Sanamu la mungu Mwezi (Luna) Laokotwa chini ya Bahari

Sanamu la mungu Mwezi (Luna) Laokotwa chini ya Bahari

mmhh Mungu kavunjika vipande vipande afu kanya kutu..miaka yote hiyo kashindwa kujiokoa
 
Very imp
90550.jpg


Huyu ndie aliaminiwa ni Mungu Mwezi ndio asili ya kuwekwa Alama za Mwezi kwenye Nyumba za Ibada hadi leo hii... ufukunyuzi unaoendelea utaweka wazi kila kitu kuwa Watu wanaabudu Masanamu kwa hisia huku evidance zilitupwa Baharii kwa Kusingizia hakuna kuabudu Masanamu ila yale yaliyokuwa yakiabudiwa bado watu wanaendelea Nayo ila Sanamu zilitupwa zisahaulike ili watu waende sawa na kupotosha mamilion ya watu... Siku ikifika watu wanakuwa Free... na kuacha kuabudu vitu hivi... Wale Wa Mwezi na Jua Mjielewe mlipopotoshwa miaka na miaka...


90551.jpg


Huyu Alikuwa Maarufu kama Mungu Jua - Kwa Utawala wa Roman Sheria zake za kuliabudu bado Zipo ila Sanamu ilitupwa... Tarehe 25 ndio ilikuwa Sku yake kuu ya kusheherekewa ambyo ikageuzwa kwa Neno la Ex-Mass kuwapumbaza waaminio... ila watu wamepotezwa sana Maboya jamani Chimbukeni historia hazichange wanaojaribu kuzichange wataumbuka hadi watu wawe Free kwenye right way

90549.jpg


Wa
tch: Incredible sunken treasure trove found on Israel's seabed
Two divers happen upon cargo of a sunken merchant ship in Caesarea, revealing pristine 1,600-year-old treasures and coins.
86


By Arutz Sheva Staff
First Publish: 5/16/2016, 11:23 AM / Last Update: 5/16/2016, 12:01 PM

Two divers found an ancient treasure lurking in the harbor at Caesarea National Park, and after they informed the Israel Antiquities Authority (IAA) they returned with archaeologists to dive down and recover the ancient statues and coins from the depths.

The find, which is the largest assemblage of marine artifacts to be recovered in the last thirty years, was made by divers Ran Feinstein and Ofer Ra'anan of Ra'anana. They will be awarded a certificate of appreciation and a tour of the storerooms of the national treasures for reporting the discovery.

Feinstein and Ra'anan went diving in the ancient port of Caesarea before Passover, where they found the ancient marine cargo of a merchant ship that sank during the Late Roman period 1,600 years ago.

The two immediately contacted IAA and reported what they had found. IAA archaeologists joined them as they returned to the underwater site, where the ship's iron anchors and remains of its wooden anchors could be seen.

In recent weeks a salvage using advanced equipment helped unearth numerous precious items that were in the ancient ship's cargo.

The artifacts, which were in an extraordinary state of preservation, included a bronze lamp depicting the image of the Roman sun god Sol, a figurine of the moon goddess Luna, a lamp in the image of the head of an African slave, fragments of three life-size bronze cast statues, objects fashioned in the shape of animals such as a whale, a bronze faucet in the form of a wild boar with a swan on its head, and more.

The archaeologists also found fragments of large jars that were used for carrying drinking water for the crew in the ship and for transportation at sea.

A highly unique find was also discovered among the items - two metallic lumps composed of thousands of coins weighing around 20 kilograms (over 44 pounds). The lumps of coins were in the shape of the pottery vessels they were transported in.

The coins bear the image of emperor Constantine who ruled the Western Roman Empire (312-324 CE), and was later termed Constantine the Great, ruler of the Roman Empire (324-337 CE). Other coins feature the likeness of Licinius, an emperor who ruled the eastern part of the Roman Empire and was Constantine's rival until he fell in a battle between the two Roman rulers.

