Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Kalale tu uchambuzi wako sio wa kisayansiHizi A10 ni jamii ya Tecno na zinazidiwa na baadhi ya Tecno eg. Samsung galaxy A10s vs Tecno Camon 12 Pro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalale tu uchambuzi wako sio wa kisayansiHizi A10 ni jamii ya Tecno na zinazidiwa na baadhi ya Tecno eg. Samsung galaxy A10s vs Tecno Camon 12 Pro
Hiyo Samsung inaizidi nini Tecno?Kalale tu uchambuzi wako sio wa kisayansi
Tofauti yake ni GB 64 tangu lini simu na radio calls zikalinganishwa bwanaHiyo Samsung inaizidi nini Tecno?
Hiyo Tecno ndo ina 6/64 GB wakati A10s ina 2/32 GBTofauti yake ni GB 64 tangu lini simu na radio calls zikalinganishwa bwana
Hizo A10 zinauzwa sana kwa sababu ya jina tuHiyo Tecno ndo ina 6/64 GB wakati A10s ina 2/32 GB
Ukiona hivyo ujue zimegusa matakwa ya wengi. Huwezi kuuza simu laki 5 leo, mwezi wa 12 unatoa nyingine unauza laki 5 tena.Hizo A10 zinauzwa sana kwa sababu ya jina tu
Nimeshawahi kumiliki S7 Edge, S8+ na Note 9 pamoja na matoleo mengine ya zamani.Samsung hata afanyeje kwa upande wangu series ya S yenye mwunekano poa, edge tamu ni S6 Edge, S6 Edge Plus, na S7. Juzi nimeshika S10 Plus, nimeichezea yani sioni tofauti na J6 Plus yangu.
Ingekuwa maamuzi yangu hizi high end angetofautisha hizi za kawaida upande wa user interface. Simu software, namna una navigate kwa mfano Android 9 ni sawasawa mwenye simu ya laki 2 na ya milioni 2. So boring
Umejaribu S10+ au ile Note 10Nimeshawahi kumiliki S7 edge, S8+ na Note 9 pamoja na matoleo mengine ya zamani.
Chaguo langu bora kati ya hizi itabaki kuwa S8+.
Simu tamu sana hii.
Haya matoleo ya kisasa zaidi nayaona tu kwa mbali. Nilipojaribu kutoka kwa S8+ kwenda Note 9 nilishindwa because Note 9 ni nzito, kubwa, muonekano wa kukata na shoka. Nikaamua kuirudia na kubaki na S8+ yangu.Umejaribu S10+ au ile Note 10
M30 umenunua sehemu gani na sh ngapi?
Shida ya S series ni betri tu!!
Unaitumia A series gani mkuuLatest A series ni chenga
A30 ya 64 GB inaenda ngapi