Sanamu la mungu Mwezi (Luna) Laokotwa chini ya Bahari

Sanamu la mungu Mwezi (Luna) Laokotwa chini ya Bahari

Mkuu... vp kwa upande wako kipi ndio kila kitu ktk huu ulimwengu science au?
Ulimwengu wa science ni tangible lakini huo wa kuchinjani kuwahi viwanja vya pepo ni wa kufikirika tu, ndio maana wewe unachat na sisi kwa mtandao ambao ni moja ya science tunayoiona, kuliko hizo stories za kiama, sijui pepo, ni kuzinguana tu. Kama huamini science, wasiliana nasi kiroho basi.
 
hapa ndipo ninapo pata ufahamu kwanini Yesu Alisema Kupitia Mimi Mtamjua Mungu wa Kweli.

Kumbe kinyume chake kuna Mungu wa Uongo ndiyo maana Yesu Akatutaadharisha.

Soma Injili ya Yohana Mtakatifu 17:3
Safi sana, ukweli utabaki na uwongo utajitenga mbali
 
Ulimwengu wa science ni tangible lakini huo wa kuchinjani kuwahi viwanja vya pepo ni wa kufikirika tu, ndio maana wewe unachat na sisi kwa mtandao ambao ni moja ya science tunayoiona, kuliko hizo stories za kiama, sijui pepo, ni kuzinguana tu. Kama huamini science, wasiliana nasi kiroho basi.

Kwahyo na ww ni muumini Wa science?
 
duuh mi mpka nachanganyikiwa aisee, bs hv vyote dunia, usiku,mchana,jua,mwezi, who created them and put them on time?
 
Nani kakwambia vimeumbwa?

Hv kwann wanasayansi na science imeshindwa/waeshindwa kuiongeza ukubwa wa dunia baadala yake wamekuja na mbinu ya kupunguza watu dunia kwa kuhofia bila kufanya hvyo kuna kipindi dunia itajaa
 
Hv kwann wanasayansi na science imeshindwa/waeshindwa kuiongeza ukubwa wa dunia baadala yake wamekuja na mbinu ya kupunguza watu dunia kwa kuhofia bila kufanya hvyo kuna kipindi dunia itajaa
Kuiongeza Dunia? unamawazo ya kipekee.... sasa kama wanasayansi wameshindwa kuingeza Dunia ulituma Ombi? Dubai kule wamesogeza Bahari Nyumba zikajengwa tena za Kifahari, uwezo wa kuongeza eneo la bahari liwe nchi kavu uwezo upo... ila unayemuamini wewe kazi unayo omba aiongeze Dunia basi...

By da way humjui Unayemuamini kwa jina wala sheria zake zaidi mnazo zenu huku mkiziita ni zake... na maandiko ya sheria zenu hazipo bibliani
 
Sasa mambo kama haya yanapowekwa wazi ili kila mtu achague anachotaka kuamini ndipo linapotimia lile Neno alilosema Yesu kuwa "jiwe halitasalia juu ya jiwe" Hii ikimaanisha hakuna siri itakayobakia kila kitu kitawekwa wazi. Hata siku saba za week Monday to Sunday ni ibada za miungu tu. Mungu hakuita siku ya kwanza kuwa Moon-day au ya saba Sun-day! Hii ilitengenezwa na shetani kupitia washirika wake ili kushindana na majira ya Mungu ya siku ya kwanza hadi ya saba. Ndiyo maana neno katika Mithali linasema msingi ukiharibika mwenye haki atafanya nini? This means dini na madhehebu zimejengwa kwenye msingi mbovu ambao hamna Mungu wa kweli na imepelekea shida hata uovu wakutisha kama ufiraji, ulawiti, ushoga, usagaji, ubakaji, uuaji, wizi nk vimo humo tunakoita ni makanisani na kwenye dini. Mnaweza ku Google the origin of the world's calendar and you will realize something! Kumbuka time is life. That's why neno linasema tuukomboe wakati. But what happens kama una operate kwenye wakati mbovu? The above post is worth thinking with when we reflect about our faith and relationship with God!
 
