Samia Suluhu Hassan ni Rais halali kabisa wa Tanzania, tusimdharau ila tumuombee afya, amani na azidishiwe hekima ya kutuongoza watanzania

Samia Suluhu Hassan ni Rais halali kabisa wa Tanzania, tusimdharau ila tumuombee afya, amani na azidishiwe hekima ya kutuongoza watanzania

Watanzania hakuna utawala unaoweza kuinuka kwenye taifa kwa bahati mbaya. Mungu ana uwezo wa kiruhusu au kuzuia jambo lolote kwa sifa na utukufu wa jina lake.

Kuna watu walilalamika tangu kwa nyerere hadi sasa wanalalamika kwamba rais hafai. Walilalamika na kushukururu kuondoka kwa JPM na sasa wanalalamika bado kwa SSH na watalalamika tuu hata ashushwe malaika toka mbinguni

Ila kabla ya kujibebesha laana kwa kumtukana, kumkejeli, kumdharau na kumkosoa kwa lugha za kuudhi rais wako ni bora umpe ushauri kwa busara na umuombee sana kwani yeye anachokiona kama kiongozi wa nchi inawezekana wewe ukawa unaona tofauti kabisa





Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Japo uliyoandika ni kweli lkn hautokosa watakao kupinga. Kwani kuna watu wanaishi na kwenda msalani kupitia pinga pinga yao. Hao ni watu waliokubali kukabizi akili zao kwa viongozi wao, na pia wamekubali kuuza utu wao kwa sababu ya njaa zao. Ila tusiwalaumu maana pinga pinga ndio sera za vyama vyao kama unavyoona hapo chini.

images (26).jpeg
 
Nakuunga mkono kwa sababu tu wewe ni mama D! Kinyume na hapo, ningekuambia hapana.

Hujawahi kunitelekeza Tate Mkuu💥 Wewe ni kati wawakilishi bora sana kati tulio katika la Jamiiforums
Much respect Tate ake😍
 
Watanzania hakuna utawala unaoweza kuinuka kwenye taifa kwa bahati mbaya. Mungu ana uwezo wa kiruhusu au kuzuia jambo lolote kwa sifa na utukufu wa jina lake.

Kuna watu walilalamika tangu kwa nyerere hadi sasa wanalalamika kwamba rais hafai. Walilalamika na kushukururu kuondoka kwa JPM na sasa wanalalamika bado kwa SSH na watalalamika tuu hata ashushwe malaika toka mbinguni

Ila kabla ya kujibebesha laana kwa kumtukana, kumkejeli, kumdharau na kumkosoa kwa lugha za kuudhi rais wako ni bora umpe ushauri kwa busara na umuombee sana kwani yeye anachokiona kama kiongozi wa nchi inawezekana wewe ukawa unaona tofauti kabisa





Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Andiko zuri sana,

Mungu mbariki Mama,
 
Mbona Nyerere alipambana kuondoa utawala wa kikoloni? Au utawala wa kikoloni uliibuka kwa bahati mbaya?

Hata Nyerere mlimdhihaki mkasema heri wazungu wangeendelea kuwatawala.
Kwani mnajielewaga basi!?
 
Japo uliyoandika ni kweli lkn hautokosa watakao kupinga. Kwani kuna watu wanaishi na kwenda msalani kupitia pinga pinga yao. Hao ni watu waliokubali kukabizi akili zao kwa viongozi wao, na pia wamekubali kuuza utu wao kwa sababu ya njaa zao. Ila tusiwalaumu maana pinga pinga ndio sera za vyama vyao kama unavyoona hapo chini.

View attachment 1959246

Hawa watu ndio wanaodumaza mfumo wa vyama vingi tanzania
 
Hv Mungu anaruhusu kuiba kura?????
Watanzania hakuna utawala unaoweza kuinuka kwenye taifa kwa bahati mbaya. Mungu ana uwezo wa kiruhusu au kuzuia jambo lolote kwa sifa na utukufu wa jina lake.

Kuna watu walilalamika tangu kwa nyerere hadi sasa wanalalamika kwamba rais hafai. Walilalamika na kushukururu kuondoka kwa JPM na sasa wanalalamika bado kwa SSH na watalalamika tuu hata ashushwe malaika toka mbinguni

Ila kabla ya kujibebesha laana kwa kumtukana, kumkejeli, kumdharau na kumkosoa kwa lugha za kuudhi rais wako ni bora umpe ushauri kwa busara na umuombee sana kwani yeye anachokiona kama kiongozi wa nchi inawezekana wewe ukawa unaona tofauti kabisa





Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
 
Watanzania hakuna utawala unaoweza kuinuka kwenye taifa kwa bahati mbaya. Mungu ana uwezo wa kiruhusu au kuzuia jambo lolote kwa sifa na utukufu wa jina lake.

Kuna watu walilalamika tangu kwa nyerere hadi sasa wanalalamika kwamba rais hafai. Walilalamika na kushukururu kuondoka kwa JPM na sasa wanalalamika bado kwa SSH na watalalamika tuu hata ashushwe malaika toka mbinguni

Ila kabla ya kujibebesha laana kwa kumtukana, kumkejeli, kumdharau na kumkosoa kwa lugha za kuudhi rais wako ni bora umpe ushauri kwa busara na umuombee sana kwani yeye anachokiona kama kiongozi wa nchi inawezekana wewe ukawa unaona tofauti kabisa





Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Viva Samia Via | Viva Mama D Viva
 
Niwaulize nyie mnaoanza na mungu na kumaliza na mungu ni mungu yupi huyo anayewaacha mlielie kila siku. Au ni yule mungu wenu wa faragha za jinsia moja?

Mungu aliye hai hashindwagi
😍😍😍😍

Amen ,

umemaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom