Samia ni Rais wa wafanyabiashara

Samia ni Rais wa wafanyabiashara

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Ukiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.

Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?

Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?

Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.

Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?

Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.

Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.

Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
 
Wewe Rais wa Wakulima uliwasaidia nini?

Tunaomba mtaje jinsi nyie mlivyosaidiwa na Rais wa wanyonge maana Samia ameamua kuwasaidia wakulima kama hivi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220701-162303.png
    Screenshot_20220701-162303.png
    112.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220701-162232.png
    Screenshot_20220701-162232.png
    114.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220720-054117.png
    Screenshot_20220720-054117.png
    160.4 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220720-054024.png
    Screenshot_20220720-054024.png
    214.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220719-153552.png
    Screenshot_20220719-153552.png
    165.2 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-115602.png
    Screenshot_20220719-115602.png
    102 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220719-115541.png
    Screenshot_20220719-115541.png
    150.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220718-094338.png
    Screenshot_20220718-094338.png
    159.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220718-094307.png
    Screenshot_20220718-094307.png
    159.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220711-165648.png
    Screenshot_20220711-165648.png
    129.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220701-162232.png
    Screenshot_20220701-162232.png
    114.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220616-201121.png
    Screenshot_20220616-201121.png
    212.1 KB · Views: 3
Ukiona rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.
Hivi katika nchi kama tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?

Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?

Juzi rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.

Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza.
Sekta binafsi ya tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?

Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.

Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.

Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
We Ni bogus kabisa, Naona mlizoea jiwe alivyokuwa ananyanyasa wafanyabiashara, mnadhani na Samia Ni punguani wakufanya huo ujinga, Nchi inaitaji Kodi hili isonge mbele kiuchumi na kadhalika, Sasa isipowajali wafanyabiashara unataka ikujali wewe mpiga kelele
 
We Ni bogus kabisa, Naona mlizoea jiwe alivyokuwa ananyanyasa wafanyabiashara, mnadhani na Samia Ni punguani wakufanya huo ujinga, Nchi inaitaji Kodi hili isonge mbele kiuchumi na kadhalika, Sasa isipowajali wafanyabiashara unataka ikujali wewe mpiga kelele
Ngojeni mka supply hewa serikalini maana ndicho kitu mnapenda😂
 
Huyu ni business woman, kumbuka private sector ni kutengeneza himaya binafsi katika jamii na hii inakuwa strategy. Huyo anaempigia chapuo mama mkapa kwa mfano, pake msimbazi centre wamejimilikisha jengo kuubwa balaa wanafanyia sherehe za maarusi. These guys ni watu kawaida kama mimi na wewe ila.kumbuka wakishatengeza hizi so called private institutions wanakuwa siyo tofauti nabkina mseveni maana zinageuka kama serikali ndani ya serikali .
 
Back
Top Bottom