Sanamu la mungu Mwezi (Luna) Laokotwa chini ya Bahari

mmhh Mungu kavunjika vipande vipande afu kanya kutu..miaka yote hiyo kashindwa kujiokoa
 
Very imp
Impressive
 
mungu tangu mwanzo alileta imani moja tu ila watu tofauti tofati ambao tunaita mitume lakini la muhimu ni kujua kitu cha msingi mungu anataka nini kwa mwanadam kisha usome biblia na qur.an utagundua hakuna utofauti ktk imani hizo ila kuna watu wasiamini kama ww ambao wanaingia ktk imani hizo kwa kusoma na kisha kupotosha watu hebu fikilia nembo ya mwez kuwa msikitini inasaidia nini
 

Mwanzo.nilihisi kidogo akili yako itakuwa inajua vtu vingi kumbe ni upumbavu ulikithiri
 
Ameen,umejibu vizuri sn.
 
Mwanzo.nilihisi kidogo akili yako itakuwa inajua vtu vingi kumbe ni upumbavu ulikithiri
Hoja yako ya kutusi haina akili... maana hujapinga yaani umetusi tu... Ghalika si ilipunguza watu ? au hujui.. Mudi aliua watu na kuwafanya watumwa wa kazi na ngono ipo wazi na kundi la isis linamuanika wazi huko middle east ni picha halisi... watu kibao walikufa kwa kulazimishwa wawe waislam au watoe kodi kubwa waendelee na dini zao ndio kina Yazid hadi leo waligoma kuwa Waislam ndio wanauliwa sasa hivi na isis... wewe hujui kitu and then unaleta Matusi bila Sababu hoja hujibiwa kwa hoja... uliza kitu nikueleweshe siri za dini zenu
 
Hv kwann wanasayansi na science imeshindwa/waeshindwa kuiongeza ukubwa wa dunia baadala yake wamekuja na mbinu ya kupunguza watu dunia kwa kuhofia bila kufanya hvyo kuna kipindi dunia itajaa




Nani amekwambia dunia itajaa? Hizo hadithi za kusafikika
 
Nani amekwambia dunia itajaa? Hizo hadithi za kusafikika

Tatizo lako hausomi nenda kasome anza na vitabu hv

killing us soft, depopulation of planet, peace without poisoning, ukimaliza hzo ni pm nikutumie baadhi ya article zinazohusu global depopulation policy
 

Ona sasa ulivyo na maarifa madogo. WAP nimekutukana? Upumbavu sio tusi

Nenda kasome ufahamu wako wa mambo bado ni mdogo ww.

Unazungumzia mambo usiyo yajua huyu uislam wenye unaouzingumizia unakataza kumlazimisha mtu aingie kunywe uislam. Qur'an inasema wazi hakuna kulazimishana ktk dini.

Unaonekana ni mtu uliyekaririshwa vtu na media propaganda nenda kasome mkuu

Anza na vitabu hvi
Secret of terrorism, America's war on terrorism
 
Uislam mtu mwerevu hawezi ingia la sivyo ajitoe ufahamu kwanza hiyo koran ikitafsiriwa and then uisome koran kwa lugha yako ukimaliza utasema mwenyewe siwezi kaa dini hii kuswali pamoja na majini na mashetani... koran imeandika wote wanaoisoma wao kwao ni Hell
 
Jinsi unavyozid kureply ndo unaonyesha jinsi gani huna elimu wala ufahamu Wa mambo nenda kasome alafu ukitaka uwe huru ktk kusoma kwa kujifunza usijiwekee mtazamo Fulani Wa kitu unachotaka kukisoma. Ww soma alafu acha ukweli ukuongoze. Soma Mkuu usipende kuzungumizia vitu ukiwa huna elimu navyo

Tatizo watu mmekuwa mkilishwa ujinga kwa kuaminishwa ni ukweli. Ukwel utaupata kwa kusoma sio kushadadia tu vitu unavyovisikia

Mm siko hapa hapa kukutaka uwe muislam ila nataka usome ili elimu na ukweli ukuongoze, maana hata huo uislam wenyewe huufaham sijui hizo dini nyingne. Mimi ckuzaliwa ktk uislam ila natumia ukwel kuniongoza
 
Mtu yeyote asiwahukumu kwa habari ya vyakula, mwandamo wa mwezi, sabato..maana mambo hayo ni kivuli cha yale yajayo...Mtume Paulo.
Mwambie asome Wakorosai 2:16-22 hapa maswali yake yote yanamajibu lakin wale waabudi siku hawachelewi semi si maneno ya mungu
 
Hapo zamani za kale hapakuwepo na hizi siku, miezi kama ilivyo leo, au unahesabu J 2 kutoka wapi?
 
