Samia ni Rais wa wafanyabiashara

Samia ni Rais wa wafanyabiashara

Ndiyo maana ,Donald trump hapendi masikini.
Serikali Haina shamba la pesa , nilazima ikusanye itumie zizunguke ikusanye Tena.

Au unazani pay, inaweza kutusogeza kokote?
 
Ukiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.

Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?

Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?

Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.

Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?

Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.

Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.

Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
Mkuu wewe kweli bongolala.
Fursa wewe huzioni, na wenzio wakiziona fursa basi wewe unahisi unaibiwa.
Unaibiwa vipi wakati umeridhika kulala?
 
Ukiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.

Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?

Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?

Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.

Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?

Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.

Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.

Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
Nyie ndiyo Magufuli alikuwa anawaita '"WANYONGE" na mkakubali kuwa Magufuli ni Rais wa wanyonge.

Ni upumnavu kukubali kuitwa MNYONGE. Mungu alituumba binadamu na akatuwezesha kwa kutupatia ubongo. Ukitumia ubongo wako vizuri unaweza ukajinasua kimaisha.

Magufuli alikuwa añatamba kuwa ana uwezo wankumfanya tajiri aishi ka shetani. Kwangu hii haikuwa sawa. Alipaswa aseme ana uwezo wa kumfanya maskini aishi kama tajiri ndiyo ange make sense.

Muacheni Samia atuongezee matajiri na wafanyabiashara wakubwa. Hawa wakiongezeka ndiyo watawaajiri maskini na maskini wanaweza kutoka kimaisha kupitia matajiri. Kamwe umaskini na unyonge siyo kitu cha kujivunia
 
Acha kutuaibisha Chadema wenzio soma Katiba iliyopo kwanza.
Mkuu katiba ni makaratasi tupu lakini ukweli upo palepale, masai akihamia usukumani akaenda akazaa mtoto huyo mtoto kabila lake atakuwa ni msukuma? tuache sanaa katiba inaweza kubadilika lakini kabila haliwezi kubadilika hata siku moja.
 
Mkuu katiba ni makaratasi tupu lakini ukweli upo palepale, masai akihamia usukumani akaenda akazaa mtoto huyo mtoto kabila lake atakuwa ni msukuma? tuache sanaa katiba inaweza kubadilika lakini kabila haliwezi kubadilika hata siku moja.
Kwahiyo Katiba haina umuhimu ni makaratasi, na wewe huwa naona comment zako nyingi za kutaka Katiba Mpya.
Au ni Stress tu Kamanda?
 
Ukiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.

Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?

Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?

Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.

Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?

Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.

Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.

Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
Unaujua mchango wa wafanyabiashara katika uchumi wa mtu mmoja mmoja hapa TZ au unakuja na lawama tu?.

Watanzania hatuna mioyo inayoridhika, JPM alilalamikiwa kwa kuwakomoa kina Manji na matajiri wengine, unataka na SSH nae arudie kosa hilo hilo?.

Maslahi ya umma inamaanisha na ya wafanyabiashara pia yamo humo.
 
Ni Raisi wako kwa mujibu wa Katiba comment zingine very low IQ
Ila sio Mama kama unavyodai eeeh??

Acheni kujikomba-komba watoto wa kiume nyinyi🖕🏿.

Mama..mama..mama..mama🗣️ kila saa , halafu watu wengine tukikataa kuwa sio mama yetu mnakasirika.
 
Kumb
Ukiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.

Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?

Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?

Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.

Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?

Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.

Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.

Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
Kumbuka ana watoto, ndugu, jamaa na marafiki, wa kike nawa kiume ambao ni wafanyabishara na lazima awaridhishe
 
Ila sio Mama kama unavyodai eeeh??

Acheni kujikomba-komba watoto wa kiume nyinyi🖕🏿.

Mama..mama..mama..mama🗣️ kila saa , halafu watu wengine tukikataa kuwa sio mama yetu mnakasirika.
Mbona huwa hamleti hoja hizi pale unaosikia... yule "Mama" hafai... au yule Mama *****@#$%.


Au ni Stress zako tu za Maisha?
 
Back
Top Bottom