Sanamu ya msanii DIAMOND na ZUCHU pale Posta Kama wasanii Namba moja wakiume na wakike hapa Tanzania

Sanamu ya msanii DIAMOND na ZUCHU pale Posta Kama wasanii Namba moja wakiume na wakike hapa Tanzania

Habrini wanajamvi:

Nimesikitiahwa sana na mtu mmoja ambae ametoa ya moyoni kwa kupinga kuwa ZUCHU sio msanii namba moya wa kike hapa nchini[emoji23][emoji23][emoji23].

Inabidi watanzania tuache kukaza fuvu kwa kujifariji na wakati namba hazifanganyi na kipaji akijifichi, na kwa Hali hii ZUCHU Hana mpinzani kwa Tanzania na kwa Afrika kwa ujumla.

Yaani anaemzidi kwa Afrika ni SIMI tu afu ZUCHU namba mbili, ko kusema sijui utopolo NANDY, MAUA SMA WALA NANDY nikutwanga mahi kwenye kinu au kusubiria embe chini ya mnazi au kusubiria feri nchi kavu au kuchemsha mawe ili yakwive.

Maana hauwezi mlinganisha ZUCHU maybe ni composer, songwriter, dancer, band, performer and singer na wasanii ambao ni singer na performer tu.

Yaani ogopa sana msanii/mwanamziki ambe anaumiza kichwa chini na kutunga mwenyewe afu na anae andikiwa.

HITOMISHO:::

ZUCHU (mwaka mmoja).
1.subscribers 800k+
2.total views 100m+
3.Boomplay 17m+ streams
4.Audiomack 18m+ total play
5.bonus sukari audio 6 hour 500k+

NANDY (miaka minne).
1.subscribers 600k+
2.total views 90m+
3.Boomplay streams 7m+
4.Audiomack 8m+ total play
5.Leo Leo Tena collaboration na koffie 6 hour 100k+

ZUCHU afananishi na yoyote kwa AFRICA isipokuwa SIMI.


SIJAMZUNGUMZIA DIAMOND PLATINUM KWASABABU NDIO MFALME HALISI AKIFUATIWA NA RAYVANNY AMBAYE NI PRINCE WAKE.


SANAMU ZUCHU NA DIAMOND ZINAWAHUSU POSTA.
Watoto mlio zaliwa ulimwengu wa sukari mnatabu nyie mnasupport mambo ya ovyo kabisa.
Sasa Zuchu unataka kumlinganisha na commandor jide.
 
Habrini wanajamvi:

Nimesikitiahwa sana na mtu mmoja ambae ametoa ya moyoni kwa kupinga kuwa ZUCHU sio msanii namba moya wa kike hapa nchini[emoji23][emoji23][emoji23].

Inabidi watanzania tuache kukaza fuvu kwa kujifariji na wakati namba hazifanganyi na kipaji akijifichi, na kwa Hali hii ZUCHU Hana mpinzani kwa Tanzania na kwa Afrika kwa ujumla.

Yaani anaemzidi kwa Afrika ni SIMI tu afu ZUCHU namba mbili, ko kusema sijui utopolo NANDY, MAUA SMA WALA NANDY nikutwanga mahi kwenye kinu au kusubiria embe chini ya mnazi au kusubiria feri nchi kavu au kuchemsha mawe ili yakwive.

Maana hauwezi mlinganisha ZUCHU maybe ni composer, songwriter, dancer, band, performer and singer na wasanii ambao ni singer na performer tu.

Yaani ogopa sana msanii/mwanamziki ambe anaumiza kichwa chini na kutunga mwenyewe afu na anae andikiwa.

HITOMISHO:::

ZUCHU (mwaka mmoja).
1.subscribers 800k+
2.total views 100m+
3.Boomplay 17m+ streams
4.Audiomack 18m+ total play
5.bonus sukari audio 6 hour 500k+

NANDY (miaka minne).
1.subscribers 600k+
2.total views 90m+
3.Boomplay streams 7m+
4.Audiomack 8m+ total play
5.Leo Leo Tena collaboration na koffie 6 hour 100k+

ZUCHU afananishi na yoyote kwa AFRICA isipokuwa SIMI.


SIJAMZUNGUMZIA DIAMOND PLATINUM KWASABABU NDIO MFALME HALISI AKIFUATIWA NA RAYVANNY AMBAYE NI PRINCE WAKE.


SANAMU ZUCHU NA DIAMOND ZINAWAHUSU POSTA.
Wewe kijana wa Anko Shamte,hii Nandy kutoa wimbo wa leo leo na kofee ndio uwr unafungua nyuzi kila dk kulinganisha Nandy na Zuchu?,au una jingine?
 
