Sanamu la KEMET huko Misri

Kwa kuongezea:
Sanamu hiyo ya sphinx ilijengwa kama ishara ya mungu mlinzi wa mafarao waliozikwa kwenye mapiramidi(kumbuka imejengwa hapo Giza karibu sana na mapiramidi)
Na imetazama sehemu linakochomoza jua sababu wamisri waliamini katika mungu jua.
Tafuta kitabu kikubwa cha world history cha Tennesee utajifunza mengi kuhusu ancient and moderm history.
 
uislam ulikuja baada ya yesu kupaa mbinguni, lakin kabla ya yesu kuzaliwa mana bii na mitume walishawahi tembelea misri.
asa unaweza vipi sema asili ya misri ni weusi au warabu walikuja wakiwa wanaeneza uislam??
 
Cc: KICHWA KIKUU
 
we msabato huna jipya
 
Foolish,unaipinga Quran, unaabudu usichokijua, Quran inaruhusu kuua watu wasioamini katika uislamu

Nacheka sana. Leta aya mzee. Qur'an iko wazi sana,yaani mtume ameucha Uislamu ukiwa katika hali ambayo usiku wake kama mchana wake.

Tatizo mnapenda sana kusikia kuliko kusomeshwa,na husemwa yule "Asomae vitabu kiupofu hutoka kama alivyo ingia" au kama walivyosema wasemaji.

Halafu elimu haitaki jazba bali ni hoja na utulivu.

Tulia .....
 
Vipi nilete haya,Babu uislamu dini ya wajinga ndo maana wanauawa kila siku ngoja nilete Aya hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…