Origin ya Uislam iko hapa
98a74a4c55b04c552aa45e08f70417da.jpg


Ila Mungu hakuwahi kuzungumzia dini wala dhehebu. Na Yesu alisema atarudi kuchukua kanisa na wala si dini wala dhehebu. Ila chakushangaza misingi ya dini zetu na dhehebu tumeifanya imara kuliko hata Mungu tunayedai tunamwabudu kupitia hizo. Sasa tuna tofauti gani na mafarisayo wa kipindi cha Yesu? Ila pia tukumbuke even though Yesu alikuta hizo dini za mafarisayo kwa ujasiri kabisa alisema "Mimi ndimi mlango wa kondoo ingieni kupitia mimi, walionitangulia ni wezi na wanyang`anyi" That means mafarisayo na masadukayo hawakuwa na mafundisho sahihi kwa habari ya Mungu. Tutafakari because the end is near!
 
Kuiongeza Dunia? unamawazo ya kipekee.... sasa kama wanasayansi wameshindwa kuingeza Dunia ulituma Ombi? Dubai kule wamesogeza Bahari Nyumba zikajengwa tena za Kifahari, uwezo wa kuongeza eneo la bahari liwe nchi kavu uwezo upo... ila unayemuamini wewe kazi unayo omba aiongeze Dunia basi...

By da way humjui Unayemuamini kwa jina wala sheria zake zaidi mnazo zenu huku mkiziita ni zake... na maandiko ya sheria zenu hazipo bibliani

Acha kukurupukia mambo ww
 
Kuiongeza Dunia? unamawazo ya kipekee.... sasa kama wanasayansi wameshindwa kuingeza Dunia ulituma Ombi? Dubai kule wamesogeza Bahari Nyumba zikajengwa tena za Kifahari, uwezo wa kuongeza eneo la bahari liwe nchi kavu uwezo upo... ila unayemuamini wewe kazi unayo omba aiongeze Dunia basi...

By da way humjui Unayemuamini kwa jina wala sheria zake zaidi mnazo zenu huku mkiziita ni zake... na maandiko ya sheria zenu hazipo bibliani

Hyo science yako na hawo wanascience Leo hii imekuja na mbinu ya kupunguza watu watu kwa kuhofia dunia itaja. Mbaya zaid imefikia hatua yakupunguaza watu kwa kuua na ku depress fertility za watu. Kwann science isije na njia njingine nzur zczo athiri maisha ya watu, kwann hili science isifikirie hatua za kuiongeza hii dunia badala ya kuua watu?
 
Mkuu nadhani na wewe upo chaka kama wengine Yesu Hadi Anandei alikuwa ni muumini wa Dini ya Kiyahudi... na Waroma walimbatiza kuwa ni Mfalme wa wayahudi kama alivyotabiriwa na watu Dini ya Kiyahudi kina Isaya... so acha kusema Yesu hana Dini wa Dhehebu... Ukristo ulikuja miaka zaidi ya mia baada ya kifo chake so hata yeye akija akakuta kuna Dini inaitwa Ukristo na yeye ndio Mlengwa lazima ashangae... Uislam ulikuja baada ya miaka maelfu baadae... So Yesu Dini yake ni Uyahudi.... Soma na uchambue vizuri utaelewa tu... huna haja ya kupigia upatu dini yoyote kama unamfuata Yesu basi fuata Dini ya Uyahudi la sivyo Upo Chaka hilo hilo la Masanamu
Alimwambia Petro, wewe ni mwamba na juu yako nitalijenga kanisa ambalo halitashindwa na malango ya kuzimu, na dini ya wayahudi walikuwa wanaabudu kwenye masinagogi.
Pili wayahudi walitaka kumuua mara nyingi na kumtuhumu kuwa ananakufuru, kama angekuwa anahubiri mafundisho ya Musa kwa nini walikuwa wanalumbana?
 
