Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha we mtu umenifurahisha saaanaUnauza nini kwani? Ina ATM ndani? Hiyo milioni 10 mtu ukienda Nanjilinji si unarudi na wanawake fuso mbili. K ni K bwana.
Million 10, ni pesa ndogo sana, kwa Mwenye Nazo, Kipindi cha kikwete, mbona wengine walikuwa wanaongwa zaidi ya hizo, tena kwa kimada tu, hata Leo wapo kwenye shughuli zao halali, inawezekana hiyo puss yake siyo nzuri kabisa, analingia huo mwili/nyama za matako , Mara nyingi ukifunua hayo mapaja utakuta harufu mbaya sana unaweza hata usisimamishe kabisa.Hicho kifaa kinachohusika kwa ndoa kipo salama lakini? Maana kama shepu hata Tembo anayo na kama sura kuna wenzie kila siku Tunao humu wanatafuta wa kuwaoa hata Bure.
Is that a selling price?MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.
View attachment 533607
“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi
K ni K [emoji3] [emoji3]Unauza nini kwani? Ina ATM ndani? Hiyo milioni 10 mtu ukienda Nanjilinji si unarudi na wanawake fuso mbili. K ni K bwana.
Ooh taa levalai,Wamasai hatuli vitu used, tunataka vitu brand new unakata nyuzi mwenyewe