samuel999 yupo wapi?

Safi sana ndugu ...tunajifunza pia mengi kutoka kwenu maana kupitia jukwaa la kenya tumehabarishana vitu vingi yaani kuna vitu vya kenya nimejifunza na hata baadhi ya vitu vya Tz pia.....
hongera kwa kujifunza na ninatumai utakuwa vyema zaidi katika siku za usoni
 
Daby nisaidie kupigia mstari hiyo mke wangu apo juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…