The discovery comes just a year after a treasure of gold Fatimid coins was unearthed by divers and the IAA. The coins are currently on display to the public at the "Time Travel" presentations in Caesarea harbor.

Evidence of an ancient ship crash

Jacob Sharvit, director of IAA's Marine Archaeology Unit, and Dror Planer, the unit's deputy director, spoke about the significance of the find.

"These are extremely exciting finds, which apart from their extraordinary beauty, are of historical significance. The location and distribution of the ancient finds on the seabed indicate that a large merchant ship was carrying a cargo of metal slated recycling, which apparently encountered a storm at the entrance to the harbor and drifted until it smashed into the seawall and the rocks," said the two.

They noted that a study of the iron anchors indicates the sailors tried to stop the ship from crashing by casting anchors into the sea, but the anchors broke, providing "evidence of the power of the waves and the wind which the ship was caught up in."

Sharvit and Planer emphasized that "a marine assemblage such as this has not been found in Israel in the past thirty years. Metal statues are rare archaeological finds because they were always melted down and recycled in antiquity. When we find bronze artifacts it usually occurs at sea. Because these statues were wrecked together with the ship, they sank in the water and were thus ‘saved’ from the recycling process."

"In the many marine excavations that have been carried out in Caesarea only very small number of bronze statues have been found, whereas in the current cargo a wealth of spectacular statues were found that were in the city and were removed from it by way of sea. The sand protected the statues; consequently they are in an amazing state of preservation – as though they were cast yesterday rather than 1,600 years ago."

Caesarea continues to surprise

The archaeologists note that the find comes as part of an uptick in discoveries at Caesarea's ancient harbor in recent years.

"These finds are the result of two major factors: a lack of sand on the seabed causing the exposure of ancient artifacts, and an increase in the number of divers at the site. In this particular instance, the divers demonstrated good citizenship and are deserving of praise. They will be awarded a certificate of appreciation and invited to tour the storerooms of the National Treasures."

"By reporting the discovery of the marine assemblage to the Israel Antiquities Authority they have made it possible for all of us to enjoy these spectacular remains from antiquity. The public should be aware that it must report any artifacts it finds immediately to the Marine Archaeology Unit of the Israel Antiquities Authority in order to maximize our archaeological knowledge about the site," they concluded.

The find was made possible largely due to the maintenance and development of the Caesarea National Park and the harbor, which the Rothschild Caesarea Foundation is funding to the tune of tens of millions of shekels.

IAA continues working with the Rothschild Caesarea Foundation on major projects around the harbor.

Caesarea Development Corporation director-general Michael Kersenti noted that the new discoveries highlight the historical importance of the ancient port city which continues to surprise with new finds.

"The goal is to present as many of these cultural treasures as possible, which will be discovered in the future, to the numerous visitors who come to Caesarea each year," he said.

90557.jpg

Ran Feinstein (right) and Ofer Ra‘anan The Old Caesarea Diving Center
90556.jpg

90555.jpg

90554.jpg

90553.jpg

90552.jpg

90551.jpg

90550.jpg

Impressive
 
Mkristo hawazi kuupata ukweli kwenye Quran, na Muislam hawazi kuupata ukweli kwenye Bibilia. Ila kama mnadhani mmeumbwa na Miuungu tofauti jibu maswali haya: Kwanini tunaitwa Binadam wakati tumeumbwa na Miuungu tofauti, kwanini tunafanana kwa kila mahitajio. Kama kizazi fulani kimepotea, kwanini Mungu mwenyewe asijitokeze akaonyesha imani ya kweli, maana hao kila kiongozi wa imani anasema yeye ndiye yuko sahihi. Kama Mungu anauwezo wa kuokoa, kwanini asiwaokoe wanaopotea, Mungu ameumba ulimwengu mmoja je unadhani alishindwa kuwapa watu imani moja, niishia hapa kwanza.
mungu tangu mwanzo alileta imani moja tu ila watu tofauti tofati ambao tunaita mitume lakini la muhimu ni kujua kitu cha msingi mungu anataka nini kwa mwanadam kisha usome biblia na qur.an utagundua hakuna utofauti ktk imani hizo ila kuna watu wasiamini kama ww ambao wanaingia ktk imani hizo kwa kusoma na kisha kupotosha watu hebu fikilia nembo ya mwez kuwa msikitini inasaidia nini
 
