Samsung yazidi kuwa Iphone

Samsung yazidi kuwa Iphone

Mimi ni mpenzi mkubwa Sana wa simu za android na simu yangu pendwa ni Samsung lakini huku tunakoelekea naona kabisa nitaisaliti chama.Sababu ni kuwa Samsung wanaiga vitu vingi Sana ambavyo havina msingi kutoka Kwa kampuni ya simu ya Iphone.

Hivi ni vitu baadhi ambavyo Samsung kaiga kutoka Kwa Iphone na vimeleta mabadiliko hasi Sana kwa watumiaji wa hizi simu za Samsung;


1 Wameiga kuondoa 3.5 mm jack kutoka kwenye simu za Iphone ;

Mwaka 2017 iphone waliondoa 3.5mm jack ya kuingiza Ear phones kutoka kwenye simu zao za Iphone 7. Matokeo yake Iphone walipondwa Sana na watumiaji wake na kukemewa vikali na kupondwa na makampuni ya simu ikiwemo Samsung.Chanzo Cha kuondoa 3.5 mm jack ilikuwa ni sababu Iphone walishindwa kutengeneza kioo full screen huku 3.5mm Jack ikiwepo.Iphone wanadai kwamba waliondoa 3.5 mm jack Ili waweze kutengeneza full screen BIla kizuizi.Kitu ambacho simu za android ilishaweza kutengeneza huku 3.5 mm jack ikiwepo.Tuseme tu android phones ZIPO mbele kiteknlolojia zaidi ya iPhone .

Swali langu ninajiuliza kwanini Samsung waliamua kuondoa 3.5 mm jack kwenye simu zao Kwa kumuiga iPhone wakati wanajua Iphone waliondoa hicho kitu sababu ya kukosa teknolojia ya kutengeneza full screen BIla kutoa 3.5mm jack?

2 Wameiga kutoweka charger na cover za simu kwenye Box la Simu mpya kama wanavyofanya Iphone ;

Nasikitika Sana kuona Samsung wamepata ujasiri wa kupakia simu tu kwenye Box BIla charger Wala Cover kama simu zingine za Android zinavyofanya.Watu wanatoa mamilioni lakini hawapati product zilizokamilika kwenye Box.Ni upuuzi mtupu.


Wakati simu zingine za Android zinajitahidi kuweka Hadi pre installed screen protector na accessories za simu zinazohitajika Sana Samsung wapo busy wanazidi kuziondoa.


Mimi ni mdau wa Samsung lakini hapa niseme tu Samsung wamefeli pakubwa.

Ni ajabu kukuta Flagship phone kama galaxy S23 ultra imekuja tu na USB Haina charger ni upuuzi mtupu tu.

NI BORA NIHAMIE KAMPUNI ZINGINE ZA SIMU MAANA SAMSUNG WAMEBADILIKA KUWA IPHONE SIO WAO TENA.

Shame on you ShameSung
Nijamikiki A22 Samsang

Sijaweka screen protector nimeiangusha mara mbili tena inaangukia kioo nahakuna crack.


Mtaalam hii ndivyo ilivyo kwa simu mpya? Au bahati tu?
 
Mimi ni mpenzi mkubwa Sana wa simu za android na simu yangu pendwa ni Samsung lakini huku tunakoelekea naona kabisa nitaisaliti chama.Sababu ni kuwa Samsung wanaiga vitu vingi Sana ambavyo havina msingi kutoka Kwa kampuni ya simu ya Iphone.