Hapo zamani za kale hapakuwepo na hizi siku, miezi kama ilivyo leo, au unahesabu J 2 kutoka wapi?
Wewe ndio unayesema zamani hapakuwepo.... tech ya zamani ilikuwa ni noma kuliko unavyofikilia wewe... pyramid hadi leo hii binadamu wa sasa hawaelewi zilijengwaje na tofali zake zilibebebwa na kitu gani maana winchi za sasa hivi heavy duty haziwezi beba tofari la pyramid... Vitabu vyanu vya dini vinawaambia kabisa siku ya kwanza hadi ya saba huelewi hapo? akili yako iakutuma kuwa watu wa kale walikuwa ni wapumbavu sana pole... ndio mtu kama wewe unaamini kuwa aliyevumbua Ngazi alikuwa ni mfupi...

Hizi vitu vya kisasa unavyoviona vyanzo vyake ni kwa watu wa kale walikuwa na kila kitu kizazi chetu kimeboresha tu na hata kugundua basi kwa akili za wa kale... Miaka ilihesabiwa tofauti na sasa ni majina tu yamepewa... na neno Jumapili ni kiswahili tu... but maana yake asili ni siku ya kwanza ya Juma... zinaenda hadi zinafika saba zinaanza tena hadi mwaka unaisha... Miezi historia ya majina yake yalikuwa ni ya watawala haswa wafalme kina Augustus, Julian n.k
 
Hhhhhhhhh mbona matusi yamekujaa sana kama hicho unachokiamini kiko sahh?!
 
Miezi ya kiungu kutokana na neno la Mungu kwenye kitabu chake :
Mwezi wa kwanza, ABIBU/NISANI :Kut 12:2, Kut:23:15
Mwezi wa pili, ZIVU, Mwa 8:14, 1 FL 6:1
Mwezi wa tatu, SIWANI, Kut:19:1,Esta 8:9
Mwezi wa nne, TAMMUZI, 2Fal 25:3-7
Mwezi wa tano, ABU, Hes 33:38,
Mwezi wa sita, ELULI, 4 NYAK27:9,Neh 6:15
Mwezi wa saba, ETHANIM, Mwa 8:4, 1 Fal 8:2
Mwezi wa nane, BULI, Zek 1:1,1Fal 6:38
Mwezi wa tisa, KISLEU, Ezra 10:9,Neh 1:1
Mwezi wa kumi, TEBETH, Esta 2:16,Mwa 8 :5
Mwezi wa kumi na moja, SHEBATI Zek 1:7,Kumb 1:3
Mwezi wa kumi na mbili, ADARI, Ezra 6:15,Esta 3:7.

Hiyo ndiyo miezi according to Bible, hiyo ya January hadi December si miezi ya kiungu, ililetwa na Pope Gregory mwaka 1583.

Sun day siku ya Mungu jua Mungu wa waefeso, soma Yeremia 52 :31 Hata ikawa katika mwaka wa thelathini na saba wa kuhamishwa kwake Yehoyakini mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na tano ya mwezi, EVIL merodaki mfalme wa Babeli katika mwaka wa kwanza wa kumiliki kwake, akamwinua kichwa chake Yehoyakini mfalme wa Yuda akamtoa gerezani.

Chanzo cha sikukuu ya Xmas ni sikukuu ya kipagani ambayo hao waroma waliingiza katika ukristo ishangiliwe sawasawa na Mungu. Lakini Mungu amesema katika Isa 42:8 Mimi ni BWANA ndilo jina langu, na utukufu wangu sitampa mwingine wala sanamu sitawapa sifa zangu. So si kila lililofanywa na watu wa zamani lilikuwa zuri, walitumiwa na shetani kama ambavyo kuna watu wanaokashifu na kuponda neno la Mungu leo hii hata hapa mtandaoni, nadhani unawajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…