Sanamu ya msanii DIAMOND na ZUCHU pale Posta Kama wasanii Namba moja wakiume na wakike hapa Tanzania

Sanamu ya msanii DIAMOND na ZUCHU pale Posta Kama wasanii Namba moja wakiume na wakike hapa Tanzania

Habrini wanajamvi:

Nimesikitiahwa sana na mtu mmoja ambae ametoa ya moyoni kwa kupinga kuwa ZUCHU sio msanii namba moya wa kike hapa nchini[emoji23][emoji23][emoji23].

Inabidi watanzania tuache kukaza fuvu kwa kujifariji na wakati namba hazifanganyi na kipaji akijifichi, na kwa Hali hii ZUCHU Hana mpinzani kwa Tanzania na kwa Afrika kwa ujumla.

Yaani anaemzidi kwa Afrika ni SIMI tu afu ZUCHU namba mbili, ko kusema sijui utopolo NANDY, MAUA SMA WALA NANDY nikutwanga mahi kwenye kinu au kusubiria embe chini ya mnazi au kusubiria feri nchi kavu au kuchemsha mawe ili yakwive.

Maana hauwezi mlinganisha ZUCHU maybe ni composer, songwriter, dancer, band, performer and singer na wasanii ambao ni singer na performer tu.

Yaani ogopa sana msanii/mwanamziki ambe anaumiza kichwa chini na kutunga mwenyewe afu na anae andikiwa.

HITOMISHO:::

ZUCHU (mwaka mmoja).
1.subscribers 800k+
2.total views 100m+
3.Boomplay 17m+ streams
4.Audiomack 18m+ total play
5.bonus sukari audio 6 hour 500k+

NANDY (miaka minne).
1.subscribers 600k+
2.total views 90m+
3.Boomplay streams 7m+
4.Audiomack 8m+ total play
5.Leo Leo Tena collaboration na koffie 6 hour 100k+

ZUCHU afananishi na yoyote kwa AFRICA isipokuwa SIMI.


SIJAMZUNGUMZIA DIAMOND PLATINUM KWASABABU NDIO MFALME HALISI AKIFUATIWA NA RAYVANNY AMBAYE NI PRINCE WAKE.


SANAMU ZUCHU NA DIAMOND ZINAWAHUSU POSTA.

Inasikitisha sana kwa vijana kutumika kirahisi kwa kununuliwa bando na simu kucha kusifia wasanii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilivoona thread ni yako wallah kabla sijaanza kusoma nikacheka mnooh,
Hizi futuhi na comedy zipo dabliusibii huko. Khaaaaaaaah
 
Habrini wanajamvi:

Nimesikitiahwa sana na mtu mmoja ambae ametoa ya moyoni kwa kupinga kuwa ZUCHU sio msanii namba moya wa kike hapa nchini[emoji23][emoji23][emoji23].

Inabidi watanzania tuache kukaza fuvu kwa kujifariji na wakati namba hazifanganyi na kipaji akijifichi, na kwa Hali hii ZUCHU Hana mpinzani kwa Tanzania na kwa Afrika kwa ujumla.

Yaani anaemzidi kwa Afrika ni SIMI tu afu ZUCHU namba mbili, ko kusema sijui utopolo NANDY, MAUA SMA WALA NANDY nikutwanga mahi kwenye kinu au kusubiria embe chini ya mnazi au kusubiria feri nchi kavu au kuchemsha mawe ili yakwive.

Maana hauwezi mlinganisha ZUCHU maybe ni composer, songwriter, dancer, band, performer and singer na wasanii ambao ni singer na performer tu.

Yaani ogopa sana msanii/mwanamziki ambe anaumiza kichwa chini na kutunga mwenyewe afu na anae andikiwa.

HITOMISHO:::

ZUCHU (mwaka mmoja).
1.subscribers 800k+
2.total views 100m+
3.Boomplay 17m+ streams
4.Audiomack 18m+ total play
5.bonus sukari audio 6 hour 500k+

NANDY (miaka minne).
1.subscribers 600k+
2.total views 90m+
3.Boomplay streams 7m+
4.Audiomack 8m+ total play
5.Leo Leo Tena collaboration na koffie 6 hour 100k+

ZUCHU afananishi na yoyote kwa AFRICA isipokuwa SIMI.


SIJAMZUNGUMZIA DIAMOND PLATINUM KWASABABU NDIO MFALME HALISI AKIFUATIWA NA RAYVANNY AMBAYE NI PRINCE WAKE.


SANAMU ZUCHU NA DIAMOND ZINAWAHUSU POSTA.
Chukua kvant najakulipa
 
Sasa unawagawanyaje mkuu [emoji39][emoji39][emoji3][emoji3][emoji3] mbna kichaka chepesi Sana hcho boss...Sawa sawa na kusema Mali za Mo dewij ni za ukoo na hvyo tuzigawe Kwa ukoo mzima zitakazobaki ndo mali zake halisi[emoji3][emoji3] ili tujifurahishe kuwa mwamba sio tajiri namba 13 Africa.... Tuongezeni bidii kwenye kilimo[emoji2957]
Hajasoma mathematics
 
Mi nazan kama sanamu ya zuchu ikiwekwa posta basi ya jide na prof zitengenezwe alafu kila raia wa Tz apewe akaenayo ndan yan iwe amri [emoji6][emoji6]
 
Nandy ni Solo artist, hayupo kwenye duo kama Zuchu!

Halafu kingine Zuchu ana competitive advantage ya kuwa kwenye a very popular label and big brand in East Africa. Kuwa WASAFI na kupitia platforms zake kama TV& Radio na Online channels ambako followers ni wengi kumemfanya Zuchu ku gain Popularity ya haraka mno kuliko counterparts artists ambao walimtangulia kwenye game.

Binafsi mimi sio fan wa mahadhi anayoimba Zuchu ila nachoweza kukiri she has vocals na ni mtunzi mzuri ila comparing her with Nandi its an overstatement.

Nandi hatembelei nyota ya label na kwa upepo binafsi ameweza kuwa very successful katika mziki siamini kwa style ya Zuchu na mahadhi yake akiimba nje ya Wasafi ataifikia mileage ya Nandi! Composition ya mziki wa Zuchu iko very homogeneous kiasi kwamba asingeweza kuhold mda mrefu kwenye peak with the close likes to Aslay's kind of productions.
Hatuongelei label na kama label si mnasemaga kondegang na king music ndo label kubwa Tanzania Sasa mbona kina ibraah, na k2ga hawavumi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hesabu ulipata ngapi, ukigawa za Zuchu means Zuchu anapunguza Wangine wana Gain wakina Vanny, Mbosso nk...Nawao wakina Mbosso, Vanny, Lava tukifanya kwakila mmoja kuzigawaga kama tulivyofanya kwa Zuchu sasa wastani siunarudi uleule Zuchu hapungukiwi kitu tena atazidi.

Mathematical

sawa na ufanye

10 gawanja 5 = 2
Then
2 mala 5 = 10 ileile

Au ulijua Equation yako itafanyika kwa Zuchu tu Idiot.
Zero brain
 
Back
Top Bottom