Hiyo ya Kupunguza watu umejitungia wewe mwenyewe tu kwa akili yako mbovu.... Kumbuka vitabu vyenu vya Dini vimeandika kuwa Mungu alimuambia Nuhu ajenge Safina kwani ataleta Gharika watu na viumbe vingi vife na kupungua... sasa ushahidi huo na wewe unao upi? Maana kama vita mudi kaua watu wengi sana

Mwanzo.nilihisi kidogo akili yako itakuwa inajua vtu vingi kumbe ni upumbavu ulikithiri
 
hapana kiongozi wangu. Unajua Watu wengi hawajijui na wanadhani wapo salama katika dini Au Madheebu yao bila kuyapima katika neno la Mungu.

Je! Yanaendana na neno la Mungu?

Hapa naomba nieleweke vizuri, isije ikasomeka kwamba na mm ni mwamini wa dheebu fulani na Ndiyo ninalo lipigia Chapuo, lahasha Maana mm sina dini wala Dheebu ila Yesu ni Mwokozi wangu.

Naomba nifafanue, kutokuwa na dini wala Dheebu.

Yesu Kristo Bwana wangu, Hana Dini, wala Dhehebu. Ndiyo maana hakusema yeye ni Bwana wa wakristotu.

Ila alisema yeye ni Mwokozi wa ulimwengu. Yaani ni Mwokozi wa wanadamu wote Bila kumbagua Mtu. Ikiwa Atamwamini Yeye na siyo Dini, wala Dhehebu.

Siku hizi watu wanaabudu dini na Madhehebu, huku wakimwacha Yesu na kushika Mapokeo yasiyo na uzima ndani yake.

Ndiyo maana unaona Masanamu hayo yakitawala na watu wakiyaabudu bila kujua wanamkosea Mungu.

Nadhani nimekujibu vizuri na kwa ufasaa mkubwa kiongozi wangu.
Ameen,umejibu vizuri sn.
 
Mwanzo.nilihisi kidogo akili yako itakuwa inajua vtu vingi kumbe ni upumbavu ulikithiri
Hoja yako ya kutusi haina akili... maana hujapinga yaani umetusi tu... Ghalika si ilipunguza watu ? au hujui.. Mudi aliua watu na kuwafanya watumwa wa kazi na ngono ipo wazi na kundi la isis linamuanika wazi huko middle east ni picha halisi... watu kibao walikufa kwa kulazimishwa wawe waislam au watoe kodi kubwa waendelee na dini zao ndio kina Yazid hadi leo waligoma kuwa Waislam ndio wanauliwa sasa hivi na isis... wewe hujui kitu and then unaleta Matusi bila Sababu hoja hujibiwa kwa hoja... uliza kitu nikueleweshe siri za dini zenu
 
Hv kwann wanasayansi na science imeshindwa/waeshindwa kuiongeza ukubwa wa dunia baadala yake wamekuja na mbinu ya kupunguza watu dunia kwa kuhofia bila kufanya hvyo kuna kipindi dunia itajaa




Nani amekwambia dunia itajaa? Hizo hadithi za kusafikika
 
Nani amekwambia dunia itajaa? Hizo hadithi za kusafikika

Tatizo lako hausomi nenda kasome anza na vitabu hv

killing us soft, depopulation of planet, peace without poisoning, ukimaliza hzo ni pm nikutumie baadhi ya article zinazohusu global depopulation policy
 
