Sanchoka: Bila mahari ya milioni 10 siolewi

Sanchoka: Bila mahari ya milioni 10 siolewi

Yanihuyu kashajiwekathamani yakeni Sh milioni kumi.

Mtu mwenye mahesabu makubwa zaidi ataona huyu hafai kwa sababu ndoto zake ndogo na kajipa bei kama ng'ombe.

Sasa mimi natakamtu tukae kwenye nyumba ya sh milioni mia tano na biashara ya kuingiza faida ya angalau milioni sita kwa siku,halafu nakutana na mtu anajiwekea bei ya sh milioni kumi.

Hapo hapo namdharau.
 
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.​
Akizung-umza na Star Mix, Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.

“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi

Anataka kununuliwa mwambie akaolewe usukumani Bariadi au Umasaini, ameshakuwa used vya kutosha hafu anapanga mahari huyo ni zero brain
 
Kwa maana nyngne huyo anajiuza kwa hyo m10...sio tena moyo kupenda wala mapnz ya kwel bal n m10..
"Wanawake msilinge sana ipo siku baba yako atakubadilisha na ng'ombe"
nakubaliana na hii kaul kwa 99℅...
Wanawake wanaojiuza n wengi sana ila kwa staili tofaut tofaut tu...kuna member aliandika huu uzi heshima kwako mkuu...
 
Back
Top Bottom