Samia Suluhu baada ya kutembelea ziara Korea Kusini, wamarekani watoa uzushi

Tatizo nyie ni mabahili mnalipana wachache kumtetea mama.
Ebu ongezeni idadi ya machawa afu tafuteni machawa waloenda shule wakasoma hao wanajua kutetea sasa nyie mnachukua mbumbumbu kua chawa atatetea nn wakat ajui anachotetea.

Toeni connection kla mtu anataka izo pesa
 
Kwa
Tanganyika hii lisemwalo lipo. Hata DP ilikuwa tusifahamishwe ila kuna wahuni wema wa Tanganyika ndio wakatusogezea taarifa.
 
Hauijuhi America bro!
Tuanze na hili, shilingi zako za madafu 2700,ni sawa na USdollar moja!
Kampuni moja ya X, Twitter mapato yake ni sawa na, mapato ya nchi zote za Africa! Ukitoa SA!
Ulipokuwa,unamsifia samia, nilijua ni ukada tu, lakini akili unazo, sasa kuiponda America, uilinganishe na uchafu bongo?! Akili huna,wahi milembe
 
Kapewa "li PHD" Kauza pwani yetu, kenge kabisa, marais wa Islam shida sana, elimu hawana Ila wanapenda kuwa na academic qualifications, huyu mama, ni mwendo wa kupachikwa ma PHD ya heshima tu, hapa nacheka mpaka mbavu zinauma
 
Wewe jamaa ni mjinga mjinga tu...kitendo cha kushindwa kutofautisha Korea kusini na kaskazini kinatosha kabisa kuonesha pamoja na umri wako wote kumbe hovyo kabisa....nimekudharau mwanzo mwisho.
Kwa nini unateseka watu wakipiga kelele kuhusu rasilimali zao...who are you?...wakati mwingine kwenye mambo kama haya waacheni wenye dhamana ndio watoe ufafanuzi..nyinyi chawa nyamazeni kabisa...
 
Huyu ni praise and worship team ya lumumba,haya mambo mengi yako juuu sana ya uwezo wa akili yake tumsamehe
 

Attachments

  • IMG-20201103-WA0001.jpg
    45.8 KB · Views: 2
Uchawa bila akili ni takataka. Soma tena ulichoandika.
 
Nmemshangaa sana huyu jamaa sikutegemea kabisa ata andika hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…