Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
View: https://x.com/SamsungMobileUS/status/1800233900389617979?t=VDdvhRoSeZ0LKEnI_RgKcw&s=19
Kampuni ya Kikorea "Samsung" imeleta features nyingi zinazowezeshwa na Artificial intelligence kwenye Samsung Galaxy S24 series na collection ya AI features kwenye S24 series Samsung akaamua kuiita "Galaxy AI"
Apple nao kupitia iOS 18 wameshirikiana na OpenAI kuleta AI features mbalimbali kwenye iPhone 15 Pro na 15 Pro Max. Apple yeye anaiita "Apple Intelligence".
Lakini cha ajabu kampuni ya Samsung kupitia ukurasa wake wa Twitter wa Marekani naona anapost statement za ku criticize Apple.
Mfano kwenye hii tweet ameandika "Adding "Apple" doesn't make it new or groundbreaking. Welcome to AI 🍎."
View: https://x.com/SamsungMobileUS/status/1800233900389617979?t=bg3lV_UzzgGSNa9q8_P2eQ&s=19
iOS 18 sasahivi imewapa uwezo iPhone users kuhamisha apps na kuziweka popote pale kwenye home screen, I mean hiki si kitu kipya kwa Android users kwa sababu hiki kitu kipo kwa miaka 14 sasa.
Samsung kupitia ukurasa wake wa Twitter Marekani wamepost kauli ya kinafiki, Post inasema "Moving my icons wherever I want since 2010 ... isn't that cool?"
Ni kama Samsung wanawacheka Apple hivi, kwa kuchelewa kuleta hiyo feature.
View: https://x.com/SamsungMobileUS/status/1800217378216890411?s=19
Hivi kumkandia mshindani wako kupitia mitandao ya kijamii ni sahihi au mimi ndo sijaelewa 🙄🙄