Hyo science yako na hawo wanascience Leo hii imekuja na mbinu ya kupunguza watu watu kwa kuhofia dunia itaja. Mbaya zaid imefikia hatua yakupunguaza watu kwa kuua na ku depress fertility za watu. Kwann science isije na njia njingine nzur zczo athiri maisha ya watu, kwann hili science isifikirie hatua za kuiongeza hii dunia badala ya kuua watu?
Hiyo ya Kupunguza watu umejitungia wewe mwenyewe tu kwa akili yako mbovu.... Kumbuka vitabu vyenu vya Dini vimeandika kuwa Mungu alimuambia Nuhu ajenge Safina kwani ataleta Gharika watu na viumbe vingi vife na kupungua... sasa ushahidi huo na wewe unao upi? Maana kama vita mudi kaua watu wengi sana
 
Alimwambia Petro, wewe ni mwamba na juu yako nitalijenga kanisa ambalo halitashindwa na malango ya kuzimu, na dini ya wayahudi walikuwa wanaabudu kwenye masinagogi.
Pili wayahudi walitaka kumuua mara nyingi na kumtuhumu kuwa ananakufuru, kama angekuwa anahubiri mafundisho ya Musa kwa nini walikuwa wanalumbana?
Ukisema Wayahudi unamzungumzia Yesu Direct... hata wakirumbana wao ndio walipata mafunzo Direct na sio ndoto... huo Uongo wa kuwa na Makanisa blah bhla Nguruwe,Ubani chochezo kanisani huelewi yana maana gani na asili yake hutaki kufuatilia sababu upo chaka siku ukijua utachukia ukristo wewe mimi nimechambua sana so unapotetea kwanza lazima nikushangae na ukianza leta point zako ulizojipangia na kuziangusha humu huwa hazina mashiko sababu unachukulia humo humo kwenye kitabu kilichoondoshwa historia za kweli ili kukupumbaza Yesu atabakia kuwa Myahudi sababu Uyahudi ni dini ya kabila so you can't change the history...

Kama upo chaka upo chaka tu.... endelea kuuliza uliza maswali tukufunulie unachoamini... i will be back wacha nikatizame Game ya Madrid dabi
 
Ukisema Wayahudi unamzungumzia Yesu Direct... hata wakirumbana wao ndio walipata mafunzo Direct na sio ndoto... huo Uongo wa kuwa na Makanisa blah bhla Nguruwe,Ubani chochezo kanisani huelewi yana maana gani na asili yake hutaki kufuatilia sababu upo chaka siku ukijua utachukia ukristo wewe mimi nimechambua sana so unapotetea kwanza lazima nikushangae na ukianza leta point zako ulizojipangia na kuziangusha humu huwa hazina mashiko sababu unachukulia humo humo kwenye kitabu kilichoondoshwa historia za kweli ili kukupumbaza Yesu atabakia kuwa Myahudi sababu Uyahudi ni dini ya kabila so you can't change the history...

Kama upo chaka upo chaka tu.... endelea kuuliza uliza maswali tukufunulie unachoamini... i will be back wacha nikatizame Game ya Madrid dabi
Tatizo la kutoelewa na kujitahidi kutumia elimu ya dunia idanganyayo kuchallenge mafundisho ya kiroho, unaweza kuwapata wale wenye uelewa kama wako wewe, hebu soma kwanza mithali 1:2-5
Kujua hekima na adabu, kutambua maneno ya ufahamu, kufundishwa matendo ya busara, katika haki na hekima na adili, kuwapa wajinga werevu na kijana maarifa na hadhari. Mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu uyafikie mashauri yenye njia.
Mit 1:7 Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa, bali WAPUMBAVU hudharau hekima na adabu..
Mungu alijitambulisha kwa mataifa kama Mungu wa waisrael, kwani mataifa mengi yalikuwa na miungu yao, na kama uliwahi kusoma kitabu cha Daniel mfalme Nebukadreza alisema Mungu wa Daniel ni Mungu wa kweli.
Hebu angalia hoja yako ilivyo dhaifu na nyepesi kama toilet paper kuwa uyahudi ni dini ya kabila, na refer Bible ambayo imeandika history ya uyahudi in relation to church, wapi imeeleza ni dini ya kabila?

Matendo 8:15 lakini Bwana akamwambia Nenda tu kwa maana huyu ni chombo changu kiteule kwangu alichukua jina langu mbele ya MATAIFA na wana wa Israel.

