Samsung: Hii kampuni inachofanya ni sawa kweli?

Samsung: Hii kampuni inachofanya ni sawa kweli?

Reuben Challe

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
2,940
Reaction score
5,511

View: https://x.com/SamsungMobileUS/status/1800233900389617979?t=VDdvhRoSeZ0LKEnI_RgKcw&s=19
Kampuni ya Kikorea "Samsung" imeleta features nyingi zinazowezeshwa na Artificial intelligence kwenye Samsung Galaxy S24 series na collection ya AI features kwenye S24 series Samsung akaamua kuiita "Galaxy AI"

Apple nao kupitia iOS 18 wameshirikiana na OpenAI kuleta AI features mbalimbali kwenye iPhone 15 Pro na 15 Pro Max. Apple yeye anaiita "Apple Intelligence".
Lakini cha ajabu kampuni ya Samsung kupitia ukurasa wake wa Twitter wa Marekani naona anapost statement za ku criticize Apple.
Mfano kwenye hii tweet ameandika "Adding "Apple" doesn't make it new or groundbreaking. Welcome to AI 🍎."

View: https://x.com/SamsungMobileUS/status/1800233900389617979?t=bg3lV_UzzgGSNa9q8_P2eQ&s=19

iOS 18 sasahivi imewapa uwezo iPhone users kuhamisha apps na kuziweka popote pale kwenye home screen, I mean hiki si kitu kipya kwa Android users kwa sababu hiki kitu kipo kwa miaka 14 sasa.
Samsung kupitia ukurasa wake wa Twitter Marekani wamepost kauli ya kinafiki, Post inasema "Moving my icons wherever I want since 2010 ... isn't that cool?"
Ni kama Samsung wanawacheka Apple hivi, kwa kuchelewa kuleta hiyo feature.


View: https://x.com/SamsungMobileUS/status/1800217378216890411?s=19

Hivi kumkandia mshindani wako kupitia mitandao ya kijamii ni sahihi au mimi ndo sijaelewa 🙄🙄
 
🤣🤣🤣hiyo ni account kazi yake ni kutangaza bidhaa kwa namna yoyote ile.. na ipo wazi apple wameamua kuwa rollmodel wa Samsung..
 
Sijaona sehemu hao samsung wamezisema simu za iphone/apple.

Ni sawa na wasanii wetu waseme napapenda Buza kwampalange au naipenda tigo. Hapo ni ww na mawazo yako ndio utaweza kuelewa ila huwezi kuwafunga kwa hayo maneno
 
Ila na nyie apple users em tumieni akili na acheni kudanganywa na vitu vidogo vidogo
Mkuu nimeweka link kabisa, hiyo ni official account ya Samsung unaweza gusa link na uanze kusoma mwenyewe, Wala sio "kudanganywa na vitu vidogo vidogo"

Kingine usije ukadhani naipenda Apple kuliko Samsung. Actually napenda products za Samsung kuliko Apple ila hapa naongelea hizi tweets za Samsung. Weka ushabiki pembeni mkuu
 
Mkuu nimeweka link kabisa, hiyo ni official account ya Samsung unaweza gusa link na uanze kusoma mwenyewe, Wala sio "kudanganywa na vitu vidogo vidogo"

Kingine usije ukadhani naipenda Apple kuliko Samsung. Actually napenda products za Samsung kuliko Apple ila hapa naongelea hizi tweets za Samsung. Weka ushabiki pembeni mkuu
Niliposema msidanganyike na vitu vidogo vidogo nimemaanisha kuwa hao apple wanatoa toleo jipya likiwa na vitu vipya vya kipuuzi sana Then wanauza kwa mamilioni kwa sababu kuna wapuuzi lazima watanunua kisa n apple.
 
Niliposema msidanganyike na vitu vidogo vidogo nimemaanisha kuwa hao apple wanatoa toleo jipya likiwa na vitu vipya vya kipuuzi sana Then wanauza kwa mamilioni kwa sababu kuna wapuuzi lazima watanunua kisa n apple.
Unadhani ni rahisi kuwa Apple?

Ni muhimu sana kujitengenezea thamani. Kuna watu watakulipa pesa nyingi sababu tu wewe ni mbaga ila hicho unachofanya hata wengine wanaweza na zaidi.
 
Niliposema msidanganyike na vitu vidogo vidogo nimemaanisha kuwa hao apple wanatoa toleo jipya likiwa na vitu vipya vya kipuuzi sana Then wanauza kwa mamilioni kwa sababu kuna wapuuzi lazima watanunua kisa n apple.
Basi nisamehe mimi..... Sikuelewa ulichokuwa unasema
 
Unadhani ni rahisi kuwa Apple?

Ni muhimu sana kujitengenezea thamani. Kuna watu watakulipa pesa nyingi sababu tu wewe ni mbaga ila hicho unachofanya hata wengine wanaweza na zaidi.
Upo sahihi, ila kati ya android na apple wapi kuna uhuru wa kufanya mambo?
 
Upo sahihi, ila kati ya android na apple wapi kuna uhuru wa kufanya mambo?
Apple naona kama wamewekeza kwenye jina kwa mafanikio makubwa. Hata wakifuta kila kitu wakaweka kioo cha kujitazama ukichana nywele inawezekana wakauza na usishangae ukakutana na mtu ana kipara kanunua hicho kioo. Binafsi ni mteja wa android.
 
Apple naona kama wamewekeza kwenye jina kwa mafanikio makubwa. Hata wakifuta kila kitu wakaweka kioo cha kujitazama ukichana nywele inawezekana wakauza na usishangae ukakutana na mtu ana kipara kanunua hicho kioo. Binafsi ni mteja wa android.
😅😅
 
Niliposema msidanganyike na vitu vidogo vidogo nimemaanisha kuwa hao apple wanatoa toleo jipya likiwa na vitu vipya vya kipuuzi sana Then wanauza kwa mamilioni kwa sababu kuna wapuuzi lazima watanunua kisa n apple.
Ukisema vitu vipya vya kipuuzi wakati huja visoma uvifahamu ni sawa na kumsuta tajiri wakati yeye ndio mwenye pesa ww huna.

Ni vema ungeenda in details na tech knowledge ni vitu vipi vya kijinga
 
Mpenzi wa apple umeumia sana iPhones kusemwa.

Jitoe kwenye hilo gereza jombi
 
Ukisema vitu vipya vya kipuuzi wakati huja visoma uvifahamu ni sawa na kumsuta tajiri wakati yeye ndio mwenye pesa ww huna.

Ni vema ungeenda in details na tech knowledge ni vitu vipi vya kijinga
Kama leo ndio mara ya kwanza mm kuijua iphone bc uko sahihi
 
Back
Top Bottom