Naona sasa nchi inataka Kujaa masanamu,any way sanamu ya kingwendu isisahaulike
 
Habrini wanajamvi:

Nimesikitiahwa sana na mtu mmoja ambae ametoa ya moyoni kwa kupinga kuwa ZUCHU sio msanii namba moya wa kike hapa nchini[emoji23][emoji23][emoji23].

Inabidi watanzania tuache kukaza fuvu kwa kujifariji na wakati namba hazifanganyi na kipaji akijifichi, na kwa Hali hii ZUCHU Hana mpinzani kwa Tanzania na kwa Afrika kwa ujumla.

Yaani anaemzidi kwa Afrika ni SIMI tu afu ZUCHU namba mbili, ko kusema sijui utopolo NANDY, MAUA SMA WALA NANDY nikutwanga mahi kwenye kinu au kusubiria embe chini ya mnazi au kusubiria feri nchi kavu au kuchemsha mawe ili yakwive.

Maana hauwezi mlinganisha ZUCHU maybe ni composer, songwriter, dancer, band, performer and singer na wasanii ambao ni singer na performer tu.

Yaani ogopa sana msanii/mwanamziki ambe anaumiza kichwa chini na kutunga mwenyewe afu na anae andikiwa.

HITOMISHO:::

ZUCHU (mwaka mmoja).
1.subscribers 800k+
2.total views 100m+
3.Boomplay 17m+ streams
4.Audiomack 18m+ total play
5.bonus sukari audio 6 hour 500k+

NANDY (miaka minne).
1.subscribers 600k+
2.total views 90m+
3.Boomplay streams 7m+
4.Audiomack 8m+ total play
5.Leo Leo Tena collaboration na koffie 6 hour 100k+

ZUCHU afananishi na yoyote kwa AFRICA isipokuwa SIMI.


SIJAMZUNGUMZIA DIAMOND PLATINUM KWASABABU NDIO MFALME HALISI AKIFUATIWA NA RAYVANNY AMBAYE NI PRINCE WAKE.


SANAMU ZUCHU NA DIAMOND ZINAWAHUSU POSTA.
Ukikua utaacha
 
Haa mushaanza kama kipindi kile Harmonize.
Nimeongea interms za muziki. Sasa kama unajua mziki hat a huwezi uliza mara 2.

Ila kwa kukusaidia ni kuwa zuchu akitoa nyimbo inatumia muda mrefu kutrend kuliko za diamond. Na nyimbo nyingi za zuchu zitaendelea kuishi hata akifa leo.

Mfano walikuwepo wanamziki kama mr nice ambao walihiti sana hadi kimataifa. Ila nyimbo zao zimeshakufa kabla hata hawajafa. Ila kipind mr nice nyimbo zake zinahit kimataifa kulikuwa na wakina saida kaloli, lady Hyde, afande sele, matonya, pr J, tunda, weusi, etc ambao nyimbo zao mpaka leo zinaishi. Hii ndyo maana ya mziki.

Sasa naposema kimziki zuchu anamzidi mbali diamond ndicho namaanisha.
 
Mimi namjua daimondi tu nilimuona katika bango la pepsi big maeneo ya fire pale kama unaenda DIT,
Huyo zuchu ata sura yake sijui wallahi .
 
Nandy ni Solo artist, hayupo kwenye duo kama Zuchu!

Halafu kingine Zuchu ana competitive advantage ya kuwa kwenye a very popular label and big brand in East Africa. Kuwa WASAFI na kupitia platforms zake kama TV& Radio na Online channels ambako followers ni wengi kumemfanya Zuchu ku gain Popularity ya haraka mno kuliko counterparts artists ambao walimtangulia kwenye game.

Binafsi mimi sio fan wa mahadhi anayoimba Zuchu ila nachoweza kukiri she has vocals na ni mtunzi mzuri ila comparing her with Nandi its an overstatement.

Nandi hatembelei nyota ya label na kwa upepo binafsi ameweza kuwa very successful katika mziki siamini kwa style ya Zuchu na mahadhi yake akiimba nje ya Wasafi ataifikia mileage ya Nandi! Composition ya mziki wa Zuchu iko very homogeneous kiasi kwamba asingeweza kuhold mda mrefu kwenye peak with the close likes to Aslay's kind of productions.
Mkuu...

