Samsung yazidi kuwa Iphone

Samsung yazidi kuwa Iphone

Sio kubishana. Kumbuka umesema huna experience. Na watumiaji tumekwambia mbona hatuna hilo tatizo la vitu kuharibika sana

mie sijawahi haribikiwa kabisa. Ndio maana nimekukatalia.
Sio kila mtu ataexperience matatizo. Kwa kuwa wewe haijawahi kukusumbua basi wale ambao imewasumbua usiwaite Wabongo kwa sababu mnatumia products zenye quality tofauti au inaweza kuwa same quality ila utunzaji tofauti

Ni kama tu software updates. Kuna wengine waki-update wanapata issues kuna wengine waki-update hawapati issues
 
HAya jamani mkimalizana na mambo ya chaja karibuni
INSTAGRAM @dollrubii_decors
SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.

KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
 
HAya jamani mkimalizana na mambo ya chaja karibuni
INSTAGRAM @dollrubii_decors
SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.


KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065

Kwa Nambari hiyo hiyo niulize kuhusu mahitaji yako ya Bidhaa zote za samsung
Simu OG
BUDS
CHARGERS
TABLETS
 
Mkuu hizo sio sababu za MSINGI kwa mtumiaji
Hizo ni sababu za kibiashara kwa kampuni

Nashangaa sana pale kampuni zinapotengeneza utaratibu wa kutukamua zaidi kwa sababu za kijinga kama kutunza mazingira na bado kuna watu wanaamini sababu hizo ni za msingi

Hivi kama nina iphone nataka nihamie S23 nitatumia chaja ya iPhone?
Hivi kama nina infinix nahamia S23 kweli nianze kutumia chaja ya infinix ?
Kila siku inaimbwa kwamba chaja za hovyo zinaua betrii leo unasema tukanunue chaja affordable?
Unajua bei ya hizo chaja origino?

Mnavyo maanisha ni kama ukinunua simu mpya basi huna haja ya chaji mpya kwasababu ukipewa chaji mpya wakati unayo ya zamani basi machaji yatajaa mtaani na kuwa uchafu
Yaani ni kama ukinunua simu mpya basi simu ya zamani haina kazi na chaja yake ni ziada tu...... vipi kama nataka kumpa mama yangu au mwanangu au demu wangu? Nimpe bila chaji?

Hatuna namna inabidi tukubali maana kila kitu wanapanga wao
Ila binafsi naona chaji ilikua ni muhimu sana kuwepo
Mkuu ni kweli kuwa swala la kuuza charger separated ni kibiashara zaidi hilo nami nakubaliana na wewe

Ila hata hivyo charger zipo at affordable price hata uki switch kutoka kwenye apple kuja Samsung bado hutasumbuka.
 
Hama tu acha sie wazalendo iphone naipenda shida budget tu na matoleo machache tu nayakubaki haya pro
13 pro na 14 pro huniambii kitu na mwaka huu mwishoni Mungu atie wepes lazma niwe nayo

Yale madubwana ya 7 sijui 8 ziletakataka
 
Kijana hapo naomba usipotoshe au kuandika as wote hatuelewi humu.

Kila charger inauwezo tofauti wa kuchaji simu husika labda iwe d same phone, vinginevyo huwezi chaji Samsung kwenye charge ya Vivo ikiwa na amps tofauti.

Zingatia kila siku teknoloji inabidirika as kutoka slow to fast.
Mkuu Samsung tangu waweke mfumo wa type C 2017 charger zake zote zinauwezo wa kuchaji simu yeyote ambayo ni latest.

Screenshot_20230425-095456.png
 
Mimi ni Sony fan hadi watapofunga kiwanda 😀!
Sahizi niko na XZ1 nainjoy unyama tu juzi nimesahau bomba maji yamejaa hadi chumbani cha ajabu simu iko kwenye maji ila haijaharibika. Kumbe kitu ni waterproof bana 😀 😀 😀
Kwamba uliacha bomba wazi maji yakajaa hadi chumbani na simu uliacha ndani pia.😄😄
 
Mkuu Samsung tangu waweke mfumo wa type C 2017 charger zake zote zinauwezo wa kuchaji simu yeyote ambayo ni latest.

View attachment 2599180

Enzi sa s3,s4,s5 ndio wanajua waliweka nini kwenye port zak,charger fake haicharge hata uipake sukari.

Simu itashtuka tu kwamba umechomeka charger baada ya hapo utaambiwa tafuta charger iriginal.
 
Enzi sa s3,s4,s5 ndio wanajua waliweka nini kwenye port zak,charger fake haicharge hata uipake sukari.

