Sanamu ya msanii DIAMOND na ZUCHU pale Posta Kama wasanii Namba moja wakiume na wakike hapa Tanzania

Sanamu ya msanii DIAMOND na ZUCHU pale Posta Kama wasanii Namba moja wakiume na wakike hapa Tanzania

Wewe mziki hujui
Bwege huyo jamaa 😁😁😁 atatutia njaa tu kubishana nae!

Hivi nyimbo ya Enika ya "baridi kama hii" inaweza kuwa na uzito kiasi gani compared na nyimbo zote za huyo Zunchu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nyimbo ya "Changanya Changanya" ya Enika atafananisha na nyimbo gani kwenye album ya huyo Zunchu!

Nyimbo ambazo zilitoka kabla hata hatujajua kama kuna mtu kama Zunchu atakuja kuwa msanii. Ila zina soul you can feel them with each and every beat. Sio hizo kelele za Eyo Laizer.

Kuna nyimbo na Muziki! Hizo anazoimba Zuchu ni Miziki sio nyimbo!
 
Vya kale dhahabu, we umeujua muziki kupitia zuchu, sisi tuli experience talent sio promotions za Wasafi!
Katika maisha yangu naamini vya zamani vyote ni vya hovyo na takataka.

Pia mibongo inakasumba ya kukumbatia ukale.
 
Katika maisha yangu naamini vya zamani vyote ni vya hovyo na takataka.

Pia mibongo inakasumba ya kukumbatia ukale.
Ndio maana upo hivyo sikulaumu😁😁😁 ushaanza kuvaa sketi lakini maana ndio mtindo wa sasa?
 
Ndio maana upo hivyo sikulaumu😁😁😁 ushaanza kuvaa sketi lakini maana ndio mtindo wa sasa?
Vipi utaLog Off JF lini uanze tumia Simu la zamani lile kama pande la sabauni.
 
Bwege huyo jamaa [emoji16][emoji16][emoji16] atatutia njaa tu kubishana nae!

Hivi nyimbo ya Enika ya "baridi kama hii" inaweza kuwa na uzito kiasi gani compared na nyimbo zote za huyo Zunchu [emoji23][emoji23][emoji23]

Nyimbo ya "Changanya Changanya" ya Enika atafananisha na nyimbo gani kwenye album ya huyo Zunchu!

Nyimbo ambazo zilitoka kabla hata hatujajua kama kuna mtu kama Zunchu atakuja kuwa msanii. Ila zina soul you can feel them with each and every beat. Sio hizo kelele za Eyo Laizer.

Kuna nyimbo na Muziki! Hizo anazoimba Zuchu ni Miziki sio nyimbo!
Hawa ndyo wamejua mziki baada ya kumjua diamond.
 
Bwege huyo jamaa 😁😁😁 atatutia njaa tu kubishana nae!

Hivi nyimbo ya Enika ya "baridi kama hii" inaweza kuwa na uzito kiasi gani compared na nyimbo zote za huyo Zunchu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nyimbo ya "Changanya Changanya" ya Enika atafananisha na nyimbo gani kwenye album ya huyo Zunchu!

Nyimbo ambazo zilitoka kabla hata hatujajua kama kuna mtu kama Zunchu atakuja kuwa msanii. Ila zina soul you can feel them with each and every beat. Sio hizo kelele za Eyo Laizer.

Kuna nyimbo na Muziki! Hizo anazoimba Zuchu ni Miziki sio nyimbo!
Enika ni nani jamani πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Rudi tena mpaka enzi za kupeleka taarifa KM 200 Kwa mguu you can't entertain that wild life any more.
ubaya ni kwamba unajaribu ku compare dafu na nanasi!

Muziki haujawahi kubadilika toka enzi bongo flava inaanza mpaka sasa, vilivyobadilika ni wasanii tu ila mziki ni uleule.
 
ubaya ni kwamba unajaribu ku compare dafu na nanasi!

Muziki haujawahi kubadilika toka enzi bongo flava inaanza mpaka sasa, vilivyobadilika ni wasanii tu ila mziki ni uleule.
Even in music lady, professor, afande, mchizi, inspector hayo majina wote ni Primitive Musicians with wild sound.

