Samia ni Rais wa wafanyabiashara

Samia ni Rais wa wafanyabiashara

Mnalalamika sana asee, wakati wa kushangilia tulisema humu jamani tulieni hivyo hivyo muda bado!.

Ahahahaaaa 😅...
 
Ukiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.

Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?

Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?

Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.

Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?

Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.

Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.

Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
Mkuu 'kmbwembwe' Samia ataiangamiza Tanzania, na pengine hata yeye mwenyewe.

Na hasa, kama kwa mazingaombwe tuliyoyazoea Tanzania akibahatika kuvuka 2025, hapo ndipo tutakapokwisha kabisa.
 
Mbona huwa hamleti hoja hizi pale unaosikia... yule "Mama" hafai... au yule Mama *****@#$%.


Au ni Stress zako tu za Maisha?
Mkuu mimi sina njaa za maisha, hata kukujibu hivi hapa Jf ni kwasababu ya anonymity tu, pengine in really life tusingeweza hata kuchangamana.

Sina njaa ndiomaana sipo humu kuimba mapambio kama wewe.
 
Mkuu 'kmbwembwe' Samia ataiangamiza Tanzania, na pengine hata yeye mwenyewe.

Na hasa, kama kwa mazingaombwe tuliyoyazoea Tanzania akibahatika kuvuka 2025, hapo ndipo tutakapokwisha kabisa.
Kweli mkuu. Huyu hana vision sahihi kwa maendeleo ya tanzania. 2025 ccm waweke ukumbi wazi watu washindane kupata mgombea. Hatuhitaji bora rais. Tunahitaji rais bora.
 
Mbona huwa hamleti hoja hizi pale unaosikia... yule "Mama" hafai... au yule Mama *****@#$%.


Au ni Stress zako tu za Maisha?
Dah!

Mkuu 'imhotep', mduara mzima umetimia?

Umerudi kule kule kwa mwanzo kabisa?
 
Ili utimie ni mimi kurudi kwenye Chama cha Mashetani wakubwa na wadogo.

Mimi Imhotep niko CHADEMA ee..Mungu nisaidie.
Ahaaa!
Upo bega kwa bega na Mwenyekiti kwenye maridhiano, au siyo!

Basi sawa!

Aaah! Hapana, haijawa sawa hata kidogo.

Kile chama cha mashetani mkuu wake ndiye huyo sasa unayempigia zumari! Kwa hiyo ni sawa na wewe kurudi kwenye "chama cha mashetani"
 
Wee ngoja waneng’eneke na kudemka halafu kije chuma mithiri ya anko Maguu!

Atasema msinitanie narudi nyuma miaka 10 mambo ya task forces [emoji28][emoji1787][emoji1787]

Nakwambia mbona itakuwa kimbembe pata shika nguo kuchanika [emoji28][emoji1787]

Mbona ndipo hapo itajulikana kuwa kumbe mazoezi sio kwaajili ya kuondoa overweight tu bali hata tulio engish figures tunapaswa kufanya regular physical exercises for health reasons!

Ndipo kuna watu wataita maji Mma !

Kwa mtini tujifunze!

Anko Maguu ameacha funzo kubwa sana kwa werevu kuweza kujifunza na kuelewa!

Nakwambia makaburi yatafukuliwa si ajabu [emoji14][emoji14][emoji14]

Tulipe kodi stahiki ndugu zangu Kwa wakati bila shuruti !
 
Eti kutumia kuni na mkaa inaleta shida kwenye upumuaji, hawasemi hizo gezi zinavyounguza ama kulipuka na watu kufia ndani.
Yaani miaka takribani 400M binadamu alitumia Moto leo kisa gesi ya kampuni ya kijanja janja eti ndio ije kuhalilisha eti upumuaji. Science has already gone insane.
Mbona mie kwao na babu na wa mwisho akazaliwa 1930 walipikia kuni Ila sijaona hayo matatizo ya upumuaji Jamani.

Yaani wanataka kuwadanganya watu kweli kisa wao viongozi Basi wanadhani always they're right what are they talking. Binafsi nilihama tokea gesi nikaja kwenye mkaa. Kiongozi na kishimba anayeyetea yule mama ambaye hata kuipata Mia tano kwa siku Ni kazi jamani,anabakia kupalilia mashamba ya watu ili apate hata buku mbili anunue dagaa akale. Sasa mpatie gesi free Kama unampenda. Mie nilijua kuwa watatembea Kaya masikini watoe vocha za wao kupewa gesi bila ya malipo halafu serikali inalipa..

Kumbe wanataka gesi ya ostaazi yenye behind the curtain the masogange na wanatucheleweshea bwawa ili wauze gesi yao kwanza.