Hoja yako ya kutusi haina akili... maana hujapinga yaani umetusi tu... Ghalika si ilipunguza watu ? au hujui.. Mudi aliua watu na kuwafanya watumwa wa kazi na ngono ipo wazi na kundi la isis linamuanika wazi huko middle east ni picha halisi... watu kibao walikufa kwa kulazimishwa wawe waislam au watoe kodi kubwa waendelee na dini zao ndio kina Yazid hadi leo waligoma kuwa Waislam ndio wanauliwa sasa hivi na isis... wewe hujui kitu and then unaleta Matusi bila Sababu hoja hujibiwa kwa hoja... uliza kitu nikueleweshe siri za dini zenu

Ona sasa ulivyo na maarifa madogo. WAP nimekutukana? Upumbavu sio tusi

Nenda kasome ufahamu wako wa mambo bado ni mdogo ww.

Unazungumzia mambo usiyo yajua huyu uislam wenye unaouzingumizia unakataza kumlazimisha mtu aingie kunywe uislam. Qur'an inasema wazi hakuna kulazimishana ktk dini.

Unaonekana ni mtu uliyekaririshwa vtu na media propaganda nenda kasome mkuu

Anza na vitabu hvi
Secret of terrorism, America's war on terrorism
 
Ona sasa ulivyo na maarifa madogo. WAP nimekutukana? Upumbavu sio tusi

Nenda kasome ufahamu wako wa mambo bado ni mdogo ww.

Unazungumzia mambo usiyo yajua huyu uislam wenye unaouzingumizia unakataza kumlazimisha mtu aingie kunywe uislam. Qur'an inasema wazi hakuna kulazimishana ktk dini.

Unaonekana ni mtu uliyekaririshwa vtu na media propaganda nenda kasome mkuu

Anza na vitabu hvi
Secret of terrorism, America's war on terrorism
Uislam mtu mwerevu hawezi ingia la sivyo ajitoe ufahamu kwanza hiyo koran ikitafsiriwa and then uisome koran kwa lugha yako ukimaliza utasema mwenyewe siwezi kaa dini hii kuswali pamoja na majini na mashetani... koran imeandika wote wanaoisoma wao kwao ni Hell
 
Uislam mtu mwerevu hawezi ingia la sivyo ajitoe ufahamu kwanza hiyo koran ikitafsiriwa and then uisome koran kwa lugha yako ukimaliza utasema mwenyewe siwezi kaa dini hii kuswali pamoja na majini na mashetani... koran imeandika wote wanaoisoma wao kwao ni Hell
Jinsi unavyozid kureply ndo unaonyesha jinsi gani huna elimu wala ufahamu Wa mambo nenda kasome alafu ukitaka uwe huru ktk kusoma kwa kujifunza usijiwekee mtazamo Fulani Wa kitu unachotaka kukisoma. Ww soma alafu acha ukweli ukuongoze. Soma Mkuu usipende kuzungumizia vitu ukiwa huna elimu navyo

Tatizo watu mmekuwa mkilishwa ujinga kwa kuaminishwa ni ukweli. Ukwel utaupata kwa kusoma sio kushadadia tu vitu unavyovisikia

Mm siko hapa hapa kukutaka uwe muislam ila nataka usome ili elimu na ukweli ukuongoze, maana hata huo uislam wenyewe huufaham sijui hizo dini nyingne. Mimi ckuzaliwa ktk uislam ila natumia ukwel kuniongoza
 
Mtu yeyote asiwahukumu kwa habari ya vyakula, mwandamo wa mwezi, sabato..maana mambo hayo ni kivuli cha yale yajayo...Mtume Paulo.
Mwambie asome Wakorosai 2:16-22 hapa maswali yake yote yanamajibu lakin wale waabudi siku hawachelewi semi si maneno ya mungu
 
Leo na nyinyi mshaelewa maana ya Kusoma habari nzima... Maajabu... Mnachagua vya kusoma nusu na mnaacha vya kusoma kidogo... Biblia ni Story ambazo zimeendana na wakati uliokuwa pindi hicho... na story zilikuwa zinawahusu wahusika wa wakati huo huo na miaka kadhaa ya zama hizo so Nyie kazi yenu kuchukua baadhi mnavyoona vinawafeva pekee na vingine mnaviacha na kuvisahau....