Matendo 10:1 kuendelea hapa kuna hadithi ya Kornelia ambaye alikuwa Mrumi, alitokewa na Malaika na kuelekezwa kwenda kwa petro, bila shaka Mrumi ni tofauti na muisrael, nenda mstari wa 28 pale
Akawaambia, ninyi mnajua si halali mtu aliye myahudi ashikamane na mtu wa taifa lingine wala kumwendea , lakini Mungu amenionya nisimwite mtu awaye yote mchafu wala najisi.

Kama utakuwa na fahamu walau kidogo utagundua kanisa la kristu si kwa wayahudi pekee na kazi za Paulo zinajieleza sehemu alizoenda kueneza injili na kujenga makanisa si kwa wayahudi, na ilikuwa ni kazi ya Yesu.

Nimekupata mifano michache ikusaidie maana nimeona huna uelewa wa kutosha labda usubiri ligi za ulaya zianze ukatazame mpira I think you are the best at it siyo kumjua Mungu.

Kwa kumalizia soma Zab 25:14 Siri ya BWANA iko kwao wamchao, Naye atawajulisha agano lake.
We kawatazame real Madrid halafu ujitape kujua historia ya taifa la Mungu, kuyajua ya shetani na ya Mungu tofauti, usiku mwema
 
Tatizo la kutoelewa na kujitahidi kutumia elimu ya dunia idanganyayo kuchallenge mafundisho ya kiroho, unaweza kuwapata wale wenye uelewa kama wako wewe, hebu soma kwanza mithali 1:2-5
Kujua hekima na adabu, kutambua maneno ya ufahamu, kufundishwa matendo ya busara, katika haki na hekima na adili, kuwapa wajinga werevu na kijana maarifa na hadhari. Mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu uyafikie mashauri yenye njia.
Mit 1:7 Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa, bali WAPUMBAVU hudharau hekima na adabu..
Mungu alijitambulisha kwa mataifa kama Mungu wa waisrael, kwani mataifa mengi yalikuwa na miungu yao, na kama uliwahi kusoma kitabu cha Daniel mfalme Nebukadreza alisema Mungu wa Daniel ni Mungu wa kweli.
Hebu angalia hoja yako ilivyo dhaifu na nyepesi kama toilet paper kuwa uyahudi ni dini ya kabila, na refer Bible ambayo imeandika history ya uyahudi in relation to church, wapi imeeleza ni dini ya kabila?

Matendo 8:15 lakini Bwana akamwambia Nenda tu kwa maana huyu ni chombo changu kiteule kwangu alichukua jina langu mbele ya MATAIFA na wana wa Israel.

Matendo 10:1 kuendelea hapa kuna hadithi ya Kornelia ambaye alikuwa Mrumi, alitokewa na Malaika na kuelekezwa kwenda kwa petro, bila shaka Mrumi ni tofauti na muisrael, nenda mstari wa 28 pale
Akawaambia, ninyi mnajua si halali mtu aliye myahudi ashikamane na mtu wa taifa lingine wala kumwendea , lakini Mungu amenionya nisimwite mtu awaye yote mchafu wala najisi.

Kama utakuwa na fahamu walau kidogo utagundua kanisa la kristu si kwa wayahudi pekee na kazi za Paulo zinajieleza sehemu alizoenda kueneza injili na kujenga makanisa si kwa wayahudi, na ilikuwa ni kazi ya Yesu.

Nimekupata mifano michache ikusaidie maana nimeona huna uelewa wa kutosha labda usubiri ligi za ulaya zianze ukatazame mpira I think you are the best at it siyo kumjua Mungu.

