Bwege huyo jamaa πππ atatutia njaa tu kubishana nae!Wewe mziki hujui
Vya kale dhahabu, we umeujua muziki kupitia zuchu, sisi tuli experience talent sio promotions za Wasafi!Ona hili linakumbatia ukale
Danga La Nandi ni Papa Fololo boss ya Mboka, Mopao! πππTukibalance equation maanayake wewe Danga la Nandy michu
Katika maisha yangu naamini vya zamani vyote ni vya hovyo na takataka.Vya kale dhahabu, we umeujua muziki kupitia zuchu, sisi tuli experience talent sio promotions za Wasafi!
Ndio maana upo hivyo sikulaumuπππ ushaanza kuvaa sketi lakini maana ndio mtindo wa sasa?Katika maisha yangu naamini vya zamani vyote ni vya hovyo na takataka.
Pia mibongo inakasumba ya kukumbatia ukale.
Vipi utaLog Off JF lini uanze tumia Simu la zamani lile kama pande la sabauni.Ndio maana upo hivyo sikulaumuπππ ushaanza kuvaa sketi lakini maana ndio mtindo wa sasa?
Mbona ndio ambayo natumia hapa Philips Savy!Vipi utaLog Off JF lini uanze tumia Simu la zamani lile kama pande la sabauni.
Hawa ndyo wamejua mziki baada ya kumjua diamond.Bwege huyo jamaa [emoji16][emoji16][emoji16] atatutia njaa tu kubishana nae!
Hivi nyimbo ya Enika ya "baridi kama hii" inaweza kuwa na uzito kiasi gani compared na nyimbo zote za huyo Zunchu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nyimbo ya "Changanya Changanya" ya Enika atafananisha na nyimbo gani kwenye album ya huyo Zunchu!
Nyimbo ambazo zilitoka kabla hata hatujajua kama kuna mtu kama Zunchu atakuja kuwa msanii. Ila zina soul you can feel them with each and every beat. Sio hizo kelele za Eyo Laizer.
Kuna nyimbo na Muziki! Hizo anazoimba Zuchu ni Miziki sio nyimbo!
Rudi tena mpaka enzi za kupeleka taarifa KM 200 Kwa mguu you can't entertain that wild life any more.Mbona ndio ambayo natumia hapa Philips Savy!
Enika ni nani jamani π πBwege huyo jamaa πππ atatutia njaa tu kubishana nae!
Hivi nyimbo ya Enika ya "baridi kama hii" inaweza kuwa na uzito kiasi gani compared na nyimbo zote za huyo Zunchu πππ
Nyimbo ya "Changanya Changanya" ya Enika atafananisha na nyimbo gani kwenye album ya huyo Zunchu!
Nyimbo ambazo zilitoka kabla hata hatujajua kama kuna mtu kama Zunchu atakuja kuwa msanii. Ila zina soul you can feel them with each and every beat. Sio hizo kelele za Eyo Laizer.
Kuna nyimbo na Muziki! Hizo anazoimba Zuchu ni Miziki sio nyimbo!
Mamaako mdogo, sema ulikuwa unajinyea bado wakati yeye anafanya mzikiEnika ni nani jamani π π
ubaya ni kwamba unajaribu ku compare dafu na nanasi!Rudi tena mpaka enzi za kupeleka taarifa KM 200 Kwa mguu you can't entertain that wild life any more.
Even in music lady, professor, afande, mchizi, inspector hayo majina wote ni Primitive Musicians with wild sound.ubaya ni kwamba unajaribu ku compare dafu na nanasi!
Muziki haujawahi kubadilika toka enzi bongo flava inaanza mpaka sasa, vilivyobadilika ni wasanii tu ila mziki ni uleule.
ubaya ni kwamba unajaribu ku compare dafu na nanasi!
Muziki haujawahi kubadilika toka enzi bongo flava inaanza mpaka sasa, vilivyobadilika ni wasanii tu ila mziki ni uleule.
Its useless kubishana na mtu ambaye hajielewi! Ukifika 18yrs uje na hoja.Even in music lady, professor, afande, mchizi, inspector hayo majina wote ni Primitive Musicians with wild sound.
Muziki ni Diamond, Marioo, Nandy, Zuchu, Jux nk
Ngoja aje macho manne kuandika ujinga, macho manne analeta wakina alichoki na ngurumo.Nimegundua watu wanachukia Sana mafanikio ya mtu , πππ ukifanikiwa watu wanaanza kukulinganisha na mtu mbovu ili Tu wakudowngrade π .... Kwa record anazovunja Zuchu inashangaza watu wanaanza kuleta habar za msondo Ngomaπ asa unajiuliza kama hawa watu walikuwa wanajua why they failed to hit global market?? Mara Ruby, mara sjui nan Nani , watu ambao ni totaly failure ....
Ukishapoa ndo watu wanakukubali sababu huna impact kwao , ukiona watu wanakuponda jua Tu nafasi uliyopo wanataka wao ndo wawepo....watu wana chuki na mafanikio ya watu Sana.....
Na pia huwez kufanikiwa wewe mwenyewe never ever ,lazima kuna watu wa kukushika mkono , personal effort ina sehemu yake Ila kufika juu unahitaj watu , Nandy amepaa Kwa sababu ya mkono mzito wa Ruge na Clouds FM na crew yote akina Millard Ayo n.k leo hii kuna watu wanadai et kajisimamia mwenyewe kweli, ...hata kwenda mbinguni huwez kwenda mwenyewe tuu kuna connection ya Yesu mnazareti bila hvo hutoboi sembuse mafanikio ya hapa duniani..ππ