Samia Suluhu baada ya kutembelea ziara Korea Kusini, wamarekani watoa uzushi

Mbona mamayo kutwa anajipendekeza huko
Hata kukemea ushoga hadharani aligoma
Hamna lolote hapo
Serikali yetu haieleweki ipo upande gani
Wapi na lini alijipendekeza kama sio wao walimualika? VP Kamala si ndio alimualika au?

Nawa wakajileta huku Tanzania na ahadi kemkem 😁😁

Waache wivu,Tanzania ilishahama kuwa Nchi ya kuendeshwa na kubembeleza.Sera yetu ya Kutofungamana na upande wowote inatumipa.

Najua hamjui ila Iran ni bilateral lender mkubwa wa Tanzania labda saizi Korea ndio itampita.
 
Ulikuwa unakwenda vizuri kidogo katika kunadi mbuzi wa mama akiwa ndani ya gunia, hadi ulipofikia hapa ukakwama!

Pole zako.
Kuna mambo umeyaandika vizuri 'kidogo kipropaganda, lakini kwa msomaji mwenye upeo anasoma takataka nyingi humo humo kwenye andiko lote. Pengine hizi ni hela za waarabu zinazowakesha usiku mzima mkitafuta namna za kupotosha watu wasione janga la huyu mama yenu analolifanyia nchi hii.

Hebu tuwekee huo mkataba wa miaka 40 na sisi tujionee asli zilizomo humo kutufaidisha sote.'

Hebu elewa hili: Kinachotokea sasa ni mama kufanya mambo yake gizani waTanzania wasijue.Baada ya Lile zoezi la DP World kuwa kama lilivyokuwa, Samia kajiapiza kitu cha namna ile hakitatokea tena. Sasa tunauzwa tu kimyakimya.; na inapobidi, chawa kama wewe mpo tayari kupiga propaganda zisizokuwa na kichwa.
 
Nasikitika umekosea sehemu ya kupeleka porojo zako ziszo kichwa wala mguu. Hauelewi kitu wewe hata historia ya korea ulioandika ni feki kama lilivyo bandiko lako lote. Tafuta jukwaa jingine kama ukivyoshindwa huko x haata hapa umechemka

Pia kamwambie anayekulipa kuwa majamaa hayadanganyiki badala yake yana maswali hadi nimekimbbia labda uniongezee watu kama iivyotokea korea ambapo wakorea 4 wamewabana vilivyo watz 30
 
Hata ujenzi wa meli mpya MV Mwanza Hapa Kazi Tu
ni Korea
 
Mbona mamayo kutwa anajipendekeza huko
Hata kukemea ushoga hadharani aligoma
Hamna lolote hapo
Serikali yetu haieleweki ipo upande gani
Mama hajioendekezi kwa mtu na sisi pia sera yetu kimataifa inafahamika vyema kabisa. Hatuna budi mtu wala kufungamana na mtu yeyote yule waka kupewa adui wa kumchukia na kutokushirikiana naye.
 
Sasa kwa mfano angalia hili aliloweka huyo anayedharau akili za watu humu!!
Ahsante mkuu 'The Khoisan', waongo hawa ni kama hata kutunga uongo hawana uwezo nalo.
 
WE Mbwiga hebu tuambia na uzushi kuhusu Do World, Ngorongoro na Hekta Mili 8 ya Misitu yetu!! Then tohoa huo Ukweli Ili tuelewe kuhusu Hilo la Korea
 
Teuzi zinatafutwa jaman lah hadi kero
 
Kaandika baada ya kupata OFA ya MBs
 
Mtoa mada inawezekana ni chawa au umekurupuka kuandika uzi, kwanza uelewa wako ni mdogo unajichanganya mwenyewe yahani huwezi tofautisha kati ya Korea ya kusini na Kaskazini.

Kwa taarifa yako hao Korea ya kusini alipoenda huyo mama yako kuiuza Tanganyika ni washikaji wakubwa wa Marekani sasa sijui unataka kutueleza nini?
 
Wewe ni mpumbavu angalia land cruiser zote za miradi zenye plate number nyekundu(DFP) uangalie pia ubavuni zimeandikwa USAID. Zipo Tanzania nzima halafu ulinganishe na hao macho madogo( wachina) wameisaidia nn nchi yetu zaidi ya rushwa na kujenga miradi chini ya kiwango. Hizo Arv unazotumia bure wew na mkeo unajua unajua nani amekulipia? Ke.nge wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…