Nandy bila ya Mawingu fm kuwa nyuma yake tungesha msahau kitambo sana
 
Watoto mlio zaliwa ulimwengu wa sukari mnatabu nyie mnasupport mambo ya ovyo kabisa.
Sasa Zuchu unataka kumlinganisha na commandor jide.
Ifikie hatua watu tukubali nguvu ya wakati , Jide alitamba Kwa wakat wake na mda ushamtupa mkono , ndo mana ss hv anatoa wimbo unachukua one week kupata view 100K , na mtaani hazipigwi sana,wakat Zuchu one week anascore view 7000K na mtaani kumechafuka na yupo busy na show kibao + Matangazo ya makampuni ya kumwaga .... Kuhusu Nandy inaonekana kabisa yupo kwenye Diminishing return japo anajarbu kufight back , Kwa maoni yangu Kwa support aliyo nayo anahtaji tungo tamu kukimbizna na wakat, akiendelea na manyimbo yake ya kukata mauno ataishia kuroga Sana ....Zuchu right now hashikiki ... Namba +wakati zitazidi kujibu maswali na hoja za kibishi .....!!!
 
Nandy ni Solo artist, hayupo kwenye duo kama Zuchu!

Halafu kingine Zuchu ana competitive advantage ya kuwa kwenye a very popular label and big brand in East Africa. Kuwa WASAFI na kupitia platforms zake kama TV& Radio na Online channels ambako followers ni wengi kumemfanya Zuchu ku gain Popularity ya haraka mno kuliko counterparts artists ambao walimtangulia kwenye game.

Binafsi mimi sio fan wa mahadhi anayoimba Zuchu ila nachoweza kukiri she has vocals na ni mtunzi mzuri ila comparing her with Nandi its an overstatement.

Nandi hatembelei nyota ya label na kwa upepo binafsi ameweza kuwa very successful katika mziki siamini kwa style ya Zuchu na mahadhi yake akiimba nje ya Wasafi ataifikia mileage ya Nandi! Composition ya mziki wa Zuchu iko very homogeneous kiasi kwamba asingeweza kuhold mda mrefu kwenye peak with the close likes to Aslay's kind of productions.
Umeongea point kudadeki, umejaza nondo sana kwenye hii comment, ni comment bora na yenye uwelewa ndani yake umedadavua vizuri mziki unaujua sio kama mleta mada, watu wanatakiwa waelewe na sio kudhihaki jitihada za wasanii especially wakike, ushabiki mwingine ni wa kimaandazi sana na inafika mahali huawagawa wasanii na kuwajengea chuki,
 
Nimeongea interms za muziki. Sasa kama unajua mziki hat a huwezi uliza mara 2.

Ila kwa kukusaidia ni kuwa zuchu akitoa nyimbo inatumia muda mrefu kutrend kuliko za diamond. Na nyimbo nyingi za zuchu zitaendelea kuishi hata akifa leo.

Mfano walikuwepo wanamziki kama mr nice ambao walihiti sana hadi kimataifa. Ila nyimbo zao zimeshakufa kabla hata hawajafa. Ila kipind mr nice nyimbo zake zinahit kimataifa kulikuwa na wakina saida kaloli, lady Hyde, afande sele, matonya, pr J, tunda, weusi, etc ambao nyimbo zao mpaka leo zinaishi. Hii ndyo maana ya mziki.

Sasa naposema kimziki zuchu anamzidi mbali diamond ndicho namaanisha.
Huu upuuzi nyimbo Kuishi sijui muliupata wapi hata sijui ni nini hasa.

Unaposema nyimbo kuishi ni nini hao uliowaandika nyimbo zao zinaishi kivipi ujinga huu.

Alafu nyimbo za Mr Nice hazijawi kufanana na msanii wowote kukubaiskeli mfano butu uliotumia Just kwasababu Mr nice naye alikuwa Peak unazijua nyimbo za Diamond au unaandika tu Diamond ana aina mbili za nyimbo

Ukimwona
Nitampata wapi
Kesho
Mbagala
Kamwambie
Nimpende nani
Lala salama

Hizo nyimbo Zuchu kweli useme Ana nyimbo nisiishie hapa Pumbafu Na nusu umeniudhi diotic
Nandy ni Solo artist, hayupo kwenye duo kama Zuchu!

Halafu kingine Zuchu ana competitive advantage ya kuwa kwenye a very popular label and big brand in East Africa. Kuwa WASAFI na kupitia platforms zake kama TV& Radio na Online channels ambako followers ni wengi kumemfanya Zuchu ku gain Popularity ya haraka mno kuliko counterparts artists ambao walimtangulia kwenye game.