Kwa kumalizia soma Zab 25:14 Siri ya BWANA iko kwao wamchao, Naye atawajulisha agano lake.
We kawatazame real Madrid halafu ujitape kujua historia ya taifa la Mungu, kuyajua ya shetani na ya Mungu tofauti, usiku mwema
Hakika wewe ni mpumbavu unaleta Ushahidi wa kitabu hicho hicho cha story... ambacho hujui hata aliyekitunga ulevi upo wa aina nyingi... mambo ya story za Mfalme aliyesema Mungu wa Kweli ni Mungu wa Wayahudi aliyetunga ametunga ili kukuaminisha wewe mpumbavu... so usilete refer zako za kitabu hicho hicho... hicho kitabu kimezungumzia story za maisha ya wakati huo so kama wewe kweli unakifuata na kukiaminia basi fuata yote na sio kuchagua chagua tu kama wote mlivyo... mnachukua yale yanayowavutia tu... yale magumu mnayaacha kama hamyajui na mnayaita Agano la kale nini maana yake mnaitwa wapumbavu sababu mmepumbazwa...

Unaposema Kanisa la Kristu si kanisa la Wayahudi pekee na umeandika neno ''utagundua'' ndio upumbavu wenu ulipo mnachotakiwa mfuate mliyoambiwa mfuate sio kugeuza geuza na kuja na neno tumegundua kukwepa uhalisia wa maelekezo... maana kitabu chenyewe kimeaandika ole wao watakao badilisha neno.... ambao ndio nyie haswa...

Uyahudi ni Kabila au ukoo wa Judah ukifuatilia Ujahudi nini Utaambiwa ni Dini ya kale zaidi ambayo bado inasurvive soma wikipedia

The Jews (/dʒuːz/;[11] Hebrew: יְהוּדִים ISO 259-3 Yehudim, Israeli pronunciation [jehuˈdim]), also known as the Jewish people, are an ethnoreligious group[12] originating from the Israelites, or Hebrews, of the Ancient Near East.[13][14] Jewish ethnicity, nationhood and religion are strongly interrelated, as Judaism is the traditional faith of the Jewish nation,[15][16][17] while its observance varies from strict observance to complete nonobservance.

Jews originated as a national and religious group in the Middle East during the second millennium BCE,[10] in the part of the Levant known as the Land of Israel.[18] The Merneptah Stele appears to confirm the existence of a people of Israel, associated with the god El,[19] somewhere in Canaan as far back as the 13th century BCE.[20][21] The Israelites, as an outgrowth of the Canaanite population,[22] consolidated their hold with the emergence of the Kingdom of Israel, and the Kingdom of Judah. Some consider that these Canaanite sedentary Israelites melded with incoming nomadic groups known as 'Hebrews'.[23] Though few sources in the Bible mention the exilic periods in detail,[24] the experience of diaspora life, from the Ancient Egyptian rule over the Levant, to Assyrian Captivity and Exile, to Babylonian Captivity and Exile, to Seleucid Imperial rule, to the Roman occupation, and the historical relations between Israelites and the homeland, became a major feature of Jewish history, identity and memory

Unaposema Mungu anajitambulisha kwa Mataifa mengine kama Mungu wa Israel... ok wewe Mungu wako ni yupi naomba nitajie Jina lake maana ana jina... na huyo utakayemtaja niambie anataka aabudiwe vipi weka wazi acha upumbavu... na kama ukishindwa basi kamuulize mwalimi wako church iwapo humjui Mungu wako na hujui anataka umuabudu vipi upo chaka ama lah....

Hiyo Elimu ya kwenye Mithali unajui au ndio bendera fata upepo?


Umeandika Kwa kumalizia soma Zab 25:14 Siri ya BWANA iko kwao wamchao, Naye atawajulisha agano lake. Hivi agano lake ndio hilo la kula nguluwe kuwakataa wayahudi kusali jumapili tofauti na wayahudi,kujenga makanisa badala ya mahekalu na masinagogi... kuweka misalaba juu ya makanisa?

Tafuta vitu vya kujibishana na mimi sio kwa kutumia biblia hutaniweza utaumbuka hata ikiwa page to page ya bible yako tena utauchukia ukristo... Wayahudi ndio wenye Dini nyie mnajikwaza tu... Hapo mwanzo Binadamu alimuumba Mungu ili amuabudu...
 
