Samsung A-series za 2019 naona kama zishaanza kuwa yeboyebo

Samsung A-series za 2019 naona kama zishaanza kuwa yeboyebo

gibasisi, 1,200,000 ukienda dukani ukiulizia iPhone 8 waambiwa bei zaidi ya hiyo
 
Kama hupendi sare sare

Screenshot_20191013-062813.png
 
1,200,000 ukienda dukani ukiulizia iPhone 8 waambiwa bei zaidi ya hio
Kununua vitu bei ghali nayo sio ujanja. Cha msingi uhakiki wa bidhaa. iPhone hata mtu akikwambia nauza laki 7 iPhone 8plus, ina shida kwenye camera ya nyuma una uhakika hilo ni tatizo la kurekebishika. Kwenda dukani kutobolewa 1.5 million kisa haina shida kabisa ni matumizi mabaya ya pesa.
 
Wale wanaomiliki A80 waje tujuane maana hakuna kama A80 ni simu moja matata sihami Samsung ng'o 💪💪
 
mkorinto,
Umenielewa vibaya boss.. Siwezi tumia hicho kifaa hata kwa amri ya mahakama. Na nimesema kabsa hapo mimi ni mtumiaji wa Samsung hasa A-series na Nokia.

Pili ukishataja masuala ya super amoled hio tayari ni sofware na mimi nimezungumzia hardware, maana haina ubishi software na perfomance ya A10 haiwezi simama na A70

Na kama umenisoma vizuri pia nimezungumzia muonekano wa mbele tu, ambao ndio hubeba physical credit za simu na nikijua kabsa muonekano wa nyuma unatofautiana.

Mwisho kabsa, kutofautisha water drop na semi circle ni mpaka uangalie vizuri na tena uwe ushaziona zote mbili

Nimezungumzia hizi sababu A-series nimezitumia kuanzia 2015 ila za mwaka huu kwa mtazamo wangu wamezingua kuchanganya low na mid-range kwenye Series moja.

Rudi nyuma kidogo ukumbuke kila mwenye kipato cha chini aliyekuwa anajitutumua kununua Samsung basi utamkuta na J-series, kipato cha kati A/C-series na kipato cha juu S/Note-series.

Ila leo hii wote wamejaa kwenye A-series, maana wenye uwezo wa S na Note-series n wachache mno.

Sio mbaya sababu simu zinauzika, ila kwa hii series tayari wapenda/watumiaji wa mid-range washaichukulia low end japo kuna shughuli kama A80 ni habari nyingne na hata price tag yake inagonga 1M na point kadhaa.

siwezi fananisha samsung na tecno mzee, sijanyimwa tech kiasi hicho,
 
Kwa lipi mkuu mimi nina A30 naenjoy fast chaji, super amoled, internal 64, RAM 4, betri 4000mah, 4G, kioo kikubwa haya nipe hizo specs za hiyo S5 yako tuone kama inatia maguu kwa A30

A30 ya 64GB inaenda ngapi
 
Mkuu Super Amoled ni software au ni aina ya kioo? ie. TFT Display, LCD Display na Super Amoled?
Mkuu ni technology ya viewing na functionality iliyokuwa introduced kwenye display ya simu. Neno AMOLED tu lenyewe linazungumzia sana sana software na display ni hardware.

Kwahiyo,
AMOLED = SOFTWARE
DISPLAY = HARDWARE

Kwahiyo nikiri tu nikisema super amoled ni software kwa namna fulani nakosea na ukisema ni hardware pia unakosea. Kumbe basi ni software iliyokuwa introduced kwenye hardware matokeo yake ndio hiyoamoled display technology.

Asante kwa kunishtua.
 
Back
Top Bottom