Nimeona Mmechukua Kusali Jumapili tofauti kabisa na Mungu wa Waisrael na Utawala wa Roman Mungu kabadilishiwa Kuabudiwa siku kinguvu hapo hapo ukitizama Maandiko yanasema Yesu hakuja Kutengua Torati na hajawahi elekeza watu wabadilishe Siku ya Mungu wao kuabudiwa so it means Wakristo wana Mungu wao tofauti na Waisrael...
Ulaji wa Nguluwe kuna story jamaa alioteshwa Ndotoni akiwa na njaa akaletewa Wanyama achinje ale alipoletewa Nguluwe akasema ni Mnyama aliyekatazwa kuliwa sababu ana kwato ambazo hazijachanika japo anacheua kama Torati ya Musa ilivyokataza na Maneno ya Musa ndio yanayoaminiwa zaidi hadi Yesu aliyeishi Duniani alikili na kuyafuata haswa... So Ndotoni Jamaa ati aliambiwa Kiingiacho Mwilini si Najisi bali kimtokacho kwa Maneno hayo ya Ndotoni Nguluwe aliliwa kama si Najisi bali mtu akienda Kunya kile anachokunya ndio Najisi watu wakahalalisha Nguluwe kwa Maneno ya Ndotoni this is Stupid... Sababu ya kutoliwa hao wanyama zilianza tokea zama za Nuhu hata kwenye Safina walijulikana ni wanyama wasio wasafi...

Kuna Vitu vingi kama kutoa kafala n.k vimeachwa japo viliwahusu watu wa zama zao n.k Dini zimeingiza watu chaka kwa kuwafanya watumwa wa Akili... viongozi wao wakosee wapatie waumini huitikia tu Amen..

Kama unaamini Biblia basi na Ufunuo wa Yohana lazima uuamini maana ndie yasemekana alipelekwa kisiwa cha Patimo na kuoneshwa Mwisho wa Dunia utakavyokuwa so Hadi Idadi ya watu watakatifu watakao ingia Mbinguni najua imekuuma sababu wafahamu kuwa sio kwenu au unaposali total hakuna Watakatifu na wewe wajielewa sio kabisa Mtakatifu so kuingia hutoweza....
Hapo zamani za kale hapakuwepo na hizi siku, miezi kama ilivyo leo, au unahesabu J 2 kutoka wapi?
 
Hapo zamani za kale hapakuwepo na hizi siku, miezi kama ilivyo leo, au unahesabu J 2 kutoka wapi?
Wewe ndio unayesema zamani hapakuwepo.... tech ya zamani ilikuwa ni noma kuliko unavyofikilia wewe... pyramid hadi leo hii binadamu wa sasa hawaelewi zilijengwaje na tofali zake zilibebebwa na kitu gani maana winchi za sasa hivi heavy duty haziwezi beba tofari la pyramid... Vitabu vyanu vya dini vinawaambia kabisa siku ya kwanza hadi ya saba huelewi hapo? akili yako iakutuma kuwa watu wa kale walikuwa ni wapumbavu sana pole... ndio mtu kama wewe unaamini kuwa aliyevumbua Ngazi alikuwa ni mfupi...