Hakika wewe ni mpumbavu unaleta Ushahidi wa kitabu hicho hicho cha story... ambacho hujui hata aliyekitunga ulevi upo wa aina nyingi... mambo ya story za Mfalme aliyesema Mungu wa Kweli ni Mungu wa Wayahudi aliyetunga ametunga ili kukuaminisha wewe mpumbavu... so usilete refer zako za kitabu hicho hicho... hicho kitabu kimezungumzia story za maisha ya wakati huo so kama wewe kweli unakifuata na kukiaminia basi fuata yote na sio kuchagua chagua tu kama wote mlivyo... mnachukua yale yanayowavutia tu... yale magumu mnayaacha kama hamyajui na mnayaita Agano la kale nini maana yake mnaitwa wapumbavu sababu mmepumbazwa...

Unaposema Kanisa la Kristu si kanisa la Wayahudi pekee na umeandika neno ''utagundua'' ndio upumbavu wenu ulipo mnachotakiwa mfuate mliyoambiwa mfuate sio kugeuza geuza na kuja na neno tumegundua kukwepa uhalisia wa maelekezo... maana kitabu chenyewe kimeaandika ole wao watakao badilisha neno.... ambao ndio nyie haswa...

Uyahudi ni Kabila au ukoo wa Judah ukifuatilia Ujahudi nini Utaambiwa ni Dini ya kale zaidi ambayo bado inasurvive soma wikipedia

The Jews (/dʒuːz/;[11] Hebrew: יְהוּדִים ISO 259-3 Yehudim, Israeli pronunciation [jehuˈdim]), also known as the Jewish people, are an ethnoreligious group[12] originating from the Israelites, or Hebrews, of the Ancient Near East.[13][14] Jewish ethnicity, nationhood and religion are strongly interrelated, as Judaism is the traditional faith of the Jewish nation,[15][16][17] while its observance varies from strict observance to complete nonobservance.

Jews originated as a national and religious group in the Middle East during the second millennium BCE,[10] in the part of the Levant known as the Land of Israel.[18] The Merneptah Stele appears to confirm the existence of a people of Israel, associated with the god El,[19] somewhere in Canaan as far back as the 13th century BCE.[20][21] The Israelites, as an outgrowth of the Canaanite population,[22] consolidated their hold with the emergence of the Kingdom of Israel, and the Kingdom of Judah. Some consider that these Canaanite sedentary Israelites melded with incoming nomadic groups known as 'Hebrews'.[23] Though few sources in the Bible mention the exilic periods in detail,[24] the experience of diaspora life, from the Ancient Egyptian rule over the Levant, to Assyrian Captivity and Exile, to Babylonian Captivity and Exile, to Seleucid Imperial rule, to the Roman occupation, and the historical relations between Israelites and the homeland, became a major feature of Jewish history, identity and memory

Unaposema Mungu anajitambulisha kwa Mataifa mengine kama Mungu wa Israel... ok wewe Mungu wako ni yupi naomba nitajie Jina lake maana ana jina... na huyo utakayemtaja niambie anataka aabudiwe vipi weka wazi acha upumbavu... na kama ukishindwa basi kamuulize mwalimi wako church iwapo humjui Mungu wako na hujui anataka umuabudu vipi upo chaka ama lah....

Hiyo Elimu ya kwenye Mithali unajui au ndio bendera fata upepo?


Umeandika Kwa kumalizia soma Zab 25:14 Siri ya BWANA iko kwao wamchao, Naye atawajulisha agano lake. Hivi agano lake ndio hilo la kula nguluwe kuwakataa wayahudi kusali jumapili tofauti na wayahudi,kujenga makanisa badala ya mahekalu na masinagogi... kuweka misalaba juu ya makanisa?

Tafuta vitu vya kujibishana na mimi sio kwa kutumia biblia hutaniweza utaumbuka hata ikiwa page to page ya bible yako tena utauchukia ukristo... Wayahudi ndio wenye Dini nyie mnajikwaza tu... Hapo mwanzo Binadamu alimuumba Mungu ili amuabudu...
Mpumbavu ni wewe unayetaka kulazimisha kuwa dini ya uyahudi ni ukristo, kwa wajinga wenzako unaweza ukawashawishi na dalili za kukimbilia kutukana inaonyesha dhahiri upumbavu uliokujaa.

