Sanchoka: Bila mahari ya milioni 10 siolewi

Sanchoka: Bila mahari ya milioni 10 siolewi

Kitu ni kile kile tena wkt mwingine cha kwake hakina ubora unaostahili. Yaan dunia ya leo mtu anunue nanihii kwa gharama kubwa wakati vimejaa mtaani kila mahali. Inawezekana kwel bado wajinga wapo lkn.....!
 
Kwa maana nyngne huyo anajiuza kwa hyo m10...sio tena moyo kupenda wala mapnz ya kwel bal n m10..
"Wanawake msilinge sana ipo siku baba yako atakubadilisha na ng'ombe"
nakubaliana na hii kaul kwa 99℅...
Wanawake wanaojiuza n wengi sana ila kwa staili tofaut tofaut tu...kuna member aliandika huu uzi heshima kwako mkuu...
Muuzaji tu huyo anajiona kwavile bado yupo kwenye chati anapanga mahari itafika kipindi hata wa bure hatamwona
 
Ila wadua tuweke siasa pemben...

Huko nyuma yuko kama kinu cha kuyeyushia makinikia kimefungwa kwa nyuma daaah!!

Uzuri hawa watu wapo...tutafute maisha kwanza!!
 
Asubiri hiyo 10 millions.
Inawezekana kabisa akapatikana ila hata yeye awe tayari kujua hiyo million 10 itahitaji atoe huduma za ziada sio atoe huduma za kawaida kama mke aliyeolewa kwa laki mbili
 
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.​
Akizung-umza na Star Mix, Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.

“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi

Bora niongezee mil 3 ninunue noah,kuliko yeye ambaye hata ushuru sintolipa.
 
Mfyuuu shape yake mbona kama yangu tu. . Sema tu mimi sio maarufu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Weka kapicha basi, me ntakukabidhi Kibiti na Mkuranga upamiliki.
 
Ila wadua tuweke siasa pemben...

Huko nyuma yuko kama kinu cha kuyeyushia makinikia kimefungwa kwa nyuma daaah!!

Uzuri hawa watu wapo...tutafute maisha kwanza!!
Huo uzuri wa kinu unauona machoni, ukienda katika utendaji unaweza kujuta kwa utakachokiona, anaweza kua mzigo na kalaha[emoji23]
Kule hakunaga utofauti mkuu mambo ni yale yale.
 
Back
Top Bottom