Hivi ni vitu baadhi ambavyo Samsung kaiga kutoka Kwa Iphone na vimeleta mabadiliko hasi Sana kwa watumiaji wa hizi simu za Samsung;


1 Wameiga kuondoa 3.5 mm jack kutoka kwenye simu za Iphone ;

Mwaka 2017 iphone waliondoa 3.5mm jack ya kuingiza Ear phones kutoka kwenye simu zao za Iphone 7. Matokeo yake Iphone walipondwa Sana na watumiaji wake na kukemewa vikali na kupondwa na makampuni ya simu ikiwemo Samsung.Chanzo Cha kuondoa 3.5 mm jack ilikuwa ni sababu Iphone walishindwa kutengeneza kioo full screen huku 3.5mm Jack ikiwepo.Iphone wanadai kwamba waliondoa 3.5 mm jack Ili waweze kutengeneza full screen BIla kizuizi.Kitu ambacho simu za android ilishaweza kutengeneza huku 3.5 mm jack ikiwepo.Tuseme tu android phones ZIPO mbele kiteknlolojia zaidi ya iPhone .

Swali langu ninajiuliza kwanini Samsung waliamua kuondoa 3.5 mm jack kwenye simu zao Kwa kumuiga iPhone wakati wanajua Iphone waliondoa hicho kitu sababu ya kukosa teknolojia ya kutengeneza full screen BIla kutoa 3.5mm jack?

2 Wameiga kutoweka charger na cover za simu kwenye Box la Simu mpya kama wanavyofanya Iphone ;

Nasikitika Sana kuona Samsung wamepata ujasiri wa kupakia simu tu kwenye Box BIla charger Wala Cover kama simu zingine za Android zinavyofanya.Watu wanatoa mamilioni lakini hawapati product zilizokamilika kwenye Box.Ni upuuzi mtupu.


Wakati simu zingine za Android zinajitahidi kuweka Hadi pre installed screen protector na accessories za simu zinazohitajika Sana Samsung wapo busy wanazidi kuziondoa.


Mimi ni mdau wa Samsung lakini hapa niseme tu Samsung wamefeli pakubwa.

Ni ajabu kukuta Flagship phone kama galaxy S23 ultra imekuja tu na USB Haina charger ni upuuzi mtupu tu.

NI BORA NIHAMIE KAMPUNI ZINGINE ZA SIMU MAANA SAMSUNG WAMEBADILIKA KUWA IPHONE SIO WAO TENA.

Shame on you ShameSung
Pole sana mkuu.
Karibu Google pixel.
 
Wenzio wanafanya mabadiliko wakiamgalia na soko jinsi linavyoenda

Kipindi hicho Samsung kuweka earphone jack kwenye simu zao ilikuwa ni idea nzuri kwasababu wireless pods, earbuds zilikuwa bado hazijakaa vizuri sokoni.

Charger nayo ni ya kuiletea complain kweli?

Watu wanaangalia mazingira, mitaani miwaya miwaya imekuwa mingi na hii yote kwasababu ya kuzagaa kwa charger.

Hivyo unakuta mtu ananunua simu ambayo imekuja na charger wakati huo charger yake aliyokuwa anaitumia kwenye simu ya zamani bado ipo.

Ni vitu vidogo ila we umevifanya vionekane vikubwa.
Charger original ya simu ni muhimu za mtaani mbaya
 
Mkuu hizo sio sababu za MSINGI kwa mtumiaji
Hizo ni sababu za kibiashara kwa kampuni

Nashangaa sana pale kampuni zinapotengeneza utaratibu wa kutukamua zaidi kwa sababu za kijinga kama kutunza mazingira na bado kuna watu wanaamini sababu hizo ni za msingi

Hivi kama nina iphone nataka nihamie S23 nitatumia chaja ya iPhone?
Hivi kama nina infinix nahamia S23 kweli nianze kutumia chaja ya infinix ?
Kila siku inaimbwa kwamba chaja za hovyo zinaua betrii leo unasema tukanunue chaja affordable?
Unajua bei ya hizo chaja origino?

Mnavyo maanisha ni kama ukinunua simu mpya basi huna haja ya chaji mpya kwasababu ukipewa chaji mpya wakati unayo ya zamani basi machaji yatajaa mtaani na kuwa uchafu
Yaani ni kama ukinunua simu mpya basi simu ya zamani haina kazi na chaja yake ni ziada tu...... vipi kama nataka kumpa mama yangu au mwanangu au demu wangu? Nimpe bila chaji?

