Samsung A-series za 2019 naona kama zishaanza kuwa yeboyebo

Samsung A-series za 2019 naona kama zishaanza kuwa yeboyebo

Samsung nzuri kimuonekano kwa wakati wote ni S7 Edge. Na kwa kuipenda hii simu Jumanne inshaallah naichukua, iungane na hii P20 Pro nilionayo. Japo mimi sio mpenzi wa Samsung, mmi team Huawei P20 Pro.
 
Simu nzuri lakini haipokei official updates hata huwezi iupdate mpaka Android Pie achilia mbali Android Q.
Samsung nzuri kimuonekano kwa wakati wote ni S7 Edge. Na kwa kuipenda hii simu Jumanne inshaallah naichukua, iungane na hii P20 Pro nilionayo. Japo mimi sio mpenzi wa Samsung, mmi team Huawei P20 Pro.
 
Mgagaa na Upwa, a70
Ni simu nzuri kuanzia Camera (japo inakosolewa sana picha zake ni mbovu ukiwa kwenye mwanga mdogo, ila ni hapo tu), battery kubwa, lazima umalize siku data on, screen kubwa, kioo bora. Japo pia body yake ni plastic (hili kwa watu wengine sio ishu maana simu muda wote ipo kwenye cover) speaker zake sio bora sana. Matatizo yake fingerprint ipo slow sana.
 
Samsung wana improve sana kwenye battery capacity na hatimaye battery life kwa ujumla.

Zamani hili liliwakosesha soko sana. Lakini leo hii simu zao nyingi zinapiga siku nzima hata data ikiwa ON. Wameshafika 6000 mhA kwenye matoleo ya hivi karibuni kwenye M20s na M30s.

Flagship zao, S10 + 5G model ana 4500 mha na Note 10+ ana 4300 mha pamoja na kuwa na S-pen ndani ambayo inachukua space ya angalau 800 mha. Tutarajie S11+ February igonge 5000 mha.

Sasahivi ushindani wa smartphone unahamia kwenye camera, battery na storage. Maana body/muonekano wanaelekea kufanana kila kitu soon

Sasa hivi battle kubwa ipo kwenye kuondoa kabsa selfie camera pale juu isionekane. Tushaona simu nyingi za mwaka huu wanatumia notch au punch hole camera na wengne wameenda mbali. Camera inajificha kwa ndani au nyuma.
Ile ukitaka tu kupiga selfie inachomoka wanaita 'Aut pop up camera'

Sasa hii nayo watu wana idiss teknolojia mpya ya mwakani ni under/in display camera. Yaani camera inakua chini/ndani ya kioo, huioni, kioo chote kinatumika ila ukitaka kupiga selfie ndio unaionaa. Oppo na Xiaomi washaliweka wazi hiyo kwenye matoleo yao ya mwakani

Tayari pia teknologia ya kuweka ile speaker ya kusikilizia pale juu ndani ya kioo ipo wazi
 
Ahsante kiongozi,nimeichukua hii kitu,binafsi si mpenzi sana wa picha,so kwa hii camera haina shida kwangu,shida ipo kwenye hizi speaker,yan mpk najuta,hazina mlio kabisa tofauti na s 8+ iliyonibumia hadi nikaingia kwenye a70!
Mgagaa na Upwa, a70
Ni simu nzuri kuanzia Camera (japo inakosolewa sana picha zake ni mbovu ukiwa kwenye mwanga mdogo, ila ni hapo tu), battery kubwa, lazima umalize siku data on, screen kubwa, kioo bora. Japo pia body yake ni plastic (hili kwa watu wengine sio ishu maana simu muda wote ipo kwenye cover) speaker zake sio bora sana. Matatizo yake fingerprint ipo slow sana.
 
Ahsante kiongozi,nimeichukua hii kitu,binafsi si mpenzi sana wa picha,so kwa hii camera haina shida kwangu,shida ipo kwenye hizi speaker,yan mpk najuta,hazina mlio kabisa tofauti na s 8+ iliyonibumia hadi nikaingia kwenye a70!
S8+ ni moja ya matoleo ya samsung s-series yenye speaker mbovu kbsaa, yaani km una s8+ ukaona mziki wake ni mzuri, basi ujue kwa s-series hapo bado sana, shika s9+(bora tuu isiwe refub au mbovu) uone jinsi sterio speaker zinavyopita masikioni mpk kumoyo..

Mm kwenye simu kikubwa ni..
Speaker..
Charge, sizimi data na nataka nichargr usiku kwa uski tena sio kwa matumizi ya shaka...
Body nzuriii..
Camera..
Speed....
Hivi vyote nilivipata kwa samsung A9 pro 2016, najuta sana kuiuzaa...
S7 edge ikaniangusha kwenye chargee,
ile a9 pro 2016 ilikua hata utumiejeee piga ua usiku nabaki naanagalau na asilimia 40, matumizi ya kawaida kupiga siku tatu ni jambo la kawaidaa tena data on, speaker ndio usigusee....
S8+ nayo ikaniangusha kwenye chargre na speaker piaa, nikauzaaa
S9+ sikununua maana sikuona tofauti kubwa na s8+,
Tena battery life ilikua inapigwa na s8+, maana zote ni 3500mha lkn s9+ anatumia processor kubwa n.k n.k, kwaio lazima apigwe,
Nasubilia mwezi wa pili waachie s11-series, km watakua wame improve kwenye battery angalau kufika kwenye +4500mha hasa hasa 5000mha nabeba asubuh na mapemaa,
Sio mpenzi wa Note-series na sijawahi tumiaa labda nijaribu sasa,
ila Note 10+ wamejiahd sana, ina 4300mha pamoja na space kubwa iliyochukuliwa na s-pen angalau 800mha, hivyo kufika 5000mha kwa s11+ inawezekanaa.