Simu itashtuka tu kwamba umechomeka charger baada ya hapo utaambiwa tafuta charger iriginal.
Hapo utakuwa ulikuwa unachajia zile LED charger

Hizo ni charger ambazo hata kwenye tecno zilikuwa ni mtihani

Na sometimes USB zake hata data hazipitishi.

Lakini kwenye kesi ya type C ni very rarely
 
Naona watu wakajiongeza baada ya kuona simu zinakuja na type c bila ya earphone jack port wakaona watengeneze earphones ambazo ni type C moja kwa moja!
Mimi zangu pia zilikuwa na mic, ila nilkuja kugundua shida ipo pale sehemu ya kuchomekea dizain uki-bend wire zinapiga zote ukiiacha normal sikio moja halipigi. Lakini nikashangaa mbona hazina damage yoyote na zilikuwa za rubber material kama hizi za Oraimo. Nikaja kuzitupa tu!
Itabidi nianze kujifunza kuweka simu nzima sikioni kusikiliza kama mkuu Reuben Challe
 
Mimi ni mpenzi mkubwa Sana wa simu za android na simu yangu pendwa ni Samsung lakini huku tunakoelekea naona kabisa nitaisaliti chama.Sababu ni kuwa Samsung wanaiga vitu vingi Sana ambavyo havina msingi kutoka Kwa kampuni ya simu ya Iphone.

Hivi ni vitu baadhi ambavyo Samsung kaiga kutoka Kwa Iphone na vimeleta mabadiliko hasi Sana kwa watumiaji wa hizi simu za Samsung;


1 Wameiga kuondoa 3.5 mm jack kutoka kwenye simu za Iphone ;

Mwaka 2017 iphone waliondoa 3.5mm jack ya kuingiza Ear phones kutoka kwenye simu zao za Iphone 7. Matokeo yake Iphone walipondwa Sana na watumiaji wake na kukemewa vikali na kupondwa na makampuni ya simu ikiwemo Samsung.Chanzo Cha kuondoa 3.5 mm jack ilikuwa ni sababu Iphone walishindwa kutengeneza kioo full screen huku 3.5mm Jack ikiwepo.Iphone wanadai kwamba waliondoa 3.5 mm jack Ili waweze kutengeneza full screen BIla kizuizi.Kitu ambacho simu za android ilishaweza kutengeneza huku 3.5 mm jack ikiwepo.Tuseme tu android phones ZIPO mbele kiteknlolojia zaidi ya iPhone .

Swali langu ninajiuliza kwanini Samsung waliamua kuondoa 3.5 mm jack kwenye simu zao Kwa kumuiga iPhone wakati wanajua Iphone waliondoa hicho kitu sababu ya kukosa teknolojia ya kutengeneza full screen BIla kutoa 3.5mm jack?

2 Wameiga kutoweka charger na cover za simu kwenye Box la Simu mpya kama wanavyofanya Iphone ;

Nasikitika Sana kuona Samsung wamepata ujasiri wa kupakia simu tu kwenye Box BIla charger Wala Cover kama simu zingine za Android zinavyofanya.Watu wanatoa mamilioni lakini hawapati product zilizokamilika kwenye Box.Ni upuuzi mtupu.


Wakati simu zingine za Android zinajitahidi kuweka Hadi pre installed screen protector na accessories za simu zinazohitajika Sana Samsung wapo busy wanazidi kuziondoa.


Mimi ni mdau wa Samsung lakini hapa niseme tu Samsung wamefeli pakubwa.

Ni ajabu kukuta Flagship phone kama galaxy S23 ultra imekuja tu na USB Haina charger ni upuuzi mtupu tu.

NI BORA NIHAMIE KAMPUNI ZINGINE ZA SIMU MAANA SAMSUNG WAMEBADILIKA KUWA IPHONE SIO WAO TENA.

Shame on you ShameSung
Mkuu kwenye issue ya PRODUCT DEVELOPMENT huwa kuna series of steps to adhere...hawakurupuki tu..lazima watu wa Sales and Marketing wawe strategic kweli kweli..hawa watu wakifeli kampuni zinashindwa kufika Sales target Volumes matokeo yake zinafifia kama kina MOTOROLA,NOKIA,BLACKBERRY,LG n.k

Unapofanya biashara yoyote lazima watu wa Sales and Marketing wafanye Close monitoring ya competitors..lazima uwe na MARKETING RESEARCH,SALES AND MARKETING INTELLIGENCE..so,Iphone ni World Class product inapendwa na watu wengi maarufu..so,Samsung anamonitor kwa ukaribu sana shughuli zote za Iphone kuanzia kwenye PRODUCT DEVELOPMENT,SALES AND MARKETING STRATEGIES..not to forget PRICING STRATEGIES.
 
Back
Top Bottom