Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka tecno ndio umeizoea.kuna mtu alinishawishi mkuu,ndio kwanza ina siku 3 mkononi lakini nishaichoka
Ghafla tu battery likawa linashika moto hlf chaji hata ikiwa full ndani ya dk 20 unakuta 0%,then wifi na sensor zikazingua at the same timeS8+ ilikubumia nn?
Ghafla tu battery likawa linashika moto hlf chaji hata ikiwa full ndani ya dk 20 unakuta 0%,then wifi na sensor zikazingua at the same time
Mimi nakomaa na S series mpaka mwisho
Mkuu nisaidie contact zako au za hao Tech360 nahitaji hio M30Niliibahatisha moja kwa wale Tech360 kwa 690,000 around March hivi
Mkuu ukishajua nanunulia wapi itakusaidia nini 😀wee bana embu tueleze simu zako unanunulia wapi[emoji849]
kwani unadhani matatizo ya simu yako uliyotueleza yanatusaidia nini??Mkuu ukishajua nanunulia wapi itakusaidia nini [emoji3]
Kuna wataalam hapa wamenisaidia mkuu,pambana kutafuta hela mkuu,mambo ya kutaka kujua kila kitu cha mtu ni dalili ya wale wanawake wa uswazi wanaoshinda vibarazani, nimeleta matatizo ya simu yangu hapa ili wajuzi wanijulishe nn shida,wewe unataka kujua niliinunulia wapi,halafu ukishajua ndio iweje, mjini hapo fanya mambo yako yasiyokuhusu potezeakwani unadhani matatizo ya simu yako uliyotueleza yanatusaidia nini??
aliyefanikiwa kuzipata hela hana hazira za ajabu kama mjamzito.Kuna wataalam hapa wamenisaidia mkuu,pambana kutafuta hela mkuu,mambo ya kutaka kujua kila kitu cha mtu ni dalili ya wale wanawake wa uswazi wanaoshinda vibarazani,nimeleta matatizo ya simu yangu hapa ili wajuzi wanijulishe nn shida,wewe unataka kujua niliinunulia wapi,halafu ukishajua ndio iweje,mjini hapo fanya mambo yako yasiyokuhusu potezea
Merry x mass mkuu,naingia mzigoni sikukuu yote hii,sina muda wa kupoteza wa kubishana nawe,uwe na sikukuu njema mkuu
Hapana mkuu
Pa1 kiongozi
Kaka mimi sikuulizi kuhusu simu..nauliza hii location ni wapi, hilo tu mana pako fresh sana! Very interestingMerry x mass mkuu,naingia mzigoni sikukuu yote hii,sina muda wa kupoteza wa kubishana nawe,uwe na sikukuu njema mkuu
Kwann usiulize kama hapo ni zimbambwe mkuu?
Kwann usiulize kama hapo ni zimbambwe mkuu?
Mkuu simu zinakwenda kwa matoleo na wasaidizi wake kila mwaka.
Samsung S10/Plus, Note 10 Plus ni water drop cameras na edge displays, matoleo andamizi camera zinakaa sehemu tofauti, A80 camera ina eject kwa juu.
Kwa hiyo usitegee kuchanganyana kwa vyovyote vile.