Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Aliolewa na pharaoh na alikuwa na nguvu katika jamii, aliabudu jua na kuamini kuwa Egyptians ni weusiNje ya mada kidogo samahani queen nefertiti alifanya mambo gani makubwa maana ni maarufu sanaaa.
Uislamu ni utumwa wa fikra
Unaweza kumuoa mtoto wa mamdogo au mama mkubwa wako??Kivipi kaka,embe tupe faida na sisi.
Unaweza kumuoa mtoto wa mamdogo au mama mkubwa wako??
Unaweza kumuua mtu kwasababu tu haamini katika uislamu??Naweza ndio.
Unaweza kumuua mtu kwasababu tu haamini katika uislamu??
Foolish,unaipinga Quran, unaabudu usichokijua, Quran inaruhusu kuua watu wasioamini katika uislamuSiwezi kumuua. Na hairuhusiwi hiyo katika Uislamu.
Hivi yule mpumbavu aliyekufa kibogoyo yupo??Siwezi kumuua. Na hairuhusiwi hiyo katika Uislamu.
Cc: KICHWA KIKUUMtu yeyote anayetaka kujifunza historia ya Afrika, ni vyema akaanza kujifunza kwanza historia ya Kemet kwani hapo ndipo inapopatikana elimu, urithi, historia, ufahari wa bara letu la Afrika.
Pia tufahamu kwamba Kemet ndio eneo la kwanza ulimwenguni kuanza kustaarabika.
Unaweza ukawa unajiuliza, Kemet ni wapi? Jibu ni kwamba, KEMET ni Misri ya Kale.
Leo hii, asilimia kubwa ya raia wa misri ni waarabu, lakini huko nyuma, Misri ilikuwa ni Ardhi ya mtu mweusi. Hao waarabu walivamia misri miaka ya 639 AD ikiwa ni katika jitihada za kueneza imani ya Kiislamu.
Mojawapo ya Tamaduni za Wamisri wa kale, ilikuwa ni kujenga mapiramidi. Ingawa yapo mapiramidi mengi sana huko Misri, lakini yaliyo maarufu ni yale mapiramidi matatu yaliyoko katika mji wa Giza.
Sambamba na hayo mapiramidi Matatu, kuna kitu kinaitwa 'Sphinx'. Ni jengo lililojengwa kwa mfano wa Simba mwenye kichwa cha Binadamu. (Pichani)
Na Inaelezwa kwamba hiko kichwa ni cha Farao Khafre aliyetawala hapo kwenye miaka ya 2558 hadi 2532 BC.
Sphinx ina urefu wa takribani Mita 73 kuanzia kwenye mkia hadi kwenye viganja vya mikono. Pia urefu wa kwenda juu (kimo) ni takribani Mita 20 kuanzia kwenye Ardhi hadi kwenye utosi. Pia na upana wa Mita 19.
UNAWEZA KUONGEZEA KUHUSU SANAMU LA KEMET
.View attachment 978364
we msabato huna jipyaMtu yeyote anayetaka kujifunza historia ya Afrika, ni vyema akaanza kujifunza kwanza historia ya Kemet kwani hapo ndipo inapopatikana elimu, urithi, historia, ufahari wa bara letu la Afrika.
Pia tufahamu kwamba Kemet ndio eneo la kwanza ulimwenguni kuanza kustaarabika.
Unaweza ukawa unajiuliza, Kemet ni wapi? Jibu ni kwamba, KEMET ni Misri ya Kale.
Leo hii, asilimia kubwa ya raia wa misri ni waarabu, lakini huko nyuma, Misri ilikuwa ni Ardhi ya mtu mweusi. Hao waarabu walivamia misri miaka ya 639 AD ikiwa ni katika jitihada za kueneza imani ya Kiislamu.
Mojawapo ya Tamaduni za Wamisri wa kale, ilikuwa ni kujenga mapiramidi. Ingawa yapo mapiramidi mengi sana huko Misri, lakini yaliyo maarufu ni yale mapiramidi matatu yaliyoko katika mji wa Giza.
Sambamba na hayo mapiramidi Matatu, kuna kitu kinaitwa 'Sphinx'. Ni jengo lililojengwa kwa mfano wa Simba mwenye kichwa cha Binadamu. (Pichani)
Na Inaelezwa kwamba hiko kichwa ni cha Farao Khafre aliyetawala hapo kwenye miaka ya 2558 hadi 2532 BC.
Sphinx ina urefu wa takribani Mita 73 kuanzia kwenye mkia hadi kwenye viganja vya mikono. Pia urefu wa kwenda juu (kimo) ni takribani Mita 20 kuanzia kwenye Ardhi hadi kwenye utosi. Pia na upana wa Mita 19.
UNAWEZA KUONGEZEA KUHUSU SANAMU LA KEMET
.View attachment 978364
Foolish,unaipinga Quran, unaabudu usichokijua, Quran inaruhusu kuua watu wasioamini katika uislamu
Hivi yule mpumbavu aliyekufa kibogoyo yupo??
Vipi nilete haya,Babu uislamu dini ya wajinga ndo maana wanauawa kila siku ngoja nilete Aya hapaNacheka sana. Leta aya mzee. Qur'an iko wazi sana,yaani mtume ameucha Uislamu ukiwa katika hali ambayo usiku wake kama mchana wake.
Tatizo mnapenda sana kusikia kuliko kusomeshwa,na husemwa yule "Asomae vitabu kiupofu hutoka kama alivyo ingia" au kama walivyosema wasemaji.
Halafu elimu haitaki jazba bali ni hoja na utulivu.
Tulia .....
Hivi yule mpumbavu aliyeoa binti wa miaka 12 yupo??Huyo simjui.
Na hapa nakupa faida,upumbavu ni hali ya mtu kujiona anajua hali yakuwa hajui. Humu wewe umo.
Huyo Ni Mohammed alikufa akiwa kibogoyo, very foolish MohammedHuyo simjui.
Na hapa nakupa faida,upumbavu ni hali ya mtu kujiona anajua hali yakuwa hajui. Humu wewe umo.
Mmh we Nili abnormal kabsa..Haya masanamu mengi yamevunjwa pua,
Inasemekana walikuwa ni blacks ila mahasidi wakaamua kuvunja pua zote.
Rejea sanamu zote