Uchaguzi 2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

Hana uwezo huo na wala hatakuja kuwa nao , ni vema mama akajiheshimu ili tusije kufunguka mazito akajificha milele kwa aibu
utajificha... wapiga kula wengi lakini mtu mmmoja tu anatangaza
 
Mama Samia yuko sahihi kabisa. Upinzani ushakufa zamani, na hivyo vyama vya wajasiriamali binafsi wataishia kuiona ikulu kwenye TV tu. Kuwapa kura hawa saccos na wenzake, na kutazamia ushindi ni upunguani wa kiwango cha 5G.
 
Makamu wa Rais huna cha kupoteza, utalipwa mshahara 80% mpaka unakufa. Lakini ujue Watanzania hawatawarudisha na mwenzio. Ulikuwa mama wa kupigiwa mfano, umekaa karibu na jiwe umekuwa mgumu!
Kwa mtazamo wako na akili zako nyingi unaona kabisa Tundu anashinda?.
 
Kura yao itawasuta pale wanapoletewa Maendeleo, Kwani hayo maendeleo ni fadhila ama ni lazima serikali ifanye hivyo?
 
She has spoken a very good point,because it's hard for opposition to defeat CCM . People loves CCM alot and they gonna vote for it no matter what.
Unamdhalilisha sana mzee Lowassa kwa kiingereza hiki
 
Huyu mama sijui amekumbwa na tatizo gani alikuwa makini kwenye kauli zake na kuheshimika lakini sasa hivi anaongea kama kama mlevi kabisa
 
Mama Samia yuko sahihi kabisa. Upinzani ushakufa zamani, na hivyo vyama vya wajasiriamali binafsi wataishia kuiona ikulu kwenye TV tu. Kuwapa kura hawa saccos na wenzake, na kutazamia ushindi ni upunguani wa kiwango cha 5G.
Kufikiria na kuunga mkono maneno ya Mama Samia na Magufuli ni kuwadharau wananchi..na kuwataka wajeuke kwenye uasi .
Lakini naweza kumuelewa mama samia , yuko soo frustrated kwakua Magufuli kamuachia mzigo mzima wa kampeni kama vile yeye ndio anagombea urais ...
 

Mitandao mikubwa ni ile iliyosheheni mijitu isiyojulikana?

Usitutishe na wala usitufokee!
 
Tuwapigie Chadema wanao hitaji kura zetu.

Mtapoteza kuwapigia ccm, maana watashinda mkipiga na watashinda msipopiga.
 
Tupige kura ya kimbunga kwanza halafu hayo mengine tutajua mbele ya safari.
 
Makamu wa Rais huna cha kupoteza, utalipwa mshahara 80% mpaka unakufa. Lakini ujue Watanzania hawatawarudisha na mwenzio. Ulikuwa mama wa kupigiwa mfano, umekaa karibu na jiwe umekuwa mgumu!

Hakuwa wa mfano tangu hapo awali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…