Kwa wale wapenda battery kubwa, kioo kikubwa, water drop notch display, bila kujali body n.k n.k
kuna mzigo umeshushwa wa M20s na M30s yote ina 6000mha nendeni aggrey na likoma..
 
Ahsante kiongozi,nimeichukua hii kitu,binafsi si mpenzi sana wa picha,so kwa hii camera haina shida kwangu,shida ipo kwenye hizi speaker,yan mpk najuta,hazina mlio kabisa tofauti na s 8+ iliyonibumia hadi nikaingia kwenye a70!
Duu mkuu kwaio ulichukuaaa?
Si uliniuliza humu nikakuambiaaa hilo tatzo?
Sasa bora hioo, chukua A50's uoneee..

Mm nimesema humu na narudia, samsung A-series za mwaka huu nyingi ni jipuu KULINGANISHA, na matoleo ya nyuma, tunaweza tetea tuu sbb ndio tunazo kwa ss na huja compare na matoleo ya 2016,
Mtu aje hapa aseme shida za samsung A-series za mwaka 2016 tuone,

haya ona A70 unatoa almost 700k au zaidi ina ku disapoint kwenye kitu kdg lkn muhimu km speaker,
ile A80 yenye camera ya kuzunguka hata siiamini,
ndio kwanza tech ni mpya, sidhan km inaweza kuhimili ile physical motion kwa mda mrefu, unakua unaitumia kwa mashaka km simu ya ku slide au kufunua...
Keep my word ikishapita mda flan utasikia watu wakiilalamikia ile camera..

Battery yenyewe imebidi iwe 3500mha sbb ya ile physical motion camera, wakat hio A70 ina 4500mha,

Mkuu tafta mtu muuzie hio kitu kabla hazijajaa nazo, then top up chukua S10+, (usije ukachukua s9+ though huwezi ukailinganisha na hio hata kdg), toka kwenye hio series kbsaa., ukijindanganya uka upgrade kwenye hizi Lets say A50's imekula kwakooo.....
 
boss s9+ ina tatizo gani
Duu mkuu kwaio ulichukuaaa?
Si uliniuliza humu nikakuambiaaa hilo tatzo?
Sasa bora hioo, chukua A50's uoneee..

Mm nimesema humu na narudia, samsung A-series za mwaka huu nyingi ni jipuu KULINGANISHA, na matoleo ya nyuma, tunaweza tetea tuu sbb ndio tunazo kwa ss na huja compare na matoleo ya 2016,
Mtu aje hapa aseme shida za samsung A-series za mwaka 2016 tuone,

haya ona A70 unatoa almost 700k au zaidi ina ku disapoint kwenye kitu kdg lkn muhimu km speaker,
ile A80 yenye camera ya kuzunguka hata siiamini,
ndio kwanza tech ni mpya, sidhan km inaweza kuhimili ile physical motion kwa mda mrefu, unakua unaitumia kwa mashaka km simu ya ku slide au kufunua...
Keep my word ikishapita mda flan utasikia watu wakiilalamikia ile camera..

Battery yenyewe imebidi iwe 3500mha sbb ya ile physical motion camera, wakat hio A70 ina 4500mha,

Mkuu tafta mtu muuzie hio kitu kabla hazijajaa nazo, then top up chukua S10+, (usije ukachukua s9+ though huwezi ukailinganisha na hio hata kdg), toka kwenye hio series kbsaa., ukijindanganya uka upgrade kwenye hizi Lets say A50's imekula kwakooo.....
 
Natumia A50 iko vizuri ila samsung app zake sijazipenda nimezoea tecno
Kwa lipi mkuu mimi nina A30 naenjoy fast chaji, super amoled, internal 64, RAM 4, betri 4000mah, 4G, kioo kikubwa haya nipe hizo specs za hiyo S5 yako tuone kama inatia maguu kwa A30
 
boss s9+ ina tatizo gani
Boss hio simu haina tatzoo....
Na huwezi ukaringanisha na samsung yyt tofauti na Note 9 au s10 kuja juu..

Ila km ni mtumiaji sana basi charge haitamfurahisha sanaa, hasa ukizingatia ametoka kwenye 4500mha aje tena kwenye 3500mha, na kwa kua najua kwa asilimia kubwa atapata either, used, refub au unlocked ambazo tayar ishatumika na battery health sio 100%, kwahio hapo ni chini ya 3500mha, labda apambane sana kupata brandnew sealed, ila hizi zote unazouziwa full boxed ila simu ipo nje, hio ishatumikaa na ndio zililojaa k.ko
hasa high end, maana brandnew sealed wabongo wagumu kununua..

Note : sio kila sealed ni brandnew, maana k.koo kuweka seal sio tatzo kwao...
 
Back
Top Bottom