Utalazimishaje kuwa masinagogi ni makanisa? Dini ya Judaism bado iko na majority walikataa mafundisho ya Yesu, wala kanisa la kikristo si sinagogi la wayahudi. Ni upumbavu kujenga hoja kwa mihemko ukafirikiri ni uelewa, Judaism ipo na ilikuwepo na ukristo upo na asili yake ni wafuasi wa kristu . Hebu soma Aya yako ya mwisho kuwa binadamu alimuumba Mungu ili amuabudu inaakisi akili yako.

Paulo alitumwa kwa watu wa mataifa (gentiles) au gentiles ni wayahudi? , acha upuuzi prove kwa kutumia Bible kuwa ukristu ni dini ya wayahudi usipotoshe.

Mathayo 21:33-42 anzia hapo 41 wakamwambia atawaangamiza vibaya wale wabaya na shamba la mizabibu atawapangisha wakulima wengine watakaomlipa matunda kwa wakati, Yesu akawaambia hamkupata kusoma katika maandiko,
Jiwe walilolikataa waashi hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni. Neno hili limetoka kwa Bwana Nalo ni ajabu machoni petu? Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.

Nini maana ya maneno haya kama siyo kuwa Ufalme wa Mungu kutolewa kwa wayahudi ambao walimkataa Yesu? Sasa hapo hoja ya Bible kafungue tena Wikipedia maana inaelekea hata hufahamu unachobishania, tunajua waisrael walikuwa ni taifa la Mungu nipe maana ya kauli ya Yesu, Real Madrid na neno la Mungu tofauti, haya tukana halafu unijibu usipanic unaonekana Juha
 
Zab 53:1-2 ; Mpumbavu amesema moyoni Hakuna Mungu, Wametenda uovu wa ufisadi wa kuchukiza, hakuna atendaye mema. Toka mbinguni MUNGU aliwachungulia wanadamu Aone kama yyuko mwenye akili Amtafutaye Mungu.

Chanzo na asili ya uasi kwa Mungu haukuanza leo alianza kerubi kumuasi Mungu kama ilivyofunuliwa kwenye kitabu cha Ezekiel 28 :13-15"Ulikuwa ndani ya Adeni bustani ya Mungu, kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako, akiki, na yakuti manjano, na almasi, na zarabarajali, na shohamu, na yaspi, na yakuti samawi, na zumaridi, na baharamani, na dhahabu, kazi ya matari yako na filimbi zako ilikuwa ndani yako katika siku ya kuumbwa kwako zilitengenezwa tayari. Wewe ulikuwa kerubi mwenye kutiwa mafuta afunikaye, nami nilikuweka hata ukawa juu ya mlima Mtakatifu wa Mungu, umetembea huku na huko kati ya mawe ya moto. Ulikuwa mkamilifu katika njia zako tangu siku Ile ulipoumbwa hata uovu ulipoonekana ndani yako "

Uovu ulionekana kwenye Isaya 14:13-14; Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko kiti cha Mungu, Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini. Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana naye aliye juu.

Wakati wa uumbaji kunzia mwanzo 1:1 na kuendelea kwenye bustani ya Eden kerubi alikuwepo kama mti wa ujuzi wa mema na mabaya, na alimshawishi Hawa kula tunda walilokatazwa ili kuonyesha uasi kwa Mungu. Hadi leo hii kizazi cha kerubi bado kinafanya kazi ile ile ya uasi dhidi ya Mungu si ajabu kupingwa, kupotoshwa, na kuitwa mpumbavu kwa kumtafuta kumjua Mungu.

Funny enough, mpumbavu amesema hakuna Mungu, ajabu amebadilisha neno la Mungu na kuwaita wanaomtafuta Mungu Wapumbavu. Hakuna jipya yote yalishasemwa kabla
 
Huyo Mungu Jua huabudiwa kila JUMAPILI karibu ulimwengu mzima bila ya watu kujua.Na huabudiwa kwa namna tatu:
1.Kwenda nyumba za ibada
2.Kwa saa
3.Kwenda beach kwa ajili ya picnic
NB.
Kumbukeni pia Jumapili SIO SIKU YA KAZI karibu dunia nzima.Tafakari.
 
Back
Top Bottom