rais Samia alivyo ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Rais Samia, Akifanikiwa kwenye hili, atabarikiwa sana na !, Taifa la Tanzania, litabarikiwa!. Natoa wito kwa wote wenye mapenzi mema na nia njema kwa taifa letu la Tanzania, sote katika umoja wetu, tupaze sauti zetu juu na kumshukuru Mungu kwa kutuletea Samia, "Asante Mungu kwa Samia, Mungu Mbariki Samia, Mungu Ibariki Tanzania"!.
View attachment 2285981View attachment 2285982
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo hili

Sasa twende kwenye mada ya leo.

Kila jambo hutokea kwa sababu, hata likiwa jambo baya, kunaweza kutokea jambo mbaya kumbe lina wema ndani yake, mfano wa Yesu kwa Wakristu, alikuja ili kuukomboa ulimwengu, Yesu aliteswa hadi kufa msalabani, hili jambo jema, ila ni kwa kupigwa kwake na kwa kuteswa kwake sisi tuliponywa, ukombozi ulipitia mateso na kifo cha msalabani ile dhambi ilikufa, ila aliyashinda mauti kwa ufufuko na kutuachia uzima wa milele kwa waaminio japo miili hii ya kidunia itakufa, lakini mwili wa kiroho haufi na tukapata uzima wa milele.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa JPM, alikuwa ni chaguo la Mungu kwa Tanzania, baada ya Tanzania ya JK, Tanzania aliyoipokea JPM, mahali ilipofikia, ilimhitaji mtu wa JPM type kuinyoosha kwanza, Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba! ndipo aje mtu kama Samia, kuipaisha, aliyoyafanya yale aliyoweza kuyafanya, ikiwemo kuchonga mabarabara mengi katika mambo mengi hadi kuitwa Tingatinga, baada ya kuukamilisha mpango wa Mungu kwa Tanzania kupitia JPM, Mungu akamuita kwake kwa namna ambayo ilituachia majonzi, lakini ndio mpango wa Mungu yeye kuondoka kwa namna hiyo, na hatuwezi kuhoji kwasababu kazi ya Mungu haiina makosa.

Kama JPM alikuwa ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, na baada ya Mungu kumuita JPM kwake na kumpangia majukumu mengine kule, ujio wa Samia pia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, mpaka hapa tulipofika, Rais Samia, ameisha onyesha kwa kauli na matendo, kuwa nay eye ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, Watanzania wote wapenda mema na ustawi wa taifa hili, sote tuseme Asante Mungu kwa Samia.

Hatusemi asante Mungu kutuondolea JPM na kutuletea Samia, tunasema asante Mungu kwa JPM na asante Mungu kwa Samia, kila zama na zama zake, kwa vile JPM alikuwa binaadamu na sio malaika, yale mambo ya kibinaadamu yasiyotupendeza enzi za JPM, tuyaache, tusiendee kuyasema sema ni kama kumsimanga marehemu, tumuache JPM apumzike kwa amani, na kwa mazuri ambayo Samia sasa anayafanya, tumpongeze Samia kwa mazuri yake bila kumlinganisha na mtangulizi wake.
Samia alipoingia tulishauri Mwaka 2021 ulikuwa ni Mwaka wa Majanga kwa Tanzania. Mwaka 2022 uwe Mwaka wa Mabadiliko, Watanzania tubadilike! Happy New Year!

Enzi za JPM, kuna baadhi yetu tulikuwa hatukohoi, na JPM alisema wazi “mimi sipangiwi” na hatukumpangia, Samia mara tuu baada ya kuingia, ameruhusu watu sasa tunakoa, kwa vile JPM hatukumpangia, nashauri hata kwa Samia, kama ni kukohoa tukoe lakini nay eye tusimpangie.

Pamajo na hoja hii kuwa tusimpangie rais wetu Samia, kufanya jambo lolote, lakini kukiwa na jambo lolote ambalo sio jema sio zuri sio la kupendeza, tulisema kwa nia ya kulionyeshea, na tutoe ushauri wa nini cha kufanya, huo ushauri wa kupendekeza nini cha kufanya, sio kumpangia ni kumshauri tuu.