Binafsi mimi sio fan wa mahadhi anayoimba Zuchu ila nachoweza kukiri she has vocals na ni mtunzi mzuri ila comparing her with Nandi its an overstatement.

Nandi hatembelei nyota ya label na kwa upepo binafsi ameweza kuwa very successful katika mziki siamini kwa style ya Zuchu na mahadhi yake akiimba nje ya Wasafi ataifikia mileage ya Nandi! Composition ya mziki wa Zuchu iko very homogeneous kiasi kwamba asingeweza kuhold mda mrefu kwenye peak with the close likes to Aslay's kind of productions sioZ

Nandy ni Solo artist, hayupo kwenye duo kama Zuchu!

Halafu kingine Zuchu ana competitive advantage ya kuwa kwenye a very popular label and big brand in East Africa. Kuwa WASAFI na kupitia platforms zake kama TV& Radio na Online channels ambako followers ni wengi kumemfanya Zuchu ku gain Popularity ya haraka mno kuliko counterparts artists ambao walimtangulia kwenye game.

Binafsi mimi sio fan wa mahadhi anayoimba Zuchu ila nachoweza kukiri she has vocals na ni mtunzi mzuri ila comparing her with Nandi its an overstatement.

Nandi hatembelei nyota ya label na kwa upepo binafsi ameweza kuwa very successful katika mziki siamini kwa style ya Zuchu na mahadhi yake akiimba nje ya Wasafi ataifikia mileage ya Nandi! Composition ya mziki wa Zuchu iko very homogeneous kiasi kwamba asingeweza kuhold mda mrefu kwenye peak with the close likes to Aslay's kind of productions.
Zuchu sio śolo artist anaimbia Bendi gani.

Pili umezungumzia Branding kwamaalezo mengi Branding ndio kilakitu baada ya kipaji wakati Zuchu anatafuta iyo Branding power Nandy alikuwa wapi, kama point ni Brand Zuchu atoke WCB na Nandy atoke Clouds tuone sio unasema WCB tu bila kujua kuna Clouds.
 
Huu upuuzi nyimbo Kuishi sijui muliupata wapi hata sijui ni nini hasa.

Unaposema nyimbo kuishi ni nini hao uliowaandika nyimbo zao zinaishi kivipi ujinga huu.

Alafu nyimbo za Mr Nice hazijawi kufanana na msanii wowote kukubaiskeli mfano butu uliotumia Just kwasababu Mr nice naye alikuwa Peak unazijua nyimbo za Diamond au unaandika tu Diamond ana aina mbili za nyimbo

Ukimwona
Nitampata wapi
Kesho
Mbagala
Kamwambie
Nimpende nani
Lala salama

Hizo nyimbo Zuchu kweli useme Ana nyimbo nisiishie hapa Pumbafu Na nusu umeniudhi diotic



Zuchu sio śolo artist anaimbia Bendi gani.

Pili umezungumzia Branding kwamaalezo mengi Branding ndio kilakitu baada ya kipaji wakati Zuchu anatafuta iyo Branding power Nandy alikuwa wapi, kama point ni Brand Zuchu atoke WCB na Nandy atoke Clouds tuone sio unasema WCB tu bila kujua kuna Clouds.
Wewe mziki hujui
 
Huu upuuzi nyimbo Kuishi sijui muliupata wapi hata sijui ni nini hasa.

Unaposema nyimbo kuishi ni nini hao uliowaandika nyimbo zao zinaishi kivipi ujinga huu.

Alafu nyimbo za Mr Nice hazijawi kufanana na msanii wowote kukubaiskeli mfano butu uliotumia Just kwasababu Mr nice naye alikuwa Peak unazijua nyimbo za Diamond au unaandika tu Diamond ana aina mbili za nyimbo

Ukimwona
Nitampata wapi
Kesho
Mbagala
Kamwambie
Nimpende nani
Lala salama

Hizo nyimbo Zuchu kweli useme Ana nyimbo nisiishie hapa Pumbafu Na nusu umeniudhi diotic



Zuchu sio śolo artist anaimbia Bendi gani.

Pili umezungumzia Branding kwamaalezo mengi Branding ndio kilakitu baada ya kipaji wakati Zuchu anatafuta iyo Branding power Nandy alikuwa wapi, kama point ni Brand Zuchu atoke WCB na Nandy atoke Clouds tuone sio unasema WCB tu bila kujua kuna Clouds.
We utakuwa Danga wa Zuchu bila shaka 😂😂😂
 
Back
Top Bottom