Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninyi Wanyonge mimi ni Mfanyabiashara kwahiyo msitulazimishe tutetee maslahi yenu.Sasa huyo mama yako anatuhusu nini sisi??
Ni Raisi wako kwa mujibu wa Katiba comment zingine very low IQSasa huyo mama yako anatuhusu nini sisi??
Mkuu wewe kweli bongolala.Ukiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.
Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?
Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?
Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.
Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?
Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.
Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.
Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
Kampuni ya Rostam AziziMkuu si unaona wanavyosaidia kugawa mitungi ya gesi bure kwa wananchi. Ngoja tuone sustainability ya matumizi ya mitungi hiyo kama wataendelea ku refill.
UVCCM achana nao kabisaSasa huyo mama yako anatuhusu nini sisi??
Mtanzania kwa mujibu wa Katiba ni nani?Rostam na Kinana wameikamata nchi na bahati mbaya wote hakuna mtanzania hata mmoja
Mwenye asili ya Tanzania, Kinana ni msomali na Rostam ni mhindi. Over tuambie hao wawili ni ukoo wa nani?Mtanzania kwa mujibu wa Katiba ni nani?
Acha kutuaibisha Chadema wenzio soma Katiba iliyopo kwanza.Mwenye asili ya Tanzania, Kinana ni msomali na Rostam ni mhindi. Over tuambie hao wawili ni ukoo wa nani?
Nyie ndiyo Magufuli alikuwa anawaita '"WANYONGE" na mkakubali kuwa Magufuli ni Rais wa wanyonge.Ukiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.
Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?
Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?
Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.
Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?
Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.
Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.
Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
Mkuu katiba ni makaratasi tupu lakini ukweli upo palepale, masai akihamia usukumani akaenda akazaa mtoto huyo mtoto kabila lake atakuwa ni msukuma? tuache sanaa katiba inaweza kubadilika lakini kabila haliwezi kubadilika hata siku moja.Acha kutuaibisha Chadema wenzio soma Katiba iliyopo kwanza.
Kwahiyo Katiba haina umuhimu ni makaratasi, na wewe huwa naona comment zako nyingi za kutaka Katiba Mpya.Mkuu katiba ni makaratasi tupu lakini ukweli upo palepale, masai akihamia usukumani akaenda akazaa mtoto huyo mtoto kabila lake atakuwa ni msukuma? tuache sanaa katiba inaweza kubadilika lakini kabila haliwezi kubadilika hata siku moja.
Unaujua mchango wa wafanyabiashara katika uchumi wa mtu mmoja mmoja hapa TZ au unakuja na lawama tu?.Ukiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.
Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?
Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?
Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.
Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?
Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.
Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.
Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
Ila sio Mama kama unavyodai eeeh??Ni Raisi wako kwa mujibu wa Katiba comment zingine very low IQ
Kumbuka ana watoto, ndugu, jamaa na marafiki, wa kike nawa kiume ambao ni wafanyabishara na lazima awaridhisheUkiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.
Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?
Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?
Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.
Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?
Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.
Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.
Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
Mbona huwa hamleti hoja hizi pale unaosikia... yule "Mama" hafai... au yule Mama *****@#$%.Ila sio Mama kama unavyodai eeeh??
Acheni kujikomba-komba watoto wa kiume nyinyi🖕🏿.
Mama..mama..mama..mama🗣️ kila saa , halafu watu wengine tukikataa kuwa sio mama yetu mnakasirika.
Nimeandika vitu vingi kwahiyo wewe umeona neno karatasi pekee?Kwahiyo Katiba haina umuhimu ni makaratasi, na wewe huwa naona comment zako nyingi za kutaka Katiba Mpya.
Au ni Stress tu Kamanda?
Kwa hiyo huujui msimamo wako kwenye Siasa hamia chitchat Kamanda wangu.Nimeandika vitu vingi kwahiyo wewe umeona neno karatasi pekee?
SawaKwa hiyo huujui msimamo wako kwenye Siasa hamia chitchat Kamanda wangu.