Hizi vitu vya kisasa unavyoviona vyanzo vyake ni kwa watu wa kale walikuwa na kila kitu kizazi chetu kimeboresha tu na hata kugundua basi kwa akili za wa kale... Miaka ilihesabiwa tofauti na sasa ni majina tu yamepewa... na neno Jumapili ni kiswahili tu... but maana yake asili ni siku ya kwanza ya Juma... zinaenda hadi zinafika saba zinaanza tena hadi mwaka unaisha... Miezi historia ya majina yake yalikuwa ni ya watawala haswa wafalme kina Augustus, Julian n.k
 
Hakika wewe ni mpumbavu unaleta Ushahidi wa kitabu hicho hicho cha story... ambacho hujui hata aliyekitunga ulevi upo wa aina nyingi... mambo ya story za Mfalme aliyesema Mungu wa Kweli ni Mungu wa Wayahudi aliyetunga ametunga ili kukuaminisha wewe mpumbavu... so usilete refer zako za kitabu hicho hicho... hicho kitabu kimezungumzia story za maisha ya wakati huo so kama wewe kweli unakifuata na kukiaminia basi fuata yote na sio kuchagua chagua tu kama wote mlivyo... mnachukua yale yanayowavutia tu... yale magumu mnayaacha kama hamyajui na mnayaita Agano la kale nini maana yake mnaitwa wapumbavu sababu mmepumbazwa...

Unaposema Kanisa la Kristu si kanisa la Wayahudi pekee na umeandika neno ''utagundua'' ndio upumbavu wenu ulipo mnachotakiwa mfuate mliyoambiwa mfuate sio kugeuza geuza na kuja na neno tumegundua kukwepa uhalisia wa maelekezo... maana kitabu chenyewe kimeaandika ole wao watakao badilisha neno.... ambao ndio nyie haswa...

Uyahudi ni Kabila au ukoo wa Judah ukifuatilia Ujahudi nini Utaambiwa ni Dini ya kale zaidi ambayo bado inasurvive soma wikipedia

The Jews (/dʒuːz/;[11] Hebrew: יְהוּדִים ISO 259-3 Yehudim, Israeli pronunciation [jehuˈdim]), also known as the Jewish people, are an ethnoreligious group[12] originating from the Israelites, or Hebrews, of the Ancient Near East.[13][14] Jewish ethnicity, nationhood and religion are strongly interrelated, as Judaism is the traditional faith of the Jewish nation,[15][16][17] while its observance varies from strict observance to complete nonobservance.

Jews originated as a national and religious group in the Middle East during the second millennium BCE,[10] in the part of the Levant known as the Land of Israel.[18] The Merneptah Stele appears to confirm the existence of a people of Israel, associated with the god El,[19] somewhere in Canaan as far back as the 13th century BCE.[20][21] The Israelites, as an outgrowth of the Canaanite population,[22] consolidated their hold with the emergence of the Kingdom of Israel, and the Kingdom of Judah. Some consider that these Canaanite sedentary Israelites melded with incoming nomadic groups known as 'Hebrews'.[23] Though few sources in the Bible mention the exilic periods in detail,[24] the experience of diaspora life, from the Ancient Egyptian rule over the Levant, to Assyrian Captivity and Exile, to Babylonian Captivity and Exile, to Seleucid Imperial rule, to the Roman occupation, and the historical relations between Israelites and the homeland, became a major feature of Jewish history, identity and memory

Unaposema Mungu anajitambulisha kwa Mataifa mengine kama Mungu wa Israel... ok wewe Mungu wako ni yupi naomba nitajie Jina lake maana ana jina... na huyo utakayemtaja niambie anataka aabudiwe vipi weka wazi acha upumbavu... na kama ukishindwa basi kamuulize mwalimi wako church iwapo humjui Mungu wako na hujui anataka umuabudu vipi upo chaka ama lah....

Hiyo Elimu ya kwenye Mithali unajui au ndio bendera fata upepo?


Umeandika Kwa kumalizia soma Zab 25:14 Siri ya BWANA iko kwao wamchao, Naye atawajulisha agano lake. Hivi agano lake ndio hilo la kula nguluwe kuwakataa wayahudi kusali jumapili tofauti na wayahudi,kujenga makanisa badala ya mahekalu na masinagogi... kuweka misalaba juu ya makanisa?

