Sanchoka: Bila mahari ya milioni 10 siolewi

Sanchoka: Bila mahari ya milioni 10 siolewi

Wakati bibi na babu walioana bure mpka leo wanafurahia ndoa
 
Zamani nilikuwa najua mtu mwenye ng'ombe nyingi ndio utajiri[emoji23] [emoji23] Eti siku hizi Mat.ako ndio umekuwa utajiri[emoji23] [emoji23][emoji38] [emoji38] [emoji38] Wabongo watayavuruga hayo mpaka hata milioni moja mahari hapati[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Sasa si atabaki kuliwa tu mpaka achakae.."k" yake mwenyewe....hakuna neno.
 
Thamani yake hakuijua mpaka alipoona mambo yameharibika ndio anajitambua?! Kama bikra alitoa bure, mwili wake watu wanauona bure why mtu aoe kwa milioni 10?! Haahaaaa, umri umeenda hajapata wa kumchumbia anatafuta sababu.
 
Kwenye hiyo video background nasikia sauti ya minaijeria .....sizani kama alipita salama mikononi mwao lazima itakuwa ilimtapeli tigo
 
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.
Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.


“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi.
 
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.
Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.


“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi.


Ina TV ndani? [emoji23]
 
Back
Top Bottom