raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mimi namuona joe hartToni kroos mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi namuona joe hartToni kroos mtupu
😆 😆 😆 😆Muhimu tujifunze tukishaambiwa hii ni sanamu ya fulani na inafanana fanana nae basi tukubali maisha yaendelee, sometime tunajiumiza vichwa kwa vitu vidogo sana.
Sanamu ikishaitwa ya Nyerere, itabaki kuwa ya Nyerere tu, hawezi kujitokeza anyone akasema hiyo sanamu ni yangu sio ya Nyerere, sasa sijui huwa malumbano ya nini.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Basi na hii itabadilishwa tuMtu kalipiwa nauli na posho ya kwenda huko halafu awagomee kweli kwamba sanamu siyo la baba yake? Mbona miaka kadhaa nyuma pale bustanini jijini Mwanza kuna lisanamu fulani hivi liliwekwa na kudaiwa ni la Nyerere na wananchi walipiga sana kelele kwamba halifanani nae na nadhani baadae likabadilishwa?
Nakubaliana na wewe ile ni sanamu ya Nyerere. Ila wangesema ni mwili wa Nyerere hapo ingekuwa ni issue ya ku contestHaiwezekani SANAMU lifanane typical na kitu HALISIA binadamu anachonga mfanano iwe MBUZI, BATA, NJIWA , KASUKU ,NG'OMBE hata binadamu.
Hata ndugu wa kuzaliwa na binadamu tunarahisisha tu, hwa wamefanana lkn kiuhalisia tumerahisisha tu.
Mradi wa sanamu ya J K Nyerere ulitekelezwa na Kampuni ya SAMCRO ya nchini Afrika Kusini chini ya usimamizi wa SADC na Tanzania na uĺigharimu takriban Dola za Marekani 267,992.60 ambazo ni sawa na takriban Shilingi 615,000,000 ambazo zilitolewa na SADC na gharama za usimamizi kutolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaHaya madai kwamba sanamu hilo limetengenezwa na kampuni iitwayo Epitome Architects Limited ambayo mkurugenzi wake mkuu ni Nuru Nyerere-Inyangete ambaye ni mtoto wa hayati Joseph Nyerere ni ya kweli? Basi pasi na shaka ndiyo maana Madaraka Nyerere ili kulinda huo ulaji kwa familia yake kupitia tenda waliyopewa, analazimisha kwa nguvu zote kwamba sura ya sanamu ni ya baba yake huku asilimia kubwa ya watanzania tukiona kuwa sura ya sanamu siyo ya baba wa taifa.