Hatuna namna inabidi tukubali maana kila kitu wanapanga wao
Ila binafsi naona chaji ilikua ni muhimu sana kuwepo
Ni wajinga pekee wanaoamini et wanalinda mazingira ..hivi chaja Nani kawahi kutana nazo barabaran?


Au zikijaa ndani kwangu zinachafuaje mazingira

Lengo lako Ni kupiga pesa na hawasemi wanasema mazingira


Mtaji wa pekee wa bure Ni kundi la wajinga

Leo hii tulalamike kwenye page za apple kuwa hatutanunua simu Kama hazitakuja na accessories za muhimu tunanunua simu labda xiaomi flani na kweli mauzo yashuke uone Kama hawataweka
 
Ni wajinga pekee wanaoamini et wanalinda mazingira ..hivi chaja Nani kawahi kutana nazo barabaran?


Au zikijaa ndani kwangu zinachafuaje mazingira

Lengo lako Ni kupiga pesa na hawasemi wanasema mazingira


Mtaji wa pekee wa bure Ni kundi la wajinga

Leo hii tulalamike kwenye page za apple kuwa hatutanunua simu Kama hazitakuja na accessories za muhimu tunanunua simu labda xiaomi flani na kweli mauzo yashuke uone Kama hawataweka
ndio maana Brazil walisema bila charge hawanunui kwanza walipigwa faini[emoji16][emoji16]
 
SHida sio SAMSUNG nadhani huna tu uelewa kuhusu faida ya mabadiliko yanayoendelea......na mbona swala la chaja haipo tangu S21 wewe umekuja kulalamika leo s23??? 3years mzeee
Wengine tuko na S8 plain
 
Nijamikiki A22 Samsang

Sijaweka screen protector nimeiangusha mara mbili tena inaangukia kioo nahakuna crack.


Mtaalam hii ndivyo ilivyo kwa simu mpya? Au bahati tu?
Mi natumia S8 nilibandua hayo matakataka ila hii amoled imekaa bila tatizo
 
Mkuu ni kweli kuwa swala la kuuza charger separated ni kibiashara zaidi hilo nami nakubaliana na wewe

Ila hata hivyo charger zipo at affordable price hata uki switch kutoka kwenye apple kuja Samsung bado hutasumbuka.

Kama tunakubaliana sababu ni za kibiashara basi sawa

Kuhusu affordable price hapo pana ukakasi kidogo
Kwenye website ya Samsung charger price ni usd 50 hapa unazungumzia zaidi ya Tsh 100k
Halafu bongo unakuta eti zinauzwa 50k...... nyingi ni FAKE
Na kwa S23 utra hizo charger baada ya muda tu simu inaanza kugoma kuchaji na unaanza kuhangaika kutafuta chaji nyingine tena
Simu na charger vina uiano wa vipimo vyake na ndio maana tuna sisitizwa kujua aina ya simu na aina ya charger kupunguza kuua betrii na simu kwa ujumla

Haya yote yangemalizwa na simu kuja na charger yake original
 
Kama tunakubaliana sababu ni za kibiashara basi sawa

Kuhusu affordable price hapo pana ukakasi kidogo
Kwenye website ya Samsung charger price ni usd 50 hapa unazungumzia zaidi ya Tsh 100k
Halafu bongo unakuta eti zinauzwa 50k...... nyingi ni FAKE
Na kwa S23 utra hizo charger baada ya muda tu simu inaanza kugoma kuchaji na unaanza kuhangaika kutafuta chaji nyingine tena
Simu na charger vina uiano wa vipimo vyake na ndio maana tuna sisitizwa kujua aina ya simu na aina ya charger kupunguza kuua betrii na simu kwa ujumla

Haya yote yangemalizwa na simu kuja na charger yake original
Samsung wenyewe walisema wanapunguza bei ya charger ili watu waweze ku afford, ambapo ni $14 tu
 
Back
Top Bottom