Muziki ni Diamond, Marioo, Nandy, Zuchu, Jux nk
ubaya ni kwamba unajaribu ku compare dafu na nanasi!

Muziki haujawahi kubadilika toka enzi bongo flava inaanza mpaka sasa, vilivyobadilika ni wasanii tu ila mziki ni uleule.
 
Even in music lady, professor, afande, mchizi, inspector hayo majina wote ni Primitive Musicians with wild sound.

Muziki ni Diamond, Marioo, Nandy, Zuchu, Jux nk
Its useless kubishana na mtu ambaye hajielewi! Ukifika 18yrs uje na hoja.
 
Nimegundua watu wanachukia Sana mafanikio ya mtu , πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ukifanikiwa watu wanaanza kukulinganisha na mtu mbovu ili Tu wakudowngrade πŸ˜‹ .... Kwa record anazovunja Zuchu inashangaza watu wanaanza kuleta habar za msondo NgomaπŸ˜‹ asa unajiuliza kama hawa watu walikuwa wanajua why they failed to hit global market?? Mara Ruby, mara sjui nan Nani , yes Kwa kipind Chao walifanya vyema , hata Kwa sasa tukubali uwezo wa waliopo ....

Ukishapoa ndo watu wanakukubali sababu huna impact kwao , ukiona watu wanakuponda jua Tu nafasi uliyopo wanataka wao ndo wawepo....watu wana chuki na mafanikio ya watu Sana.....

Na pia huwez kufanikiwa wewe mwenyewe never ever ,lazima kuna watu wa kukushika mkono , personal effort ina sehemu yake Ila kufika juu unahitaj watu , Nandy amepaa Kwa sababu ya mkono mzito wa Ruge na Clouds FM na crew yote akina Millard Ayo n.k leo hii kuna watu wanadai et kajisimamia mwenyewe kweli, ...hata kwenda mbinguni huwez kwenda mwenyewe tuu kuna connection ya Yesu mnazareti bila hvo hutoboi sembuse mafanikio ya hapa duniani..πŸ˜€πŸ˜€
 
Nimegundua watu wanachukia Sana mafanikio ya mtu , πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ukifanikiwa watu wanaanza kukulinganisha na mtu mbovu ili Tu wakudowngrade πŸ˜‹ .... Kwa record anazovunja Zuchu inashangaza watu wanaanza kuleta habar za msondo NgomaπŸ˜‹ asa unajiuliza kama hawa watu walikuwa wanajua why they failed to hit global market?? Mara Ruby, mara sjui nan Nani , watu ambao ni totaly failure ....

Ukishapoa ndo watu wanakukubali sababu huna impact kwao , ukiona watu wanakuponda jua Tu nafasi uliyopo wanataka wao ndo wawepo....watu wana chuki na mafanikio ya watu Sana.....

Na pia huwez kufanikiwa wewe mwenyewe never ever ,lazima kuna watu wa kukushika mkono , personal effort ina sehemu yake Ila kufika juu unahitaj watu , Nandy amepaa Kwa sababu ya mkono mzito wa Ruge na Clouds FM na crew yote akina Millard Ayo n.k leo hii kuna watu wanadai et kajisimamia mwenyewe kweli, ...hata kwenda mbinguni huwez kwenda mwenyewe tuu kuna connection ya Yesu mnazareti bila hvo hutoboi sembuse mafanikio ya hapa duniani..πŸ˜€πŸ˜€
Ngoja aje macho manne kuandika ujinga, macho manne analeta wakina alichoki na ngurumo.
 
daaa kweli jf ni burudani.ukiwa boadi we pita humu,utakutana na vituko na comedy kibao,utajiskia ume relax.siko intrested na muziki lakin coment za vijana humu ni vituko aise[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].napita tu hapa
 
Tungeweka masanamu ya kila aliye bora hii nchi ingekuwa ya masanamu...., ila isiwe tabu wewe weka masanamu yao kwenye nyumba yako kila kona (sidhani kama kuna mtu atakubughuzi labda serikali ya familia yako)
 
Back
Top Bottom