Na katiba mpya jamaa wameambiwa watakomaa na maoni ama na iyo kazi kwa miaka Tisa iliyobakia ya samia.
Mana akagawa iyo kazi kwa muda mfupi,Kati na muda mrefu mpaka miaka Tisa.

Siku watu wakijua wananyonywa na wanaojifanya kuwatetea ndipo watakapojua kuingia road.

Ujue hata kwa binadamu Kuna predator and prey sema unashangaa nyumbu Kama laki kufukuzwa na Simba watano.
Hata kwa human animals the same principles,Tena Askari masikini anatumiwa kumkaamata raia masikini ili anyonywe damu na amtumikie.
Yaani bana mtaji wa masikini adi Raha ujue,yaani Nampa masikini ugali kidogo anamdhibiti masikini mwenzake ili asihojihoji ninachomnyonya kinaenda wapi.
Mie nahitaji niende nikale Bata zangu huko Bahamas wanangu wasomee uk,USA ,Austin, Switzerland,France huku wa masikini akikalia jiwe,.


Sasa wewe jidanganye Kuna mtu anakupenda.
Fck u
 
Mkuu si unaona wanavyosaidia kugawa mitungi ya gesi bure kwa wananchi. Ngoja tuone sustainability ya matumizi ya mitungi hiyo kama wataendelea ku refill.
"Ngoja tuone sustainability ya matumizi ya mitungi hiyo kama wataendelea ku refill."

NIMECHEKA SANA
 
Mkuu 'kmbwembwe' Samia ataiangamiza Tanzania, na pengine hata yeye mwenyewe.

Na hasa, kama kwa mazingaombwe tuliyoyazoea Tanzania akibahatika kuvuka 2025, hapo ndipo tutakapokwisha kabisa.
Kwa sababu, kwako wewe, Tanzania ni ya waajiriwa wachache wa serikali ... sisi wengine tuliokosa nafasi za ajira za kudumu serikalini sio watanzania!
Unaona raha sana kutamba mkoa mzima ukitoa kandarasi zote kwa local fundis ili sisi wakandarasi wenye LESENI zetu tubaki watazamaji!
😱😱🤮🤮🤮
... ACHENI NA SISI TULIOKOSA AJIRA SERIKALINI TUPATE HATA ZA MUDA ILI TUPATE MITAJI YA KUENDELEZA KILIMO NA VIWANDA VIDOGO VIDOGO!
 
Uzi umeandikwa na maskini kwahiyo tumsamehe tu. Anataka turudi enzi za jiwe kujipa tenda mwenyewe huku kampuni kibao zikifungwa. Tarehe 17/03/2021 ilikuwa ni siku ya uhuru wa Tanzania.
 
Ukiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.

Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?

Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?

Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.

Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?

Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.

Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.

Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.

Ndiyo hao waliompa mabilioni ya Royal Tour, ambayo mpaka leo ameshindwa kutuambia aliyapata kutoka kwa nani na nani.
 
Chuki dhidi ya wafanyabiashara aliijenga Nyerere na sera zake mbovu za Ujamaa. Ndiyo maana miaka 60 ya uhuru tunazidi kukwama. Nchi ndogo zaidi ya kwetu zinatuzidi kimaendeleo. Kenya ilitupita kimaendeleo zamani sana, na siku za karibuni Rwanda nayo itatuzidi kimaendeleo.
 
Kwa sababu, kwako wewe, Tanzania ni ya waajiriwa wachache wa serikali ... sisi wengine tuliokosa nafasi za ajira za kudumu serikalini sio watanzania!
Unaona raha sana kutamba mkoa mzima ukitoa kandarasi zote kwa local fundus ili sisi wakandarasi wenye LESENI zetu tubaki watazamaji!
😱😱🤮🤮🤮
... ACHENI NA SISI TULIOKOSA AJIRA SERIKALINI TUPATE HATA ZA MUDA ILI TUPATE MITAJI YA KUENDELEZA KILIMO NA VIWANDA VIDOGO VIDOGO!
Mkuu 'Kishimbe wa Kishimbe', umekosea sana kuniweka katika kundi hilo la waajiriwa serikalini. Ningekuwa na uwezo, hawa ndio watu ningependa wahenye kwelikweli katika kuwatumikia waTanzania kuliko wanavyovuruga hovyo hovyo sasa hivi.

Nawazungumzia waTanzania kwa ujumla wao, ambao wengi wetu tupo huku vijijini na juhudi zetu hazisaidii chochote kutimiza malengo yetu ya kujikwamua kimaisha.

Heri yako wewe utakayekwenda kushirikiana na hao wafanya kazi serikalini ili mzidi kutunyonga sisi zaidi.
 
Back
Top Bottom