Tetesi: Sanamu ya Mnara wa Askari (Askari Monument) yaondolewa kupisha ujenzi wa Barabara

Tetesi: Sanamu ya Mnara wa Askari (Askari Monument) yaondolewa kupisha ujenzi wa Barabara

Kuna sababu gani ya kuondoa au kupunguza mzunguko wa sanamu ya askali wa kikoloni wakati inaweza kujengwa barabara ya juu au barabara ya BRT ikajengwa kama handaki?
 
Kwa nchi hii ilivyo hilo linawezekana,na likatolewa na likapotezewa huko
Hii nchi mnaijua au mnaisikia

Ova
 
wameweza kuvunja majengo ya salamander na mengineyo wataacha kumtoa Bismini? anyway kwakuwa watu wamepaza sauti hataondolewa ila bila kusema ingekula kwenu, alama kuu ya daslaaam ingekuwa imeondoka, wanawaza kujenga tu mibarabara kibaaaaao lakini Mabasi hakuna.
 
Ina maana sana kama ikibaki pale kuliko kutolewa.Kama unafahamu maana halisi ya historia.
Soma nilichoandika. Unajua maeneo mangapi yameshakuwa na sanamu na kutolewa? Basi fatilia historia. Na mm nimepima kurefer yaliyotolewa plus uhalisia wa askari monument pale posta. Maana nimesoma forodhani, and i have been in and out na kuliona lile sanamu miaka mingi tu.
 
Back
Top Bottom