Tafuta vitu vya kujibishana na mimi sio kwa kutumia biblia hutaniweza utaumbuka hata ikiwa page to page ya bible yako tena utauchukia ukristo... Wayahudi ndio wenye Dini nyie mnajikwaza tu... Hapo mwanzo Binadamu alimuumba Mungu ili amuabudu...
Hhhhhhhhh mbona matusi yamekujaa sana kama hicho unachokiamini kiko sahh?!
 
Wewe ndio unayesema zamani hapakuwepo.... tech ya zamani ilikuwa ni noma kuliko unavyofikilia wewe... pyramid hadi leo hii binadamu wa sasa hawaelewi zilijengwaje na tofali zake zilibebwa na kitu gani maana winchi za sasa hivi heavy duty haziwezi beba tofari la pyramid... Vitabu vyanu vya dini vinawaambia kabisa siku ya kwanza hadi ya saba huelewi hapo? akili yako iakutuma kuwa watu wa kale walikuwa ni wapumbavu sana pole... ndio mtu kama wewe unaamini kuwa aliyevumbua Ngazi alikuwa ni mfupi...

Hizi vitu vya kisasa unavyoviona vyanzo vyake ni kwa watu wa kale walikuwa na kila kitu kizazi chetu kimeboresha tu na hata kugundua basi kwa akili za wa kale... Miaka ilihesabiwa tofauti na sasa ni majina tu yamepewa... na neno Jumapili ni kiswahili tu... but maana yake asili ni siku ya kwanza ya Juma... zinaenda hadi zinafika saba zinaanza tena hadi mwaka unaisha... Miezi historia ya majina yake yalikuwa ni ya watawala haswa wafalme kina Augustus, Julian n.k
Miezi ya kiungu kutokana na neno la Mungu kwenye kitabu chake :
Mwezi wa kwanza, ABIBU/NISANI :Kut 12:2, Kut:23:15
Mwezi wa pili, ZIVU, Mwa 8:14, 1 FL 6:1
Mwezi wa tatu, SIWANI, Kut:19:1,Esta 8:9
Mwezi wa nne, TAMMUZI, 2Fal 25:3-7
Mwezi wa tano, ABU, Hes 33:38,
Mwezi wa sita, ELULI, 4 NYAK27:9,Neh 6:15
Mwezi wa saba, ETHANIM, Mwa 8:4, 1 Fal 8:2
Mwezi wa nane, BULI, Zek 1:1,1Fal 6:38
Mwezi wa tisa, KISLEU, Ezra 10:9,Neh 1:1
Mwezi wa kumi, TEBETH, Esta 2:16,Mwa 8 :5
Mwezi wa kumi na moja, SHEBATI Zek 1:7,Kumb 1:3
Mwezi wa kumi na mbili, ADARI, Ezra 6:15,Esta 3:7.

Hiyo ndiyo miezi according to Bible, hiyo ya January hadi December si miezi ya kiungu, ililetwa na Pope Gregory mwaka 1583.

Sun day siku ya Mungu jua Mungu wa waefeso, soma Yeremia 52 :31 Hata ikawa katika mwaka wa thelathini na saba wa kuhamishwa kwake Yehoyakini mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na tano ya mwezi, EVIL merodaki mfalme wa Babeli katika mwaka wa kwanza wa kumiliki kwake, akamwinua kichwa chake Yehoyakini mfalme wa Yuda akamtoa gerezani.

Chanzo cha sikukuu ya Xmas ni sikukuu ya kipagani ambayo hao waroma waliingiza katika ukristo ishangiliwe sawasawa na Mungu. Lakini Mungu amesema katika Isa 42:8 Mimi ni BWANA ndilo jina langu, na utukufu wangu sitampa mwingine wala sanamu sitawapa sifa zangu. So si kila lililofanywa na watu wa zamani lilikuwa zuri, walitumiwa na shetani kama ambavyo kuna watu wanaokashifu na kuponda neno la Mungu leo hii hata hapa mtandaoni, nadhani unawajua
 
Back
Top Bottom