BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Duuh huzunii... wamemtoa jamaa pale!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasema walipotoa sanamuHiyo mitaa ndo maeneo yangu ya kufanya harakati kila ijumaa sa itakuwaje maana ilikuwa ukikamata boda unamwambia sanamu la askari basi ni chap na haraka
Hilo neno wamemtoa ukisoma haraka😂Duuh huzunii... wamemtoa jamaa pale!
Boda watajifanya mbali ili wakuzungushe tuUtasema walipotoa sanamu
Wajd chapu😂
Unataka kusema wanemto…baHilo neno wamemtoa ukisoma haraka😂
Tangu upate mapacha unaringa na mkeo mimi hunitaki teina....
Hizi akili fupi zinatakiwa kuliwa kabisaLilikuwa na faida gani mfukoni kwako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yote yanawezekana, kwa samia yote yanawezekana , kama wamasai wanafurushwa, sembuse masananu ya cement
wamasai kwani ni kina nani wacha wafurushwe tu wala hakuna mwenye mapenzi nao na mashuka yao mmejawa na unafiki tu!yote yanawezekana, kwa samia yote yanawezekana , kama wamasai wanafurushwa, sembuse masananu ya cement
Usijari bbyTangu upate mapacha unaringa na mkeo mimi hunitaki teina....
Na mimi nataka mapacha mme wangu 😢
Acha hasira zakike, sema imekusaidia nini wewe na ukoo wako.Hizi akili fupi zinatakiwa kuliwa kabisa
Umesema ukweli kabisa mwamba!!yote yanawezekana, kwa samia yote yanawezekana , kama wamasai wanafurushwa, sembuse masananu ya cement
Asante mme wnagu nakupwenyulia, mbona inbox yako imefungwa sasa?Usijari bby
Nipwenyulie tu
Niichape hadi ichoke
Usininyime futa sasa🤭
Akili za kuliwa hiziAcha hasira zakike, sema imekusaidia nini wewe na ukoo wako.
Niliona hii thread tangu jana,sikuamini kama kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuruhusu Askari Monument ibomolewe. HUkienda nchi nyingi za ulaya wanaingiza mabilioni ya fedha kwa utalii wa watu kutembelea majumba na sanamu za kale.
Sie kila leo tunavunja na kuweka vipya. Hata kupanga miji kumetushinda. Inawezekana IQ ya mtu mweusi iko chini ukilinganisha na wengine duniani.
Ina maana sana kama ikibaki pale kuliko kutolewa.Kama unafahamu maana halisi ya historia.Historia ya lile sanamu si nzito kiasi hicho tuwaze kuirudisha,
Ikakae mule ndani makumbusho. Of which si necessary as well,
Hata pale askari hatukua tuna muhusudu sana zaidi ya ile round about,
Okay nadhani ikirudi itawekwa tu hata pembeni au juu ya kituo