paschal Burra
JF-Expert Member
- Jul 1, 2021
- 374
- 332
Sasa rais ndio jaji mbona mnaingilia uhuru wa mahakama nyie kwanini mnamlazimisha mama samia afanye kazi ya jaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona alishamhukumu?Sasa rais ndio jaji mbona mnaingilia uhuru wa mahakama nyie kwanini mnamlazimisha mama samia afanye kazi ya jaji
Hajutii sianajua ametenda kweli subiri ashushiwe mvua za kutoshaKwahiyo tayari umeshahukumu kuwa kuna vyama vya kigaidi, kwa ushahidi wa kina Kingai?
Wala Mbowe hajuti ndio maana kila siku anatabasamu wala wana Chadema hawatajuta bali waliotengeneza UONEVU ndio watakaojuta na vizazi vyao.
Hilo ni kosa la kimkakati,unaweza dhani una solve kumbe unaharibu kabisa,hapo ni sawa na kula embe lililoiva sana Ile michuzi unajifutia kwenye shatinyie siasa hamuijui hapo mbowe hafungwi kinachofanyika ni kumchosha tu na kumpotezea muda baaadaee anaachiwa watu washafanya yao wala msifikiri anafungwa siasa ni kazi kama kazi zingine tu
Na ana uwezo mdogo sana. Akina Bashiru wanasema anachojua ni “kununa na kupaka shedo”katili sana huyu mtu.
Mkondo wa sheria ukiishafika mahakamani muhimili wa serikali na ule wa bunge hukaa kimya na kuuachia muhimili wa mahakama kufanya kazi yake kwa uhuru bila kuingiliwa na mihimili mingine. Watu wa vijiweni hawakatazwi hawakatazwi kupiga stori zao zinazohusu mchakato wa mahakama unavyoendelea kwani vjiwe hivyo havina uwezo wa kuingilia mchakato wa mahakama. Na wala mahakama huwa hazisikilizi stori hizo za vijiweni. Na vijiwe hivyo vikiamua kufanya maandamano au fujo yo yote kuhusiana na mchakato huo, muhimili wa serikali utavikung'uta ipasavyo vijiwe hivyo. Kwa hiyo vijiwe hivyo vyenu kusema Mbowe si gaidi haiwezi kuingilia mchakato wa mahakama kwani havina uwezo huo. Vinajifurahisha tu.Sawa, kama rais aliposema kuna ushahidi wa wazi hajaingilia mahakama, basi na watu wanaosema Mbowe si Gaidi waachwe waseme sio kuwaambia wanaingilia mahakama.
Hukumu inatolewa mahakamani na hakimu au jaji baada ya kukamilika mchalato wa kisheria. Huku kijiweni ni stori tu za kujifurahisha Mr/Mrs/Miss Quinine!Kwahiyo tayari umeshahukumu kuwa kuna vyama vya kigaidi, kwa ushahidi wa kina Kingai?
Wala Mbowe hajuti ndio maana kila siku anatabasamu wala wana Chadema hawatajuta bali waliotengeneza UONEVU ndio watakaojuta na vizazi vyao.
Wakiwa wamefanya yao yapi mkuunyie siasa hamuijui hapo mbowe hafungwi kinachofanyika ni kumchosha tu na kumpotezea muda baaadaee anaachiwa watu washafanya yao wala msifikiri anafungwa siasa ni kazi kama kazi zingine tu
Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.
Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.
Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.
Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.
Nimeshauri kwa staha.