Kwa muda mrefu baadhi yetu tumekuwa tukilalamikia baadhi ya sheria ambazo zinawakosesha haki Watanzania na baadhi ya sheria hizo zinahusiana na uendeshaji wa siasa za vyama vingi nchini Tanzania. Ukilalamikia jambo fulani, ukaliangazia, wenye mamlaka wakalisikia, wakatua kauli kuwa jambo hilo litashughulikiwa. Kitu cha kwanza ni kwa wewe uliolalamika kusema asante, kilio chako kimesikika, na kitu cha pili ni kumshukuru huyo aliyesikia kilio chako na kuahidi kushughulikia hilo jambo lako.
Baadhi ya hoja zangu kulalamikia sheria na kutaka watu tutendewe haki ni hizi
kwa wanaopenda Rejea. Kwa wasiopenda rejea you can just jump

Wiki hii Tanzania imeadhimisha miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi nchini, vyama vingi vilipoanza tena nchini Tanzania ile 1992, umenikuta mimi tayari nina mwaka mmoja kazini, nimeanza kazi Januari 2, mwaka 1990, hivyo mfumo wa vyama vingi umenikuta kazini, mpaka leo tunatimiza miaka 30 ya vyama vingi nchini, mimi niko Newsroom, na kati ya marais 6 wa Tanzania, nimapata bahati ya kufanya mahojiano ya ana kwa ana na marais 4, maombi ya kufanya mahojiano na Samia yako njiani.

Katika hii miaka yangu 30 ya mfumo wa vyama vingi, nimefanya vipindi vingi, nimehoji watu wengi, akiwemo Mama Samia nimefanya nae mahojiano ya saa moja mara mbili, mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na Mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti Bunge Maalum la Katiba, kuna siku nitarushia vipindi vya mahojiano hayo, hivyo kuna wengi ndio watamjua kumbe Samia na demokrasia, hakuanza leo.

Miongoni mwa makubwa ambayo nimekuwa nikilalamia ni sheria yetu ya uchaguzi, na makala zangu mbili zilizotangulia kabla ya leo, nikaeleza jinsi sheria hizo batili na kinyume cha katiba, zilivyokuja kuhalalishwa kwa kuchomekewa ndani ya katiba yetu.

Juzi katika waraka wake wa Miaka 30 ya Vyama Vingi nchini Tanzania, huku kwenye mtandao wa jamii unaoongoza nchini Tanzania, Jamii Forums, kuna makala inayosaamba inayodaiwa kuandikwa na mwandishi kwa jina la “Ameandika Rais Samia Suluhu Hassan: Miaka 30 ya Vyama Vingi - Changamoto na Mustakabali Kusonga Mbele”

Sina uhakika kama ni kweli ameandika Samia, kwasababu nimetembelea Mtandao wa :Mawasiliano Ikulu, sikuiona makala hii, ila ingekuwa ni fake, taarifa ingeishatoka kuwa hii ni fake, ila hata bila ya udhibitosho mwandishi ni Samia, maadam imesema jambo jema naomba kuinukuu.

“Nimedhamiria, kwamba kwenye kuenzi miaka yetu ya demokrasia ya vyama vingi. Serikali yangu itajitahidi kufanya mabadiliko katika mifumo ya kisiasa, kiuchumi na katika sheria zetu za uchaguzi.

Lengo, ni kwamba Tanzania yetu iende na wakati na kama ilivyokuwa wakati mwingine, tujue mapema ni wakati gani wa kufanya jambo, hata kama si watu wanaliunga au hawaliungi mkono kwa wakati husika.


Mabadiliko katika sheria zetu za uchaguzi, yataleta ushindani wa haki na kuwapa watu fursa ya kuwachagua wawatakao kuwaongoza” Mwisho wa kunukuu.

Japo hii ni ahadi tuu, lakini hili ni jambo jema kwasababu tumelipigia sana kelele.

Haki huinua taifa, kwa ahadi kama hizi, Rais Samia anazidi kuthibitisha yeye ni Chagua la Mungu kwa Tanzania, na akitekeleza haya, Rais Samia, atabarikiwa na Taifa Litabarikiwa. Asante Mungu kwa Rais Samia,

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Ndugu Paskali, Paskali....mkuu naheshimu maoni yako lakini aina yako ya uandishi uwa inaniacha na maswali mengi. Je, wewe ni mwandishi huru au kuna kitu unakitafuta? Kabla ya yote nikuulize,..ni Rais yupi kati ya 5 waliopita kuliongoza taifa letu haukuwa mpango wa Mungu?

