Samsung kuachana na Google Kama Search Engine

Samsung kuachana na Google Kama Search Engine

Google imetupa Degree mabaharia wengi sana pande tofauti za Dunia. 🤣🤣🤣 Samsung waache kiherehere hamna mtu atanunua lisimu ambalo halina google services.
Yh sure

Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa consumer preference and taste, ukimzoesha mteja wako huduma fulani akaipenda ukiibadili kuna uwezekano akakuhama

Kwa jinsi watu wameizoea google leo hii Samsung aipige chini watajikuta yaleyale yaliyowapata Huawei baada ya kuzuiwa kutumia OS ya android ikabidi waanzishe OS yao mpya Mine Harmony matokeo ni kwamba haijakidhi taste na preference ya consumers wao mwisho wa siku mauzo ya simu zao yameshuka
 
Yh sure

Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa consumer preference and taste, ukimzoesha mteja wako huduma fulani akaipenda ukiibadili kuna uwezekano akakuhama

Kwa jinsi watu wameizoea google leo hii Samsung aipige chini watajikuta yaleyale yaliyowapata Huawei baada ya kuzuiwa kutumia OS ya android ikabidi waanzishe OS yao mpya Mine Harmony matokeo ni kwamba haijakidhi taste na preference ya customers wao mwisho wa siku mauzo ya simu zao yameshuka
Amini kwamba
 
Lazima ayumbe kibiashara kuanzia kwenye hiyo kauli pekeee kesha poteza mabillion ya dola, bado utekelezaji
Ndio maana ilipelekea jana mauzo ya hisa za Google kushuka kwa 3.2% baada ya hilo tamko

Investors wa mbele wako makini sana wakipata taarifa ya kitu fulani tu ambacho kinaweza kuathiri faida ya pale anapowekeza basi atapunguza au atasitisha kununua hisa
 
Google imetupa Degree mabaharia wengi sana pande tofauti za Dunia. 🤣🤣🤣 Samsung waache kiherehere hamna mtu atanunua lisimu ambalo halina google services.
Assgnments zote unaletewa mzigo wenyewe hadi ticha anafurahi mwanafunzi kichwa 😆
Hizi nyingine vitu kibao tu unaambiwa no results found wtf
 
😀 Mfumo wangu ulikuwa kuzama page ya pili ya results. Ile ya kwanza mabwege wengi watakuwa wamekopia so mi naingia results page ya pili naweka vitu pale 🤣🤣🤣
Assgnments zote unaletewa mzigo wenyewe hadi ticha anafurahi mwanafunzi kichwa 😆
Hizi nyingine vitu kibao tu unaambiwa no results found wtf
 
Lazima ayumbe kibiashara kuanzia kwenye hiyo kauli pekeee kesha poteza mabillion ya dola, bado utekelezaji

Nyie msikariri mmeshaambiwa AI inakuja kwa kasi lazima kampuni zikae kimasta.

Kuna kuyumba kwa faida lakini sio hasara ya jumla,miaka 2-3 ijayo google itakuwa imeshuka umaarufu kabisa,sababu ya AI inaonyesha kwenda hatua 3 mbele zaidi unapouliza jambo tofauti na google inachokuletea.
 
Yh sure

Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa consumer preference and taste, ukimzoesha mteja wako huduma fulani akaipenda ukiibadili kuna uwezekano akakuhama

Kwa jinsi watu wameizoea google leo hii Samsung aipige chini watajikuta yaleyale yaliyowapata Huawei baada ya kuzuiwa kutumia OS ya android ikabidi waanzishe OS yao mpya Mine Harmony matokeo ni kwamba haijakidhi taste na preference ya consumers wao mwisho wa siku mauzo ya simu zao yameshuka

Samsung sio huawei mzee,embu katafiti AI ni kitu gani kisha piga ishara ya msalaba kuwaombea google,inawezekana walikuwa msaada sana lakini katika maisha lazima kuna vitu vipya vinakuja na huna namna kukubali.
 
Google imetupa Degree mabaharia wengi sana pande tofauti za Dunia. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Samsung waache kiherehere hamna mtu atanunua lisimu ambalo halina google services.

Hiyo AI sasa ndio msala sasa[emoji28],embu kaiaguze ikuandikie research ya mimba za utotoni,tena kiswahili,kisha ipe sekunde 3 uone msiba.
 
Nafikiri ile hasara kubwa waliyoipata Samsung ya karibu $3 bln katika mauzo ya semiconductor ndani ya robo ya kwanza ya mwaka huu 2023 (Jan-March) imewachanganya sana wanaanza kufanya maamuzi ambayo huenda yakawa-cost

Kuna hasara ya muda wote zaidi ya 2016 ya note 7 kuripuka??
Ilipoteza mapato,mpaka image ya kampuni,lakini mkorea huyo hapo leo.

Kumbuka hii ni kampuni yenye miaka zaidi ya 80 duniani,unadhani imepitia hatua ngapi??

2007 apple anakuja na iphone ya kwanza,ni samsung alikuwa wa kwanza kujua upepo ni wa apple akaenda nao 2009 akatoa galaxy ya kwanza wengine wakiwa wanashangaa shangaa tu.
Leo hii kashanusa kwamba maisha ya google hayavuki miaka 3-4 ijayo,pamoja na kumbeba sana muda mrefu muda wa kumbwaga umefika[emoji28][emoji28],na hii ni hatua moja ya kuachana na android pia.
 
Back
Top Bottom