kwenye ukweli hakuna habari ya kupitana πUnafanya uchawa wa hatari, unampita CHAWA Mkuu LUCAS MWASHAMBWA??π€£π€£π€£π π
Ad Hominem, argue against the point.relax gentleman,
mayhem is dangerous to mental health,
you must have good imotional stability capacity to accept and agree to the open truth like that kwamba even without campeining Dr Samia Suluhu Hassan will win elections π
Hamna ukweli, ni uchawa tu unaoufanyakwenye ukweli hakuna habari ya kupitana π
ukweli utabaki pale Juu kwamba Dr Samia Suluhu Hassan anakubalika nchi nzima, na anaweza kushinda uchaguzi bila hata kampeni na akashinda kwa kishindo π
hili ndio la maana sana na la msingi zaidi π
hakuna ukweli vip na umegonga mwamba kuja na fikra mbadala bora zaidi ya hoja yangu mezani?π€£Ad Hominem, argue against the point.
That's sign of failure vin argument, to take attacking option bro an individual, than responding.
I know but is sold, concrete to digest that's why you make an attack,
Hamna ukweli, ni uchawa tu unaoufanya
Kweli mkuuhuyo ni mwanachama kindakindaki, lialia wa chama cha Mapinduzi, anaweza kukutia ngumi ukiongelea vibaya CCM π
Kwani wagombea wa upinzani washateuliwa bro? Kama jibu ni ndio waorodheshe hapaatatobolewa mapema sana asubuh, ndio maana ni aibu hata kutaja jina lake, kwasabb ukitaja tu Taifa litakucheka wewe, kwa dharau tena kwa pamoja π€£
Kwa hakika ila hakupewa mamlaka na wananchi kwani hakuchaguliwa bali alikaimu!Hapana,
ni Rais kwa mujibu wa katiba na kwa Neema na Baraka za Mungu π
huenda kuna vifungu vya katiba hujavielewa sawa sawa.Kwa hakika ila hakupewa mamlaka na wananchi kwani hakuchaguliwa bali alikaimu!
Yaheeee weye mbona wawewesekaaa ... RAIA feki mnaweweseka mno.Record yake kiuchumi kijamii na kisiasa inambeba juu juu zaidi.
weledi, uadilifu na umadhubuti wa serikali yake ndio msingi wa yote hayo.
Kwenye Demokrasia, Haki, Usawa, Uhuru, Uwazi, Uwajibikaji, utawala Bora na Utawala wa Sheria, achilia mbali humu nchini, Africa Mashariki hayupo wa kumkaribia wala kumfikia. Dr.Samia Suluhu Hassan yuko mbele sana kwenye kusimamia nyanja hizi muhimu kwa ustawi wa Taifa moja la kizalendo.
Record yake ya ushindi wa kishindo wa bila hata kampeni, inabebwa pia na uhakika na utoshelevu wa huduma muhimu za kijamii kama vile afya, elimu maji, miundombinu, usafirishaji, ulinzi na usalama.
Kusimamia kikamilifu na kumalizia miradi mikubwa ya kimkakati kama vile bwawa la Mwalimu Nyerere na Mardi wa SGR ambayo yote imeanza kufanya kazi na kuwanufaisha waTanzania.
Lakini pia mazingira mazuri sana ya biashara, uwekezaji, utalii, uwekezaji, kilimo, ufugaji, uvuvi n.k ambayo yamezalisha ajira likuki kwa vijanaa nchini.
Dhamira yake, nia njema yake, mipango na mikakati yake madhubuti ya kuwatumikia na kuwaletea wanainchi maendeleo, imevutia zaidi vijanaa na makundi mbalimbali ya jamii kumuunga mkono kiongozi huyu anaekubalika na kupendwa zaidi humu nchini.
Hayumbishwi wala kutetereshwa na mihemko, kejeli na dhihaka za yeyote. Yuko determined, focused and committed to transform Tanzania into prosperous country.
Kwa uchache wa record hizo za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani kuna Jambo gani lingine muhimu litakalo saidi kumpa huyu mama ushindi wa kishindo bila kampeni π
Pia Soma
- Tetesi: - Rais Samia anaweza kupata 90% ya Kura kama atagombea 2025
Naamini hiki linaweza kutokea, Mimi siwaelewi CCM itawashangaza watu reverse itakayopiga dhidi ya samiaSamia hatokuwa mgombea wa ccm 2025 chukua hiyo
Kitu ambacho nina uhakika nacho kuhusu siasa ni kimoja. Rais Samia akimaliza muda wake akaja Rais mwingine basi mtamponda Samia na kumsifia mteule ili mpate ugali na ulaji. Mnabadilika kuliko Vinyonga! Wale mliokuwa mnamsifia sana Hayati Magufuli leo mnampondea! Binadamu bhana!huenda kuna vifungu vya katiba hujavielewa sawa sawa.
na sio kosa huenda ukipata uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya hilo, utapata kujua nini maana ya nafasi alokua akiishikila mwanzo, kabla ya hii, kama sio hii aliyonayo sasa hivi π
relax,
don't be confused with my last sentence π
hiyo sifahamu na sio aina ya siasa zangu za kisomi.Kitu ambacho nina uhakika nacho kuhusu siasa ni kimoja. Rais Samia akimaliza muda wake akaja Rais mwingine basi mtamponda Samia na kumsifia mteule ili mpate ugali na ulaji. Mnabadilika kuliko Vinyonga! Wale mliokuwa mnamsifia sana Hayati Magufuli leo mnampondea! Binadamu bhana!
Hapa umejibu sahihi sana ila kuna wale wengine ni majanga tupu!hiyo sifahamu na sio aina ya siasa zangu za kisomi.
kama kuna wanasiasa wanaofanya hivyo,
then,ni aina ya siasa waliyoichagua na waliyoamua kuifanya I have no problem with that,
na kama ina saidia wananchi wao ni sawa waendelee tena kwa bidii tu π
CCM ina hazina ya majabali na manguli ya kisiasa, Dr.Samia Suluhu Hasani ni moja tu miongoni mwao πNaamini hiki linaweza kutokea, Mimi siwaelewi CCM itawashangaza watu reverse itakayopiga dhidi ya samia
Yes,Hapa umejibu sahihi sana ila kuna wale wengine ni majanga tupu!
nadhani la bandari lilipotoshwa pakubwa na wanasiasa, na ndio maana si hoja tena leo, kwasabb limefanyika tofauti na lilivyopotoshwa kwenye majukwaa ya kisiasa πNadhani alifanya makosa kuwapuuza viongozi wa dini kuhusu bandari. kwa hili hata wanaomshauri walikosea sana.
Wanasiasa wanapenda kuwatumia viongozi wa dini ili wasimamapo wawapigie debe. lakini kwa hili amechemsha sana
Let's waitCCM ina hazina ya majabali na manguli ya kisiasa, Dr.Samia Suluhu Hasani ni moja tu miongoni mwao π
CCM haiwez kubabaika katika kutafuta mgombea urasi kama ilivyo kwa vyama vya siasa vingine gentleman,
tuliza ball tuliza ramli π