Tulimsikia mara kadhaa jpm akidai maendeleo hayana chama, lakini matendo yake yalikuwa tofauti. Rais Samia na zile 4Rs zake, tumeona kilichotokea kwa akina Dr. Slaa, Mwambukusi, Mdude .....na kama haitoshi ni majuzi tu vyombo vya habari vimelalamikiwa kuingiliwa na mkono wa serikali ya Samia kwenye kuripoti baadhi ya taarifa hasa zinazohusiana na sakata la bandari. Bado tumesikia huko kanda ya ziwa, upinzani ukilalamika baadhi ya mikutano yake kuhujumiwa na Serikali kwenye mwanvuli wa chama.

Umezungumzia pia ujenzi wa miundo mbinu, ni sawa, lakini ni Rais yupi hakufanya hivyo kwa kiasi chake? Watanzania tumekuwa watu wa ajabu sana, tunasifia kupita kiasi mtu akiwa madarakani lakini akimaliza muda wake ukosoaji unakuwa mkubwa. Kasumba hii haisaidii kumuonyesha mhusika mapungufu ili ayafanyie kazi. Nilimsikia mh. Kinana juzijuzi tu akiwafokea mawaziri wavivu na kulikemea Bunge liache tabia ya kupitisha kila kitu kinacholetwa na serikali hata kama ni hovyo. Pamoja na kwamba inaweza kuwa imepangwa aseme hivyo katika michezo yao ya kisiasa lakini alisema jambo halisi lililopo.

Ndugu yangu, baadhi ya vitu vinavyolalamikiwa ni pamoja na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Je, kasi ya kushughulikia jambo hili anayoifanya SSH wewe inakuridhisha? Rais Samia kama walivyowanasiasa wengine hapa Tanzania hasa wale wa chama changu CCM, akikwambia jambo jipe muda kwanza atimize ndiyo umpe sifa zake. Sifia, sifia na kutukana wapinzani ilikuwa kete ya kupata uteuzi kwa Rais aliyepita siyo sana kwa mama Samia. Rais Magufuli alikuwa akivunja katiba na Sheria za nchi kwa kuzuia shughuli za vyama vya siasa, na hiyo hatoi uhalali wa kumsifia yule anaelekea kufuata katiba inavyotaka. Ni wajibu wake kufanya hivyo.
 
Mpango wa Mungu usaidiwe tena!? au unataka kumuingiza Shetani katikati ya Mpango wa Mungu!!?

au una maana Allah ashirikishwe kumsaidia Mungu...
Kwa vile leo ni birthday ya Rais Samia, nawaomba wana jf wote ambao ni well wishers, tuungane kumu wish Happy Birthday this lovely lady Rais wetu mpendwa, Rais wetu mpenzi, Rais wetu kipenzi, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, Chifu wa kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, ambayo Kanda ya kabila hilo ndio Kanda determinant ya kura za urais wa JMT, Chifu Hangaya.
Happy Birthday.

P
Kumsaidia Rais wetu ni jukumu lako, langu na mtanzania mwingine kumwambia ukweli mahala pabovu ili aparekebishe. Hii sifiasifia haimsaidii sana. Na inavyoelekea watu wanaomzunguka wanampotosha na hawampi taarifa sahihi, hivo ili kuziba hilo ombwe, tulioko nje ya mfumo wa serikali yake tumwambie ukweli.
 
Nisahihi kabisa ni nadra sana kukutana na kiongozi ambaye atapigiwa kelele kwa kiwango hili na akabakia na msimamo wake wengi wanayumba ili kujipendekeza ili wapate kura.

Amesimama kidete kama itaathiri kupigiwa kura haina shida muhimu kutekeleza Yale anayoamini yanamanufaa kwa wananchi wake hasa wanyonge.

Ipo siku itaeleweka kwamba wapiga filimbi walikuwa na ajenda nyuma ya tukio hili.

Nchi zote za Afrika zimepitia makosa kama hayo na kusababisha waingie kwenye migogoro isiyokwisha mfano waliompinga Mkwame Nkuruma,Keneth Kaunda nk mpaka Leo hawajazikombia nchi zao dhidi ya udhalimu wa kiuchumi.
 
Mheshimiwa mteue tu huyu Pascal Mayalla mpeleke huko mtwara, huku tutakuja kumvunjia heshima.
Mkuu Mamnde, Mamndenyi , hata kabla sijakujua kuwa wewe ni verified member, nilijikuta nimetokea kukuheshimu kwa michango yako, nakuheshimu sana, nakuomba uniheshimu!. Humu JF tuna wajinga wengi humu wanaodhani mimi natafuta shavu la uDC!. Naomba nisikuhesabu miongoni mwa wajinga hawa!.
Para ya 3 ya bandiko hili ni self explanatory, mimi sio chawa!.

Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo hili la tofauti kati ya pongezi za kujikomba kutafuta uteuzi, na pongezi za kweli bonafide genuine.
Humu jf, toka enzi za Ben, JK, JPM na Sasa Samia, kuna baadhi ya waandishi wa habari, wamekuwa wakila shavu la kulamba uteuzi kwa kuteuliwa, DC, Ras, Das au Wakurugenzi, hivyo mwandishi yoyote wa habari, akisifu jambo lolote zuri au jema linalofanywa na rais wa nchi, atanyooshewa vidole vya kusifu kwa uchawa tuu ili kujipendekeza kusaka fursa za uteuzi.

Declaration of Interest Kuhusu Kusifu
Mimi Pascal Mayalla ambaye ni Mwandishi wa habari wa kujitegea kwa kujitolea, naandika kwa kutanguliza mbele Maslahi ya Taifa tuu, na ikitokea nimesifu au kumpongeza mkuu wa nchi, sifa hizo na pongezi hizo ni pongezi bonafide genuine za kupongeza na sio kusaka fursa ya uteuzi wa kula shavu lolote katika teuzi za kwenye kisahani cha chai. Mimi sitafuti uteuzi wowote kwa yeyote, naondelea tuu kumuombea Mama azidi kuifungua nchi, mfano sasa nimerudi kwenye Maonyesho ya Saba Saba. Katika ziku ziku 10 za Saba Saba pekee, Mimi Pascal Mayalla, kupitia vipindi vyangu vya SabaSaba na PPR, vitaiingizia serikali kodi ya zaidi ya TZS milioni 100!. Sasa ni mshahara wa DC gani utachangia kodi ya serikali ya milioni 100
ndani ya siku 10!?. Sasa mtu wa maokoto hayo, autafute u DC wa nini?. Acheni Hizo!.

Tofauti ya Pongezi za "Uchawa" na Pongezi Bonafide Genuine.
Kiukweli kabisa, the dividing line between pongezi za uchawa na kujikombakomba na pongezi za kweli za encouragement bonafide genuine is very thin!, tofauti ya uchawa kama mataga, na pongezi za kweli mataga ni pongezi za fagilia, ni wakati pongezi za kweli ni critical, tunapongeza kwa jambo zuri la kweli la kustahili pongezi. lakini siku huyo anayepongezwa kwenye pongezi za kweli, akiharibu, anakula spana!, machawa wao kazi yao ni kupongeza tuu hata akiaharibu vipi wao watapongeza tuu lakini mimi pongezi zangu kwa Samia ni bonafide Genuine, na siku akiharibu, tuna mpara ila kwa heshima.
P
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Makala zangu elimishi za "Kwa Maslahi ya Taifa", Makala ya leo ni jinsi Rais Samia alivyo ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Rais Samia, Akifanikiwa kwenye hili, atabarikiwa sana na taifa la Tanzania, litabarikiwa!.

Natoa wito kwa wote wenye mapenzi mema na nia njema na taifa letu la Tanzania, sote katika umoja wetu, tupaze sauti zetu juu na kumshukuru Mungu kwa kutuletea Samia, "Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, ili atimize mapenzi yako"!.
Mungu Ibariki Tanzania"!.

Haki huinua taifa, kwa ahadi kama hizi, Rais Samia anazidi kuthibitisha yeye ni Chaguo la Mungu kwa Tanzania, na akitekeleza haya, Rais Samia, atabarikiwa na Taifa la Tanzania litabarikiwa sana!. Asante Mungu kwa Rais Samia,
Mungu Mbariki Rais Samia ayaweze kupitia YEYE.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Japo utekelezaji wa hili jambo haujafanyika, lakini dalili zote kuwa linakwenda kutimizwa zipo hivyo tayari baraka mbalimbali zimeisha anza kumiminika Tanzania na kwa Watanzania individually mfano hai ni huu Watanzania Fadhili na Ibrahim kuwania Tsh. Bilioni 2.4 katika Fainali za America's Got Talent

Watanzania tutake advantage ya spirit ya ushindi kwenye kila jambo lako lolote utafanikiwa!. Isiwe ni shida yako ni pesa, hivyo una wish ukiamka ukute pesa chini ya mto!, sio hivyo, you must do something to get the money!.

P
 
Back
Top Bottom